Nanga huyo mwenzako halijifanya yupo pamoja nawewe kumbe alikuwa ni mnafiki tu.Na watu kama hao wapo kibao ktk maisha.Ni watu wasio kuwa na msimamo, ni watu wabinafsi sana, wameweka mbele maslahi yao.
@yotehapatv7705
Ай бұрын
Cv
@omarymnuru8746
2 ай бұрын
Yaani huyu Boss kama mimi vile...kila nikipangiwa huwa napangua kwa sababu nina watu wanaouza material wanaweza kuleta nikiwapigia simu...hao mafundi wanakuwa hoi
@Fans_of_Dizasta-10
2 ай бұрын
Wakwanza kuview na comment wa kwanza naomba like zenu😊
@omarymnuru8746
2 ай бұрын
Fisher board 4x2😂😂😂
@stanleymartin2943
2 ай бұрын
🤣🤣🤣njaa mbaya sana
@johnmbugua3264
2 ай бұрын
Wakati we unaringia kazi wengine wanatamani 😂😂😂😂❤
@YohanaMorisi
2 ай бұрын
😂😂Nanga hapo hauna Boss 😂😂😂
@BIGbone.9422
2 ай бұрын
"Jay kaza" 😂😂😂
@jimmyajmi8501
Ай бұрын
Chuchu msumar😂😂
@kiondosaimon6149
2 ай бұрын
Nanga Nanga Nanga 😂😂😂😂😂🎉
@siwaletv4185
2 ай бұрын
WEWE SIUMEJIFANYA HUTAKI KAZI SASA FLANA LA NINI 😂😂😂😂
@usher_bambi94
2 ай бұрын
It's Nanga again 😅😅😅😅
@chichasam9032
2 ай бұрын
Mafundi wezi sana sana siwapendi wapuuzi sanaaa wajinga sana hawa..
@Kabeya410
2 ай бұрын
@@chichasam9032baba 😅kila mtu anakula kazini kwake mtu wa Tanesco hawezi kwenda kula bandarini 😂
@chichasam9032
2 ай бұрын
@@Kabeya410 umeongeaaa hii kauli kwa upeo mdogo sana
@Kabeya410
2 ай бұрын
@@chichasam9032 we mwenyewe mwizi huna kitu cha halali pengine nusu ya vitu vyako ni vya haramu
Пікірлер: 19