Najikuta 😭Japo Kareen Ni Jasiri🤲Mungu aendelee Kumtia Nguvu AMEEN 🙏
@aishaamwalimu2887
Жыл бұрын
Poleni Sana, Na hongereni watoto wazuri, Kwa Upendo na Kumfariji Mwenzenu, Mungu Awasimamie Mfauru Vizuri🙏.
@happysimwanza8857
Жыл бұрын
Oooh Nakumbuka hii story jaman, bado nalia nikimuoma huyu mtoto, namshukuru MUNGU SANA KWA AJILI YA KUMFARIJI HUYU MTOTO. ASANTE MUNGU. CAREEN MUNGU AENDELEE KUKUTUMZA DADA❤
@JoyceAlly-rq1zy
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mdogo wangu usijari Mungu atakusaidia utafanya vzur ♥️ Mungu aendelee kukupa ujasirii zaidiii na zaidiii
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉Mungu ni mwema..hongera mwanafunzi
@afrigrowers
Жыл бұрын
Bora kamaliza akifika nyumban ndo anaenda kukaa msiba.mnapokua wengi hauoni maumivu ya msiba pale unapobali mwenyewe ndo msiba unakuingia barabara.Mungu amvushe salama na hili jarib
@mwanatz5980
Жыл бұрын
Mungu akusimamie mtoto mzuri 😍❤
@mumyhendry2919
Жыл бұрын
😭😭😭😭very emotional see your smile again,and all your frnds 🥰🥰🥰
@rugijofrey3685
Жыл бұрын
Pole sana Careen Mungu akupe nguvu, wito kwa Serikali yetu inatakiwa iwezekeze sana kuwajenga vijana wetu kwenye fikra mtu akisema nimeona bado napendwa ni hatari sana , ni vizuri sana kua positive for all situations.
@chrissg4026
Жыл бұрын
Nimempenda ni msichana jasiri pamoja na changamoto alizopitia! Atafika mbali!
@nackymrutu1869
Жыл бұрын
Mungu aoneanguko lako ,akuinue kwa viwango vya juu kipenzi
@maryclare6512
Жыл бұрын
Pole sana Careen hongera sana kwa kumaliza Mungu akusimamie ktk safari yako ya maisha. Hongereni wtt wazuri kwa faraja kwa mwenzenu mungu awapambanie mpate ufaulu mzuri.
@athensbharat8224
Жыл бұрын
Tunakupenda Careen, Mungu yuko pamoja nawe❤
@mesiamatheo2230
Жыл бұрын
Mtoto anajikaza Sana ...hongera Sana binti😢😢😢😢
@ritapiusnicolaus7068
Жыл бұрын
Pole sana na pia Hongera kwa kumaliza kidato cha 6 Mungu azidi kukuongoze kwenye maisha yako
@eyabdimaha3698
Жыл бұрын
Masha Allah mrembo mwenyewe pole sana mtoto mzuri Allah azidi kukupa subra nakuombea ufaulu vizuri na wenzako ameen
@ismailchingwele9657
Жыл бұрын
Pole Careen, Mungu akutie nguvu zaid na zaid. Millad ayo kazi zenu ni nzuri sana nawashauri hawa ndugu zetu wanaokumbwa na majanga haya ikipita muda fulan muwe mnawatembelea ili kujua hali zao na maendeleo yao. Mfano kuna yule bint alipoteza familia yake mwaka 2019 mkoani Tanga wakiwa wanasafiri hivi hivi nyakat za mvua Tukio lile ambalo Bint alikuja kupewa taarifa baada ya kurud nyumban akiwa kahitimu shule yake. Nakumbuka viongozi mbalimbal akiwemo Nape na Makamba walifika kule Goba Dar es salaam kumhami mtoto yule. Tuleteen taarfa zao uskute wanateseka huko kwa ndugu, jamii hii inaweza kuwasaidia wakitambua hal zao zaid Asante
@melanialeonard4031
Жыл бұрын
Naomba mungu maoni kama haya yawafike wahusika kiukweli mambo ni mengi nchi hii
@zulfasaeed7445
Жыл бұрын
Nimejikuta nalia tuu😭😭😭😭😭😭😭😭yan hapa nipp kazin niko mbali na mama nikisikia tuu anaumwa nalia had nakonda naomba had nalia ila dogo jasiri sana na nafs yake inalia chin chin sana japokuwa anamtanguliza mungu sana lakin anaumia sana mm najua yan ila ukiwa na mungu karib mungu kila kitu kinawezekana polesana mdogo wangu 😘😘🙏
@Safreenfeen
Жыл бұрын
Umoja ni nguvu .....M.Mungu awatie nguvu....aweletee division one ...kwa umoja wao.....nimewapenda sana kumpa moyo mwenziwao....Careet nimekupenda sana umemshiba Mungu...una kila sababu ya kukuambia umeshinda majaribio
@christaoman8890
Жыл бұрын
Kwakweli anamaumivu sana moyoni mwake ila Mungu amtie nguvu sana
@alexaudax-rm8sz
Жыл бұрын
Mungu amtangilie kwakweli inauma sana
@rahabnkya8276
Жыл бұрын
HONGERA SANA kwa kumaliza kidato cha sita . MUNGU akulinde akujibie maombi yako NDOTO zako zitimie kabisa. POLE na hongera Careen
@Yunis-hn9hn
Жыл бұрын
Oooo toto unaongea vizuri wewe unaonyesha mtulivu.halafu imara kweli Mungu azidi kukubariki.
@lidyanapegwa8154
Жыл бұрын
Pole Sana Careen, Mungu akutie nguvu, pamoja na kwamba unaonekana ukitabasamu lakini maumivu unayo makubwa Sana japo hauyaoneshi nje
@noelarhobininestide5190
Жыл бұрын
careen,umenitia uchungu sana,,kama Mungu aishivyo,akukumbuke siku zote,hata kama mitihani umeifanya vibaya,Mungu akutazame kwa jicho la upendeleo.UVUKE kwa jina la YESU.
@suzankibendela1836
Жыл бұрын
Pole sana Caren, na endelea kumwomba sn Mungu aendelee kukupa ujasili na akukinge na hatari zote za roho na mwili
@madam-florensialutego
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu sikusote
@leokamil6284
Жыл бұрын
Pole sana bint
@jaklinifaustini4259
Жыл бұрын
Pole sana
@user-hh9jn2iz5p
Жыл бұрын
Pole Sana mwanangu na hongereni kwa kamaliza mitihani salama
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
Mungu akujaalie dogo wngu💋💋💋
@matswelomphela972
Жыл бұрын
🎉🎉🎉🌹🌹🌹💞💞💞💕💕💕 hongera sana kwenu nyote
@gracesilayo7670
Жыл бұрын
Mungu mwema akujalie ukapate alama nzur za kuweza kuendelea na masomo yako na ndoto zake zikatimie Pole mdogo wangu
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
Amiin
@gladistaemanueliy6336
Жыл бұрын
Aki nimejikuta nalia, mungu akutunze.
@derrickpoul9504
Жыл бұрын
Mungu mwema, careen nakupenda
@hadijamwekilinga2270
Жыл бұрын
Mungu akuogoze
@HighzackMichael
Жыл бұрын
Mtihani lazima utaukalisha tuu,mdogo wangu nimependa Sana unayo moyo wa ujasiri
@MikidadiIbrahimu-st6rg
Жыл бұрын
Nawapa pole ila hao waliosema wanandoto ya kuwa wafanyabiashara wakubwa kama mo waambieni Kuna wanafunzi wenzao Wana mwaka 7 wanasubiria ajira tupo naye site
@user-gl7yv6um9m
Жыл бұрын
Ufaulu vizuri jamani ❤
@SalamaAbdala-fz6cl
Жыл бұрын
Sasa unavyosema eti alikuwa hampendi mama yake ulitaka aendelee kulia mpaka lini ni mtoto mwenye subra watu wanamfariji nae anakuwa jasiri pole mtoto mzuri muangalie vya kuandika
@mabugamussa2860
Жыл бұрын
Thank u beutiful girl God bless u😢😢😢
@neemaonesmo1820
Жыл бұрын
Hatimaye umepata division one. MUNGU MKUBWA, WASIOAMINI MUNGU YUPO HUU NI USHUHUDA TOSHA.
@user-gl7yv6um9m
Жыл бұрын
Pole jamani😢
@ameenaameena1224
Жыл бұрын
Nimejikuta nalia tu japo karin yeye anatabasamu
@jacklinejosam3713
Жыл бұрын
Hongera sana my dear Careen nakupenda sana binti yangu Mungu akupiganie
@esperancenathali
Жыл бұрын
Nisiwe mchoyo mimi mkongo haki tanzania kuna wanawake warembo nyieee hatari good girls and very smart also niwatakieni kila laheri kwenye masomo yenu pia pole ndugu kwa kuondokewa na wazazi wako karen nakumbika pia Anna alivyoo wacwa hivyo hivyo ila Mungu awalinde wadogo zangu nawapenda sana
@nancyg8664
9 ай бұрын
Amen amen
@anethswai9413
Жыл бұрын
❤
@audaxbizimana8084
Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki mdogo wangu
@sofitanzanian955
Жыл бұрын
Mwenyewe caren hana hata huzuni watu wamelivalia njuga
@sofitanzanian955
Жыл бұрын
Mnapenda kukuza vitu wangapi walifia mbona serekali haiwasadii upendeleo tu
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
💔Pole dear
@fodearenos1791
Жыл бұрын
Saikolojist wake Ni fundi kwa kweli msidhani kajikuta yupo hiyo tu, pia wanatakiwa kua nae karb wakimwacha tu anachanganyikiwa msidhani Hana upendo kna watu wanafanya kaz kubwa awe sawa
@hamidahamadi
Жыл бұрын
Hiyo johary atakua mrangi
@fayeezabdallah2217
Жыл бұрын
inshaAllah matokeo yak yatakuwa mazr
@sofiarugoye7929
Жыл бұрын
We unayesema hampendi mama ake ulitakaje
@lightnessabdallah2340
Жыл бұрын
Nifurah kuaona unatabasam tena kpnz siyo rahis kikubwa uzid kumuomba Mungu
@peninashungu6633
Жыл бұрын
Ye anatabasamu mie nalia, najua wala aamini kilichotokea
@mamylnkuzi8482
Жыл бұрын
MUNGU AZIDI KUKUPA TUMAINI NA AMANI YAKE KUU
@sofitanzanian955
Жыл бұрын
Achane shobo
@aginsagins-jf4vz
Жыл бұрын
Kafanana ba millard ayo
@joycemligo4813
Жыл бұрын
Umeona Kam mimi
@JanethAgustino-on9hr
Жыл бұрын
Hata kama ni ujasiri Caren, unaonyesha hukuwa na mapenzi wala ukaribu na mama yako. Pit you
@Muda27
Жыл бұрын
Weee umetokea wapi wewe mpuuzi pumbav zako
@sir_ENOCKMACHA
Жыл бұрын
Neno kuu nalokupa "HAUNA KAULI NZURI"
@sir_ENOCKMACHA
Жыл бұрын
@@Muda27 ni mtu wa hovyo huyu ndugu
@evamakassy9856
Жыл бұрын
My dear plz usiseme hvyo km umezaa au bado plz don't repeat it...mtt mwenye maumivu au wa namna yake huwa anaumia sn na ishara yake n mishipa ya kichwa....na mpk kufika hapo n Mungu tu uwezi kupima upendo wa mama kwa jinsi unavyofokiria mpenz
Пікірлер: 94