Mungu naomba nipe hatua kwenye maisha yangu❤ niongoze njian Bwana
@Bravesoul01
2 ай бұрын
Hatua nipe hatua bwana✍🏾✍🏾✍🏾amen😊
@DignaKamanzi
2 ай бұрын
Wimbo mzur,unanibariki sana
@lazarobenardi
2 ай бұрын
Ninapousikia wimbo huu ninakumbuka kuwa kuna mahali ambapo bado sijafika na mahali hapo hakuna mwingine wa kunifikisha isipokuwa BWANA Yesu, So kwa namna yoyote lazima nifike kwa kuwa ninaye Yesu anayeijua njia.This song its my prayer point. Mungu awazidishie hatua... WAEFESO 4:13 Hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na KUMFAHAMU SANA MWANA WA MUNGU, hata KUWA MTU MKAMILIFU, hata KUFIKA KWENYE CHEO CHA KIMO CHA UTIMILIFU WA KRISTO.
Пікірлер: 11