Boti mpya ya kisasa ya Kilimanjaro VII inayomilikiwa na Kampuni ya Azam Marine na Kilimanjaro Fast Ferry inatarajiwa kuanza safari zake hivi karibuni baada ya kuwasili visiwani Zanzibar hapo jana ikitokea nchini Australia baada ya kukamilika kwake
Boti hiyo mpya ina uwezo wa kubeba abiria 540 na tani 12 za mizigo ambayo iliundwa takribani miezi 18 chini ya kampuni ya RDM Construction ya nchini Australia.
#azammarine #kilimanjarofastferries #AzamTVUpdates #AzamTVApp #AzamTV #AzamTWO #AzamTVHabari #Habari #UTV
Негізгі бет Boti mpya ya Kilimanjaro VII kuanza safari hivi karibuni
Пікірлер: 16