Yaani mwanao akikwambia baba nataka nikawe police jua huyo siyo wako ni msomali kama si bokoharamu
@imanmodern
3 сағат бұрын
Ccm wasenge sana wanalitumia jeshi la polisi kama mali yao
@MwanakomboNassor-bw3by
2 сағат бұрын
Wasenge au vidume waangalie sura zilivyosowajika wababe wa chadema wametoka wapoleeee 😂😂😂😂😂
@LodvolaLameck-jl5vs
2 сағат бұрын
@@MwanakomboNassor-bw3by bila shaka wewe si binadamu wa kawaida Kuna la kusifia hapo?
@MwanakomboNassor-bw3by
2 сағат бұрын
@@LodvolaLameck-jl5vs mimi jini kwani unàfikiri kila mtu anayechat ni binadamu
@eliasludani4201
2 сағат бұрын
@MwanakomboNassor-bw3by Huna akili
@LodvolaLameck-jl5vs
2 сағат бұрын
@@MwanakomboNassor-bw3by Haya jini nimekuelewa ila ubinadamu ni zaidi ya CCM na CHADEMA
@isihakaog8355
2 сағат бұрын
Daaah LEMA ALIKUWA ANATIA HURUMA, ALIVYO KUWA ANAANZA MWISHO KABSA KAMUA ACHANGAMSHE WATU
@AlbinMsechu
2 сағат бұрын
Dah!! Nna huzuni lakn nmejikuta nacheka kwa jibu la Lema kwa Kikeke
@Rakim-y2z
2 сағат бұрын
Hawa jamaa wanaume kweli Mwenyezi mungu awasimamie sana mko vzr sana
@saidijuma9386
2 сағат бұрын
Kikeke unafnya kazi nzuri safi sana mungu akuzdshie kila la kheri
@BarakaShukuru-x9p
Сағат бұрын
Mama samia leo nimelewa mama angu lakini nikwambie ki2 mimi nawapenda wamama niwazuri na nakupenda sana kwakuepusha maandamano asante
@hamisimuhunzi7916
54 минут бұрын
Bibi Chinja Chinja polisi hawa wote walikuwa wapi wasipambane na wahalifu na wale wasiojulikana wanao uwa watu???
@Wasafi-q8o
2 сағат бұрын
Daaaah hii nchi ngumu Sana maandamano unayafanyaje kwny ndege 😂😂😂😂😂
@barrynzeyimana6270
Минут бұрын
Kama unakumbuka Marekani, France, na Wingereza hivi karibuni, walio andamana walipigwa kama mbwa. George Floyd raia ambao waliandamana walipigwa kama kuku. Hakuna mwana siasa anakupigania. Kwakua raia ni lahisi kuwadanganya. Jicho la Mbowe kwa Lema linaonyesha kua Subutu uongee tofauti na ambavyo nataka
@danielpaul4108
2 сағат бұрын
Big up our chairman Mbowe you are the public figure of Africa.
@Samtz-mellody
3 сағат бұрын
Kikeke kwenye kazi yake ❤
@angellomarcel5677
Сағат бұрын
Kikeke sasa huyu ndo Mwandishi..anajua kazi yake siyo hawa wapiga kelele
@abdulmajidmageja6562
2 сағат бұрын
Leo haikua siku kabisa nimekosa raha ss kidogo uji unapita chadema ndio Chama ndio watetezi
@NoelChambo
Сағат бұрын
Watanzania wanaandamana humu kwenye comment
@ghottaman2570
Сағат бұрын
Akuna cha Chadema wala hao CCN wazee wa Cuba tume nyuti tu tunajua ktk siasa acha shobo uta pasuka bure angalia hao wametoka sasa we mbonde FFU washa kutengua kiuno saizi uko muhimbiri tena ata matibabu ujapata, Unapo ambiwa sihasa mchezo mchafu elewa, usizani ngono tu
@JacksonMarko-qb7kj
2 сағат бұрын
Jeshi la polisi😂et lema alianza maandamano akiwa ndani ya ndege
@sophsoph4740
2 сағат бұрын
😂😂😂😂lema nampenda 😂😂😂 CHADEMA INAWATIA WASHAWASHA
@CaroOsborn
Сағат бұрын
Mi pia nampenda sana😂@@sophsoph4740
@PeterMahona-zd3oz
Сағат бұрын
Polic havina elimu havijitambui vinyamukila.vikelembwe mhaomwingi hamnakazi nichadema wasiojulikana welepale
@jeanbaraka1008
29 минут бұрын
Nchi letu linaongozwa na watu wasio julikana shina zao zimeanzia wapi... tumekuwa: Dr, Burundi, Rwanda, sudan, somalia etc...
@nyamwalevenance5994
2 сағат бұрын
Kuishi karibu na mahakama siyo kujua sheria
@zakarialema9493
2 сағат бұрын
CROWN 👑🔥🔥KIKEKE🔥🔥🔥
@jaybacky9613
3 сағат бұрын
Kikeke Alie mrudisha apewe maua yakee
@giztony2009
2 сағат бұрын
Amejirudisha mwenyewe ili kuanzisha radio yke
@officialsbjovea5822
Сағат бұрын
Toa uda wcb wako hapa@@giztony2009
@rajabukipara3008
58 минут бұрын
@@giztony2009unatumia Ukiwa Wana MAMA😂
@officialsuccesschannel
3 сағат бұрын
Imetushika🎉🎉🎉🎉
@BungeyiSaiboku
2 сағат бұрын
Duh lema kanichekesha xana ety kwenye tenge ndugu zangu tuko utumwani
@athanasfrank8499
49 минут бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kuna watu wao maisha yao kila siku ni kutafuta shida tu 😂😂
@Brunotarimo10
2 сағат бұрын
Crown tunafanya kazi nsuri
@zaidiissa3714
38 минут бұрын
Watanzania hatutaki maandamano kwani hatusikii mnaandania Nini sasa??? Mbona mnatafutakiki kwaajili ya uchaguzi mbona vya vingine wamekataa kwani nyinyitu ndio mliokua nauchungu na Tanzania pekeyenu????!!!;!🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@DataICT-n8s
2 сағат бұрын
Ashukuliwe mungu kwa kuwatetea watumish wake kuwa salama mbaka sasa ,mungu azidi kuwatunza mh Mbowe,Lema na wengine wote waliokuwa katika harakati za kujitolea katika kulikomboa taifa hili
@IqramMchomvu
Сағат бұрын
SIASA daaah😂😂😂Unaweza sema anapigania wananchi kweli ilaaaa,,,,Ukicheza drafti kete YOYOTE inayoingia KINGI hufanya kazi zinazofanana TAFADHALI TUSIYUMBISHWE NA WANASIASA
@jayson.chanel.9870
2 сағат бұрын
MUNGU AWATETEE VIONGOZI WETU 😢😢😢
@peterjohnbahhi1565
Сағат бұрын
Nimechekaaaa...eti maandamano kwenye ndege
@konderaeriasi6251
2 сағат бұрын
Mweshimiwa mbowe pore sana kakaangu Hiitanzania nimeamin kumbe ukiw mpgania hak selikalin unaonekana mbay mkorofi rakin mungu yupo atajibu
@stanleysongo6895
Сағат бұрын
Big up kikeke
@henryndosi2002
Сағат бұрын
Lema ana sura ya wizi
@kiatu
2 сағат бұрын
Msg imefika mbali kuliko hata maandamano yenyewe - pamoja na kuonyesha jinsi ambavyo polisi hawana ueledi
@Williamstozzo
2 сағат бұрын
Chadema wameshindaaa😂😂
@RynoFire-w8k
Сағат бұрын
Sure hii taswira imefika mbali mno
@venancerichardlukumi4210
Сағат бұрын
Nyie mlikimbia wakati wa magufuli mmeludi tena kumuonea mama aya we acha tu
@niccomedia3147
2 сағат бұрын
Maandamano kwenye ndege Tanzania
@landryalexander8353
3 минут бұрын
Salim kikeke inabidi ujue kua hapa sio London, wengine tunakupenda sana na tunakuhitaji kuendelea kukuona kwenye TV na redio
@NdaroBoniface
Сағат бұрын
Pole Sana katika haki kunagalama
@YusuphRajabu-hz3pv
2 сағат бұрын
Duh vita nikubwa sana hii na kuishinda nimtihani
@esthermakelemo2864
Сағат бұрын
Inabidi nicheke kama mazuri bire,jamani Tanzania ya mama sijui inataka itufikishe wapi, anyways,Piga kelele kwa maandamano ya kwenye ndege akeee😂😂😂😂
@DubaiRolla-rx9nz
Сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Ballycoco
27 минут бұрын
Crown hakika nynyi hamjaegemea upande wowote, msijewaiga wale wenye media za matamko ya ccm
@salama1113
Сағат бұрын
Mungu akuweke kweli ww umesomea habari
@LilyKoba-wx2pj
28 минут бұрын
CCM wanajiona miungu watu iko siku mungu wa haki atawaumbua wataumbuka kuanzia askali wao waandishi wao akika mungu sikia kilio cha wana chadema
@BarakaSimon-xy9mp
Сағат бұрын
Asante mungu
@JustineKyaruzi
Сағат бұрын
Afu ndo watwambie eti kuna amanii tz afu kazi ya polic nini kuzuia watu alafu LISU wetu yuko wap kwa sasa mbona aonekani
@HamzaHeri
Сағат бұрын
SASA MBOWE SIUNAONA AIBU JUWA KAMA WEWE MPUUZI
@salyali7807
19 минут бұрын
Wallahi sitaki kucheka maandamano kwenye ndege 😂😂😂 ... majeshi wa Tanzania wamekua majuha kiasi hichi !
@KananaKadogholo
Сағат бұрын
Waandishi jifunzeni kwa huyu mwenzenu, unauliza masuali yenye weledi sio alimradi!!
@charlzmboya
2 сағат бұрын
Mimi huwa moyo wngu una vuja damu kila napoona haya mateso ya kwa upinzani ....ila kidogo Hapa kwa lema MANENO YAKE YAKI MKAKATI KWA JINSI ALIVYO JIPANGA KUJIBU MASWALI NIMECHEKA SINA MBAVU😂😂😂😂
@selemananexwa5127
2 сағат бұрын
Siku hizi waandishi wa habari washapata muuliza maswali wao, Salim Kikeke, wengine wanategesha maiki na Camera tu. 😅
@AgnesAbel-b1i
2 сағат бұрын
Jamaa anauliza maswali ya maana sana Ila hao wengine dah
@MrJosephatJoseph
5 минут бұрын
Kilichofanyika ni kuwatoa tu viongozi wa chadema ili ipunguze hari ya watu kuandamana na wamefanikiwa THIS IS BONGOLAND 🤣
@JoyceKabula-in1sh
2 сағат бұрын
Asante dana wakili matata
@RamadhanAlly-cf7du
11 минут бұрын
Yani kifup ccm mshajifia mda tu kinacho wabeba ni police wa hii nchi tu wasio jitambua ccm ni mambumbu sana
@mohamedally6992
2 сағат бұрын
MA KULUKULU KUTABI WANALOLIONGEA WALA ALIFAMIKI . FUNGU LA KUKUSA😅
@FrankNzombo-k3j
Сағат бұрын
Chadema ina mawakili wanaojitambua ila serikali ina mawakili ambao hawajui hata kutambua mikataba feki hi ni aibu kwa taifa
@godsson5954
2 сағат бұрын
Polen kwa maandamano yenu
@PheyMack
2 сағат бұрын
Lema mmoja sawasawa na viongozi 1000 wa ccm✌️ picha linaanza kaanza maandamano kwenye ndege shkmooo chadema😂😂😂
@geraldaud
2 сағат бұрын
😢Naumia sana na hali ya uonevu inayoendelea nchini. Mungu awalinde na kuwatetea wanaojitokeza hadharani kutetea watanzania wote wanaoguswa na huu uonevu
@MAINGEROYORO
3 минут бұрын
Ira mungu huyu kama kweri tunamukosea basi atusamehe sana
@JustineKyaruzi
Сағат бұрын
Kazi ya polic ni nini kuzuia watu au
@BenardLucumay
42 минут бұрын
"Maandamano ya kuanzia kwenye ndege -mh Lema "hii Kali iende Moja kwa Moja kwenye kitabu cha kumbukumbu za rekodi cha 😂😂😂😂😢😮 Guinness
@isayaanthon7063
2 сағат бұрын
Ccm hovyo kabisa
@SleepyBirchForest-lq5nu
Сағат бұрын
Watanzania mm nawatakiya ( AMANI ) na ( BARAKA ) kutoka kwa ( MUNGU ) Ila tafathalini sana nataka mujuwe kuwa sisi ( WAKENYA ) tunawatengemeya sana nyinyi kuwepo na ( AMANI ) kwetu ( Kenya ) je kama nanyi mwaaza kuponteza amani je sisi tutakibiliya ( Wapi ? ? ? ) ( ELIYAS _OLE _ KISIRI ) ASANTENI SANA 🙏🙏🙏
@peterkichochi7510
2 сағат бұрын
Lema nijasiri sana ila watanzania ni wangese sana..
@alphoncejmrema7912
Сағат бұрын
Kuna mtu anaitwa Piter Kibatala ukimkamata Mbowe kiukwel ujipange kupambana na Wakili hyu wa Dunia
@ashaali7154
46 минут бұрын
Huna lolote Lema na wenzake muna uwezo wa kuruka kwa ndege wakati hao walala hoi munaowataka waandamane mulitaka waache shughuli zao wawaunge mkono kuandamana kweli hiyo?
@StevenGendo-vx9jo
2 сағат бұрын
Polen sana ndugu Zangu lakn mbwa hiz zikumbuke kila jarbu lina mlango wakutokea
@Sakinaamani-o1t
Сағат бұрын
Yote n muache ujinga serikali n nzuri ata hana akili sifa tu
@loitengia4217
Сағат бұрын
Mwenyezi awasimamie mnaumia kwaajili ya watanzania 😢
@fredychachamkome6829
2 сағат бұрын
Maandamano yalikuwa yanafaa kibaya mmevaa nguo za chama tulitaka yawe ya raia wote
@medimajogoo
2 сағат бұрын
RP JP
@sophsoph4740
2 сағат бұрын
Ila lema alionekana hatalianzisha kweny ndege😂😂😂😂😂😂😂
@Landisy
2 сағат бұрын
Maadam wako salama amna shida, haaaaaaaaaaa Lema yy ameanza maandamano jana kwenye ndege.
@FredrickMatiku-xf2uk
2 сағат бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂ila huyu ndio kanichekeshaaaa kanivunjaaaa mbavu😂😂😂😂 maskini eti alianzaaaa maandamano kuanziaaa kwenyeeee ndegeeeeee😂😂😂😂 ina chadema ni ma comediansss hawanaga seraaaa 😂😂😂
@AmanaHassan-cy4fi
48 минут бұрын
Kikeke ulicho rejea home ndio hicho haswaa...
@stewartdyamvunye-wz6rn
2 сағат бұрын
Hirohitto (Japan). Hittler, Mussolin, Pol Pot, Samuel Doe, Papa Dock, Charles Tailor, Fode Sanko, Banda, Bokassa, Mobutu, Idd Amin, Shah wa Iran, De Cleark (A. Kusini), Batista (Cuba), Joseph Konny. Sasa kanda ya Tanzania: Steave Wasira, Musukuma, mbunge Waitara, ustaadhi Gershon Msigwa, Ahamed Kombo, Mpoto, Kigwangara, Sheikh Mwaipopo, Askofu Malasusa, Fahris Burhan, Peter Msigwa, Makonda, Nappe, Ally Happy, Jerry Slaa, dkt Sulle, Mwigulu Nchemba, itifaki imezingatiwa. Sifa ili ujiunge katika kanda ya tanzania ni: uchawa, kupinga katiba pendekezwa ya wananchi tume ya Warioba, kupiga/kutukana wazazi, kutetea uuzwaji na/au mikataba tata ya raslimali za taifa kwa wageni, udini, unafiki/kukosa msimamo, kukosa hekima. Karibuni sana.
@Kaka_Rambo
Сағат бұрын
Mpaka mwenyekiti kacheka jeshi la polisi form four 😂😂 kuanzia maandamano kwenye ndege
@DaudiMakaza
2 сағат бұрын
Mbowe we n shujaa sn nchi yk
@bashashatvmedia_79
Сағат бұрын
Salim kikeke 🙌🙌🙌
@MwanakomboNassor-bw3by
2 сағат бұрын
Yani mmejichoresha sana na hayo maandamano mmetoka mmepowaaa
@boaztimoth6044
2 сағат бұрын
Polisi wa Tanzania
@sizorstartv6168
2 сағат бұрын
Maandamano kwenye ndegee😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@OmaryLijumba
2 сағат бұрын
Hi sio haki hifike siku tujali haki kuliko masilai ya mtu mmoja
@MusaJastini-po8hm
35 минут бұрын
Lema apimwe akili 😅😅😅😅
@NestorSimbi
2 сағат бұрын
Nyie polis mnapambana vp na watu hawana hata manati si uonevu huo jamani muogopeni mungu haya maisha tu
@faidamuhamed3011
2 сағат бұрын
Dah
@FintanMkesha
55 минут бұрын
Kike mwelev sana mungu akubalki
@DaudiMakaza
2 сағат бұрын
Huyu mama ndo rais wa ajabu nch Yan hn hofu kbs na maish y wt
@User92.invisible
Сағат бұрын
Kikeke safi sana
@jaemnettemukeshumana3019
Сағат бұрын
Nawapenda bure kwakweri eti nime Anza maandamano kwenye ndege
@RoseKipimo
Сағат бұрын
Tunaongozwa na vibaka waziba nafasi hawana uwezo kabisa pumbavu
@HamzaHeri
Сағат бұрын
SHIDA YENU HAMJAJITAMBUWA KAZI YAKUJINADI CHAMA KIKU CHAUPINZANI HALAFU HAMNA HIKMA AO BUSARA NENDENI ZENU MKAWADANGANYE WAJINGA WENZENU
@medimajogoo
2 сағат бұрын
RP JPM
@Boazselemani1
2 сағат бұрын
Crown media Camera Ni fireee
@thaddeojude7511
2 сағат бұрын
Poleni sana ...endeleeeni kuteseka tu ivo ivo sis tunatafuta mkate wetu wa kila siku huku ...
@sittamwigulu8395
2 сағат бұрын
Mmh na wewe unaishi?
@StevenGendo-vx9jo
2 сағат бұрын
Majibwa mengine bwana, naww nae nijibwa
@thaddeojude7511
2 сағат бұрын
@@StevenGendo-vx9jo yaan waaache wakipate wanachokitafuta....sisi bora amani iwepo......tutafute pesaa
Пікірлер: 271