Vijana amkeni acheni ujinga CCM watatumaliza wahunii kabisa 😊
@sizorstartv6168
17 күн бұрын
tanzaniaaaaa ni kweli nchi ya amaaniiiiiii😢😢😢 Maisha ya binadamu ndo thamani ya nchii na taifa la kesho ..lakini kufanya haya sio haki ni kuangusha taifa la kesho na kizazi ..pia kwani we mzee ambaye unapesa za laana unajilimbikizia mali na kufisadi nchi ni faida gani maana kesho na kesho kutwa utakufa na sukari au presha ..huku pesa zilizofujwa zibaki benk na hata watoto wako watazilazisiishe .faida yeke nini kwani yukiwalevel moja ya maisha mnakaukiwa damu .MUNGUU WASHUGHULIKIE WOTE WENYE KUTENDA HAYA MARA MOJA ..TUJIBU KILIOCHETU KAMA WANA WAISRAEL
@ibrahimtesha2733
17 күн бұрын
Ni mpango mkakati wa kupunguza nguvu ya CDM
@kennycc3907
17 күн бұрын
Kiongozi sio 80 tu wako wengi sana, Wilaya ya Karagwe na Kyerwa wanatekwa Kila Siku na wakipelekwa hawarudi.
@PaschalGerad-xq4lw
17 күн бұрын
Watanzania msichukulie poa huyumzee hatumlip mshahala wala atumpi chchte ila niuzarendo unamtuma kutekwa sikia kwa jilan ndugu anauma au ukitekwa ww
@DoctorRengeda
17 күн бұрын
Amka mtanzania amka kijana huu ndomda wa mapinduzi afekipa afebek ķataa ccm kataa utekaji kataa mauji kataa uoga twende kwa pamoja tunashinda hii vita
@hamisidd8124
17 күн бұрын
Hawa bwana wamefirisika kisiasa Hawana hoja,je una ushahidi kwamba vyombo vya dolla ndio vinahusia,hao waliouawa singida kwa mganga nao ni chombo Cha dolla acheni uchochezi
@BubuallyMwakipesile-br8dc
17 күн бұрын
Kaka yangu upohihihii
@leonimsimbe7433
17 күн бұрын
Je ni sahihi kuvitaka vyombo vya Dola kutoa maelezo? Vyombo hivyo sidhani vinawajibika Kwa Raia!!! Labda sisi tumtake Rais na wanasiasa tuliowaweka au wawakilishi wetu.
@user-uq7kk4dw2o
17 күн бұрын
😭😭😭😭😭🙄🙄🙄haaaaaa,
@user-mm6sm9rt9x
17 күн бұрын
Unayekenua meno Yako na kucheka katika hili hujielewi na huna akili kabisa.
@user-mm6sm9rt9x
17 күн бұрын
Hiki ni kilio kikubwa TUNAPASWA kupiga kelele Kwa pamoja.
Пікірлер: 14