Wako na Degrees za uongo kabsa ,Mbeya WApo vidhurii 😅
@luluhamza1976
9 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-zo8it6tk8e
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@MusaMkembela-ex6ev
8 ай бұрын
Huyo stella akomae anakipaji kuliko wote hao walio ambiwa wanaenda dar sema salama hakumpenda
@kisakim5660
9 ай бұрын
Nimepata yes tatu majaji wapo vizuri 😂
@AswefaaMohd
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂khaaa nimechekaa
@kisakim5660
9 ай бұрын
@@AswefaaMohd master ameniambia nikaze kwahiyo dar tunaenda😂😂😂😂😂😂😂 Mbeya watani zangu wamenishinda tabia kwa uongo 🙌🙌
@nicetasmnganya5680
9 ай бұрын
Hahaha, Yes tatu ninazo 😂😂 ila tukutane Dar 😂😂
@bilha_nyawera
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@AswefaaMohd
9 ай бұрын
@@kisakim5660 😂😂😂😂😂kivumbiii
@ziadasalimu1730
8 ай бұрын
Huyo shilole mwenyewe hajui kuomba yeye na snura
@momussa6325
9 ай бұрын
igunga kuna vipaji sema shishi unatuchukia kisa tulikuvua❤😊
@starletkhafhuner6535
9 ай бұрын
The judges are not fare, it's so sad the one's who did good are not going to dar esaalm😢😢😢😢
@flawaabu2221
9 ай бұрын
Kumbe nawe umeona
@fixmor7003
8 ай бұрын
Two gays😢
@momonana2905
9 ай бұрын
Mbona kaka aliyeimba nyimbo ya Ben Pol amefanya vizuri, alistahili kwenda dar kabisa. Mara nyingine hii haki haitendeki kama ilivyokua kwa Kingdavid Mwanza 🤦🏾♂️
@Mc_Gwajee
9 ай бұрын
Wamemuacha mshindi
@user-hg7yf8om2p
9 ай бұрын
Big up bss love from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 visit Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@rosehillary8742
9 ай бұрын
Naona ntapata dhambi tu hiku jamani Ila BSS ni very funny
Jaman kuna wat wametokw na aibu😂😂 duh maisha haya😂
@charlesrwabutaza2551
9 ай бұрын
Stella mmemuonea
@roman2270
9 ай бұрын
Ibrahim anajua sana , hata aimbe nyimbo gani bado jibu litakua yes.
@bilshanmartin7660
9 ай бұрын
John mwasomola Mungu akutangulie kaka I see in very different standards ❤❤
@user-kc5sl8dg9r
2 ай бұрын
Sauti yake Kali Ina mamlaka😂😂😂
@Iddahm-vb7nc
9 ай бұрын
Yani huyu kaka aloimba watatu anastaili kabisa kwenda dar anajua mnoooooo😢
@willelia2554
9 ай бұрын
Hapo umewashauri vizuri shaba ranks,Maxie priest,murder she wrote,Romain vigro wao,worry not ,cronixc jah cure oi wasanii,bolingo,sebene,sweet reggae oi
@mganaofl
8 ай бұрын
MAJAJI WENYEWE HAMJUI MZIKI HUWEZI UKAMUACHA HUYO JAMAA WA MANENO MANENO KAMA UNAJUWA MUZIKI SHIDA NA NYIE NDO WALEWALE LABDA TUWALETE KINA MBOSSO KINA BARNABA NDO WAJAJI MUZIKI SIO NYIE
@kombab1112
9 ай бұрын
Huyo kaka alivaa koti la jeans na shati la draft kweli hakustahili hata kurudi kesho kweli! Swagg angejifunza tu
@realjspintertainment4479
8 ай бұрын
Majudgi hao jaman hamna kitu waamuzi gani hawajui kuimba saah,, 😢 eti jaji shilole😅😅 utopolo tu tuna danganyana jmn
@badmanno.1650
8 ай бұрын
Mbeya wamezengua .. nahisi Vanny boy kasepa na nyota zote😅😅
@Iddahm-vb7nc
9 ай бұрын
Katika siku salama umezingua ni Leo.
@Yusufu940
9 ай бұрын
Jamaa kavaa glasses wow ana kipaji mpaka anagera
@user-gw4po4em1s
8 ай бұрын
Love you ibrahim
@badmanno.1650
8 ай бұрын
Sharifa kamaindi kweli .. sasa hujui kuimba tukudanganye 😂😂😂
@IntegrityEP365-ICTV
9 ай бұрын
Jaji wanatoa mtu kwa kusema laha, wao wanasema 'Imba Nyimbo nyingine' badala ya 'wimbo Mwingine' .. 'nina sarura ya sehemu nyingine' 'niwakabisi'..eh! Hata kama wakenya tuna upungufu wa ufasaha, mara Nyingine Watanzania mnatudanganya sana
@user-re7gg6hi3n
9 ай бұрын
Shilole hamna kitu hapo...mrudisheni judge kitime au quick racka switcher..hao walijua judging
@thadeusmahendeka4466
9 ай бұрын
Ni macho yangu au masikio yangu?? Jamaa kaimba wimbo wa Ben Pol - Maneno kaambiwa haendi Dar??? WHAAaat.!!!
@fixmor7003
8 ай бұрын
Ni ujinga wa kiwango cha juu
@didahstan1760
8 ай бұрын
Kidog nijikojolee baada ya namba 0167😅😂
@abdullysalim5020
8 ай бұрын
Nadhani sasa ina bidi muikumbuke tanga wale jamaa wana jua pia Mikoa ya pwani ina msaada mkubwa sana kwenye sanaa please have a look on them
@fatimamsangi2626
9 ай бұрын
🤣🤣 I LOVE THIS SHOW
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON
9 ай бұрын
so nice
@chachamarwa7286
9 ай бұрын
ibrahimu anajua kwa mtazamo wangu
@loemasanzu7193
7 ай бұрын
Jamani naomba mtu aniambie huu wimbo wa mwisho aloimba john mwenye miwani unaitwaje? Anyone plz
@zakayomalongo4573
5 ай бұрын
Unyama mwingi ayise
@ratherwriter4581
8 ай бұрын
Jinsi ninavyocheka nikitazama hii show😂😂dah watu wa mbeya
@theresehakizimana6345
9 ай бұрын
Duh mshiriki number3 😂😂😂😂 eti tumia vipaji vyako vyote 😅😅😅
@BelladonaTz
5 ай бұрын
Bss inaanzaga mwez wa ngap jaman
@Grace_Ministry_International
9 ай бұрын
John anajua sanaa
@EmJesho
8 ай бұрын
Shishi pendeza sana
@Mohammad-hs7nn
9 ай бұрын
Jamaa mwenye amimba kizungu Ako poa bt majaji hawajuwi kitu show kma hizi hazifai zinfaa kufungwa sababu zinavunja watu moyo
@janethsolomon2213
9 ай бұрын
Yaan ni wewe tu kutaka kuvunjika moyo, coz kama wote wangekuwa wanavunjika moyo basi harmonize asingefika hapa, nae aliambiwa hajui ila hakukata tamaa
@mariamkibindo1741
8 ай бұрын
😂😂ila nyieee mbeya uwongo uwongo mwingi khaaa 🤣
@eveniapongo6824
8 ай бұрын
Wakitoka nje wanajimwambafai😂😂😂
@mickdadyronaldo4113
9 ай бұрын
Mbeya wamezengua snaa😂😂😂😂
@dltv7799
8 ай бұрын
Kwan watu wa mbeya mna shida gan😂😂
@omaraliali1268
8 ай бұрын
Munauwa hip hop hii situation hip hop ilivyopata malenia kuna jamaa mister ………. Salama wewe mwenye kujua utamu wa hip pop umemuacha
@ziadasalimu1730
8 ай бұрын
Kuomba hujui una kazi ya kujiramba midomo tu nakujiweka kisera
@user-dx2hf4oe6q
7 ай бұрын
wee hajra ume tisha
@rockyvlogs2214
8 ай бұрын
Mteru
@japhetbarton8268
8 ай бұрын
Muitikio kushuka kutoka kwa washiriki iwe funzo kwenu majaji...kaa hamuoni shida inayokua jiandaeni kuua kitu cha kitanzania cheme thaman kubwa kinyama
@tabithadaniel7364
9 ай бұрын
John akiendelea hivi atakuwa kwenye top3
@Dr.ShermanEj
8 ай бұрын
kwann watu wasi urudie hiyo back ground music ya bongo start search maana iko moto
@golyweezy
9 ай бұрын
Huyu dada wa Hip hop mtunzi mzuri
@innocentkanyata9923
9 ай бұрын
Hawa majaji washamba sana, yaani mtu unamkandia badala ya kumtia moyo ivoivo. Kwan wakati mwingine ajarib
@jamessiyame7212
8 ай бұрын
Mwenye namba ya uyo mdada aliechana bila viatu naomba 🙏🏾🔥
@jacquesmulalirya1704
9 ай бұрын
Asanteee❤
@TinaMacha
9 ай бұрын
Waoooooh
@andrewmkini4323
9 ай бұрын
Mbona mnatuletea vituko
@HusnaMayala-pf3im
8 ай бұрын
Kuna washirik hawajui kuchagua nyimbo
@mosesmligo9614
8 ай бұрын
J umekosea kumsukuma uyo jamaa.😢
@FredOdemba-rw1us
9 ай бұрын
Hiv si mje na musomaa mara mbon mnapatenga san
@VailethPaul-sw9gb
9 ай бұрын
Ety jmn
@tausimohammedy
9 ай бұрын
mtawapiga majaji😂
@NM-yl2uw
9 ай бұрын
@@tausimohammedydah😂😂😂😂
@EmmyMo
9 ай бұрын
Mbali uko😂😂😂😂
@CaroliCarlos-fh4wj
9 ай бұрын
Msoma kabisa, Kuna vipaji jamani🤣🤣🤣🤣
@latifahali8228
9 ай бұрын
Majaji nendeni zanzibar
@khamoshmikidadi618
9 ай бұрын
Akuna vipaji labda vya kaswida 😅
@lastsimbatv1497
9 ай бұрын
Mbeyaa hua kun vipaji sana meshack alitoka mbeya
@user-um1wq3df7t
9 ай бұрын
ahahhh Ritha anasema nlikupa kumi salama anasema ulimpa 8 nyie majudge bna msituchekeshe sana
@user-so3gy2io8l
9 ай бұрын
Jamaa kaonyesha sababu ya kurud mbeya
@glorianikiza3940
9 ай бұрын
Huyu kijana anajua kutangaza saana
@ntihaboseadonis8746
9 ай бұрын
Nimependa saaaana hiii show ❤❤❤❤❤❤❤
@UwamahoroLydia-q9x
Ай бұрын
Sisemi imepita
@jimwafula4733
9 ай бұрын
lakini mbona mtu kujileta kuimba kizungu ilhali lugha zetu huku Africa tukiongezea kiswahili tuko tops kabisa..Masta please unafanya sawa kabisa, entertainment with no emotions is nothing
@wherethefanstarts5302
8 ай бұрын
Shilole amekua kama kigunia😂😂😂
@matymbeya6451
9 ай бұрын
master j acha kuvimba
@swimmermoddy3263
9 ай бұрын
Shilole kachukuliwa tu kwa umaarufu,ila kwa ujudge hamna
@esterdoriye8377
9 ай бұрын
Watu wanawaimbia wapenzi wao wanapewa yes nyie mnawapa no kwanini lakini 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Пікірлер: 190