Yahan Non2badala ya kusifiaa2YESU wew unasifiaa mwanadam unasema kabsaaa mpigieeen makofi😢😢😢surely kweli YESU KRISTO njoo dunian uone watu wako wanaitaji ngvu zako na Rehema zako 😢😢
@Enezapopoteamani
5 күн бұрын
@@user-tt7cu2et1x iyo nikwel yesu aje aseme na watu wake
@user-tt7cu2et1x
5 күн бұрын
@@Enezapopoteamani amearibu vibaya saana Akiii imefikaa atua hyo ya kumsifia mwwnadamu badala ya YESU KRISTO..sifa na utukufu apewe yeye milele na milele. Sku zote mwanadam usijaribu at kugusaaa kidgo utukufu wake hii dunia hana tofaut na jo devi mpenda sifaa wamechukua utukufu wake YESU KRISTO....Boni tubu kwa dhambi kma hyo at wew nakumbuka kuna wmbo wako umewahi kuimba sifa zote na utukufu apewe YESU KRISTO imekuwaje ww Leo hii unasifia mwanadam?????
@DeodatusPhabian
5 күн бұрын
Maombi na kuwa rohoni vinahitajika katika Dunia ya Leo. Unaweza kuingia kwenye mtego wa adui, na adui akaitumia fursa kukuchafua. Nafasi ya kusimama Tena Iko wazi.
Пікірлер: 18