Mmiliki wa Mgawa wa #ShishiFood ambaye pia ni msanii wa muziki @officialshilole ametangaza kuvunjwa kwa Mgahawa wake Tawi la Dar es Salaam kwa sababu za kupisha ujenzi wa Kituo Cha Afya.
.
.
Shilole amefunguka kuwa alipewa eneo hilo na Manispaa ambapo kwa kipindi hicho lilikuwa ni eneo la wazi (Dampo).
.
.
Akizungumza na waandishi wa Habari Shilole amesema kuwa atatangaza eneo lingine ambalo pia amepewa na Serikali
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Shilole #ShishiFood
Негізгі бет BREAKING: SHISHI FOOD Dar yavunjwa/SHILOLE Amwaga MACHOZI kwa UCHUNGU
Пікірлер: 181