@@nassoroomary2621uwe unasikiliza kasema kesi kaifungua mwaka jana
@mwalitv4555
Ай бұрын
Dada wakazii....
@aminmohammed4249
Ай бұрын
Kuna siku wakazi atalawitiwa😢
@emmanuelelias5451
Ай бұрын
😂😂😂😂
@kevo_da_clever
Ай бұрын
Hizi kesi zimekua nyingi, sijui ntafute kesi na mimi nipate million 800
@mrsinia3064
Ай бұрын
😂😂😂
@horestsawaya8384
Ай бұрын
Mungu nipe busara kama za bushoke.
@EdwinAdAstra
Ай бұрын
Wakazi huwa msenge msenge sana huyo jamaa
@usercabal
Ай бұрын
Achana nae jini kujua
@alexoswald1725
Ай бұрын
Tangu nimemuona wakazi kipindi cha freestyle interview na marehemu Godzila kwa kukasirika bila hata sababu kiukweli wakazi cjawahi kumkubali kabisa apite hivi
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
Ай бұрын
Kimya kimya, Ongera Bushoke
@FredrickMatiku-xf2uk
Ай бұрын
Sasa huyu mkataba uliisha 2018 angeomba hati miliki atoe ngoma Zake katika mtandao boomplay hawakufanya ata promotion za ngoma zake hakuna ata watu walikuwa wanasikiliza nyimbo zake milioni 500 zitoke vipi hizi njaaaa hizi mirabaha yenyewe wasaniii wanalipwa milioni 8
@faridithomas4859
Ай бұрын
Nenda mahakamani ukasaidie
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
Ай бұрын
Huyu wakazi ana roho mbaya sana
@ScopionScopion-zj9cd
Ай бұрын
dah sasa duniani sasa ivi inaonekana wasanii wa tz wananjaa sana dah washaona sem ya kwenda kunyoa mana sijah kusikia popote nyimbo ya bushke ikichezwa
@modenhosouza5925
Ай бұрын
Ww kutokusikia haimaanishi haichezwi....kwa hyo mahakama nao wehu mpk wampe ushindi?? Bro digital platforms watu wamepiga sana hela za wasanii coz kidog elimu hyo kwa wasanii hawakua nayo...imagine msanii kama saida karoli hana pesa?? Real man?? Muzik wake n maarfu kuliko msanii yeyotez tz ila hana alichovuna ila kuna watu wamevuna...juz tu sogdog na dataz wameshinda kesi wimbo wao ulitumika na filam ya idris elba 2005...imagine
@princekarani7836
Ай бұрын
Digital platform zimeingiza pesa nyingi sana! Kupitia nyimbo za wasanii wazamani! Bro ata iyo Million 500 ulitakiwa kuzidi tu,unakuta wao boomplay wameingiza billions of money
@modenhosouza5925
Ай бұрын
@@princekarani7836 watu uelewa mdg sana....jiuliz tu nyimbo za ngwair leo zpo boomplay...pesa anachukua nani and am sure mamake hakuna kitu anajua kuhus boomplaly wala youtube
@SalimSalimu-z5c
Ай бұрын
Huyo Wakazi hua chizi wivu na chuki ndiyo zinazo mponza?
@aidankakulu398
Ай бұрын
Wakazi ni matako mbwa yule
@Basagamp4
Ай бұрын
Anko Rutta
@MtessaAlly-rd4hf
Ай бұрын
Wakazi ataishia kawa na wivu maisha yake yote na hatoboi ng'oo... Jinga kabisa
@ZukhelLalika
Ай бұрын
Komaa wajina SONGEA
@saeedmassoud256
Ай бұрын
Huyu emex ni mwizi au nbna wtu wengi wanalalamika juu yke
@eveliynejoseph7944
Ай бұрын
Wakazi kaimba wimbo gan jaman 😂😂😂 maan anajifanya mjuaji ,na sion anachokfanya
@dizzomontana7219
Ай бұрын
Uyo wakazi ni mkundu tu kaka ata usi muwaze uwa lina lopoka tu mziki ume lishinda
@nassoroomary2621
Ай бұрын
Wakazi anakuwaga kama shoga.
@ebbyramadhani
Ай бұрын
Ku judge vitu kwa utaahi bila kujua undani ni upunguani
@mrsinia3064
Ай бұрын
Kaka bushoke nitumie ata ka 200K sasa et 🙄
@mussaagrey5679
Ай бұрын
Wakazi kwani uwa ni nan na uwa anaongea nini
@sergebaleke695
Ай бұрын
Wakulipe million 500 sawa, wewe huo wimbo ume kuingiziaga pesa ngapi? uli chezea muda wako mzee baba 😂😂
@feezdidthis2220
Ай бұрын
keshalipwa sasa
@flinchclassic1531
Ай бұрын
Hyo hela ni nzuri sio kidogo ni sawa sawa na millioni 24ksh ya kenya
@tabomusic3625
Ай бұрын
Usiwe mwehu wewe, una uhakika gani kama kachezea muda wake, unajua nini kuhusu yeye au ulitaka umsikie kama unavyomsikia harmonize ndio usema kafanikiwa na hakuchezea muda wake?!, maisha sio kuimba tu, kuna maisha nje ya mziki, unazidi kudhihirisha kwamba nchi yetu ina wajinga wengi…. STUPID
Пікірлер: 45