Join this channel to get access to perks:
/ @msaniirecordseastafrica
LYRICS
Bwana ni mchungaji wangu
Sitapungukiwa kitu chochotee....
Bwana ni mchungaji wangu
Sitapungukiwa kitu chochotee....
Hunilaza kwenye majani mabichi
Hunongoza kwa maji matulivu...
Hunilaza kwenye majani mabichi
Hunongoza kwa maji matulivu....
Hunihuisha nafsi yangu
Hunongoza kwa njia za haki...
Nipitapo bondeni mwa mauti
Sitaogopa maana ye yu nami....
Hakika wema nazo (wema nazo)
Fadhili zitanifuata (Zitanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (Mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (Hakika)
Hakika wema nazo (Wema nazo)
Fadhili zitanifuata (Zitanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote.....
Gongo lako na fimbo yako vyanifariji...
Mimi mwana wako..
Waandaa meza mbele yangu...
Machoni pa watesi wangu
Machoni pa wasiwanguu..
Hakika wema nazo (wema)
Fadhili zitanifuata
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (Mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (Hakika)
Hakika wema nazo (wema nazo)
Fadhili zitanifuata (Zitanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote...
Nakualika ewe rafiki yangu
Uje uwe kondoo wake....
Yeye ni mlinzi mwema...
Atakulinda siku sote....
Hatakuacha kamwe....
Hadi mwisho wa dahari....
Hadi mwisho wa dahari...
Hakika wema nazo (wema nazo)
Fadhili zitanifuata (zitanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (hakika)
Hakika wema nazo (wema nazo)
Fadhili zitanifuata (zitanifuata mimi)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu ( mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (hakika)
Hakika wema nazo (wema nazo...)
Fadhili zitanifuata (..tanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (..aa maisha yangu yote)
Негізгі бет Музыка BWANA NI MCHUNGAJI WANGU // MSANII MUSIC GROUP
Пікірлер: 812