Mara nyingi walioishi kwenye Ndoa kwa muda mrefu huweza wasiamini kama wakishiriki Seminar za Nyumba Aminifu kuna mambo mapya watapata, lakini Ushuhuda wa Bw Benard and mkewe Emmanuela kwa waliyoyasema baada ya Semina ya Nyumba Aminifu huko Bagamoyo, utafuta fikra hiyo maana hata kama uko kwenye Ndoa ya Miaka 50 kwenye Semina ya Nyumba Aminifu kuna Jipya lako.
- Күн бұрын
BW BENARD KIMARIO NA EMMANUELA TAIRO MIAKA 27 YA NDOA WASIFU SEMINA YA NYUMBA AMINIFU
- Рет қаралды 35
Пікірлер: 1