True true zuchu in love with mondi but mondi is not in love with zuchu
@AlinaniSiame-yq1nk
3 ай бұрын
you said the truth about diamond platnumz 🎉🎉🎉🎉🇿🇲💤
@eveliynejoseph7944
2 ай бұрын
Carry umenyooka ❤❤❤
@BarbaraPatience-qt9cc
5 ай бұрын
Sai mwaka mwengine umefika!!! Ndio zuchu anazidi kupendwa na mondi.... carry inakukata sana.....
@phinaomy
Жыл бұрын
nakupendaa dada ❤
@Chekibob
Жыл бұрын
Noma sana
@carolsayo6409
11 ай бұрын
💯💯💯
@ceciliambui4
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa zuchu hapana
@noorrajpar3928
Жыл бұрын
Wewe dada ni nzuri sema tu hujui kujipangilia uvaaji na nywele ila ni mzuri sana yani ungejijua hakuna wanaokufikia kibongobongo
@milka1827
Жыл бұрын
Carrymastory is naturally beautiful, African Queen 👑
@wivinemwamini9110
Жыл бұрын
Mungu diamond nimutu waGygiwazamani hakuna asiyejuwa❤😂
@abedysteven4930
Жыл бұрын
Mhhh kwa diamond Lebo kufa hizo n ndoto tajiri wa music 🎵🎵 Africa masharik!! Lebo kufa c Leo labda diamond asiwepo!!
@user-sp3gg7id8q
Жыл бұрын
Diamond ni mwizi wa views na subscribers feki hiyo ndo marketing yake kubwaaa na wasanii wengi kama harmonize marioo washaijuilia ni vile hawana pesa za kuboost views wengi kama mondi, maana diamond kaboost mpaka anawapita kina Burna Boy wizkid
@shamsaalsalamy5159
Жыл бұрын
Kwa maono yangu diamond hana hadhi kabisa ya kua na wanawake wazuri na shida unakuja wanawake wanapenda pesa na kwa nasibu ni pesa tu ndio inawapeleka, ila kwa kusema diamond ni handsome hapana yaani ktk hiyo line hayupo.
@cynthiamuli7258
Жыл бұрын
She is very wise..I love her ,I'm from Kenya.
@Ndiyooo
Жыл бұрын
Nampenda uyu Dada carimastorry na mpenda anasema ujweliiiii saana
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Aaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiii yeye kaganikiwa Nini na ukweli wake
@nahhhh7242
Жыл бұрын
Skiliza dada nikuambia huyo unaemsema ww ni binaadam km binaadam wengine na kingine huwezi zi jua rehma za allah zipoje .... Bt nikufunze kitu UZURI,SHAPE ZA UTURUKI na vitu zengine nilizokuwa cja mention apa vyote ivyo vinafunikwa na kitu kimoja tu (HULKA NJEMA)
@safiasaid9164
Жыл бұрын
True yaani huyu msichana anaakili saaa
@awatifalghanim1106
Жыл бұрын
Mnajuwa anayo yafanya yeye hata unasema ana akili??? Yake mwenyewe hayajuwi itakuwa anajuwa ya watu tuu kuyasema...Mhhhh
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Kwa kuongea kuhusu mambo ya mwenziwe ndio anaakili? Anamtafuta kiki tuu.....sai kuingia mjini lazima uongelee kuhusu zuchu na Mondi......hivi vile amekaa nimtu anaakili.....ama nikama wewe tuu hapo ndio akili imekufikisha
@mjuvemjuve7847
Жыл бұрын
Anaakili looinamuuma kwasababu yeye kama mwanaume acha loombaya kuna umbea na loombaya yani nyinyi wanawake mnaloombaya sana hampendani kwani kupendana na kuachana si kawaida acha loombaya wewe carry ujulikan kama mwanamke au mwanaume
@pendojuma9664
Жыл бұрын
Q
@pendojuma9664
Жыл бұрын
Po
@rosekaiza2716
Жыл бұрын
Carry huwa nampenda sana kwanza ni mkweli pia hanaga makorombwezo kama midoli yetu tulivyoizoea mara wanja kope liplistick mawigi yeye aku! Yeye yupo kawaida sana
@vanessalaizer4363
Жыл бұрын
Nawewe ukiwa kawaida itakuwa vizuri zaidi
@sarahlucongo3867
Жыл бұрын
Wanaume wanapenda vinyonge vinavyowapa furaha, unaweza kuwa na kila kitu na mwanaume akajifeel ana hang hafiti,
@jeremiahisambi9324
Жыл бұрын
Leo umesema ukweli diamond diamond ni ukweli ni muongo sanaaa
@pokomoprincess
Жыл бұрын
Mwacheni zuchuu jameni... Ni mdada anangangana. Na Mungu atamfikisha mbali. Kwa sababu yeye anatia bidiii
@anniejojo9126
Жыл бұрын
Hata kenya akija hapati fans ng’o!!sisi tuko busy na world up hatuna time na nyimbo za kitoto😂😂😂😂😂😂😂kwanza wanaume hapa kenya labda akuje show uchi ndio atapata fans kama 2
@Carrymastory
Жыл бұрын
😂😂😂
@kijanayaaput8940
Жыл бұрын
*Real Talk especially hapo kwa mambo ya relationships💯%🤣🙌🔥🇰🇪*
@bilqis476
Жыл бұрын
Me cna pesa CNA anything lakini kama Kuna mtu nikiwa kwenye relationship nae naeza ficha kama cocaine 😂😂ni huyu diamond, waschana Hawa cjui mbona wanapenda kujitangaza 🤣🤣unajificha ukiulizwa unakana
@bilqis476
Жыл бұрын
Udaku ya celebrities wa tz na Kenya it's very different like 🤭😅😅😂 so diamond analipa watu wasimseme like this mwikaju guy why is naseeb paying him 😂mwikaju hawezi toboa Kenya angekua broke
@moussaayubuchris7491
Жыл бұрын
Ukweli unauma ila unabaki kuwa ukweli👌👏apo mwanzoni nimekuwa nikuelew na kukupenda wap coze umekuwa ukipinga WCB ila kwa ili la Zuchu kwa kweli umeongeya point tupu na kwa ilo la Ali na Konde ni kweli mtupu. Kweli Dada Carry zuchu kwa ilo la USA wamezinguwa sana kwanza anzia ma Burundi, Rwanda, Congo(uvira, Bukavu) Ouganda, zunguka Africa kwanza kisha wende ma USA coze bado sana kwa Zuchu wetu na ma USA kwa kweli niko pamoja na izo point mmeongeleya👏👏👏
@rithakuyala9951
Жыл бұрын
Carry umbea wako umeenda SHULE nakupenda sana ❤
@Carrymastory
Жыл бұрын
Thanks Ritha nakupenea pia
@Makakulaya
Жыл бұрын
@@Carrymastory naishi Canada nipe number yako nataka kukuwowa
Wewe acha mzalau mwanaume yyoyote yule achana na diamond uyo uwezo anao hujuwi utajili wake su mimi lakini diamond yote niutalatibu kawiya ufike sasa wewe dada utaibika uhame kabisaaa Kenya 🇰🇪 utaviona
@lindakadalma6472
Жыл бұрын
Finally finally someone is truly saying naked truth I love carrymastory
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
Umeonaeeee
@adamkazembe8745
Жыл бұрын
Leo ndo nimekuona carry mastory n msichana mrembo mno alafu unalijua xn gemu la bongo
@carolsayo6409
Жыл бұрын
I agree with carry, the worst mistake for zuchu ever
@khadijakamus2850
Жыл бұрын
Zuchu mzanzibar dada sahau ilo
@amisjabubakari7734
Жыл бұрын
This is true ❤❤❤
@Worldwidetv901
Жыл бұрын
Big Facts 🦓 CARRY 😅
@safiyatheonlything7848
Жыл бұрын
ss si kira mtu na wakati wake ujui mapenzi anaweza mtu akawa mzuri au akawa na pesa na akapenda mtu mwengine acha a enjoy mda wake huu akiachwa kawaida tu mbona ata ss mtaani tunaachwa na maisha yanaendelee muacheni mtt wa wawatu
@naseemabdul6637
Жыл бұрын
Mapenz sio kitu ni utu🤣 fala ww uyu carry mastory atachelewa sana kufanikiwa kwq sababu ya iyo akili yake mbovu
@Teddy-fq5oc
Жыл бұрын
Kwa lulu waliongea sana mwisho wa siku aibu kwao ...kuna muda msipende kumuongelea mtu unajuwa wanaume uwa wanapenda mwanamke mtulivu tusubil siku itafika uje urudie hivi unavyo ongea...acheni wivu zuchu anawakomesha
@stoomrajabu7278
Жыл бұрын
Kabisa
@dictarchelsea
Жыл бұрын
Mnamfananisha MaJay na Mwakitombile?
@tatotato506
Жыл бұрын
Nawewe tunaisev komment yako
@Noah-zt5zf
Жыл бұрын
Aki ya mungu huwa nampenda huyu carrymastory walai si anipe nafasi tu niwe nae nimuoe sitomchezea nitafanua Kila kitu chenue atanambia adi kuosha chupi ntafanya tu ntampa mshahara wangu 70ksh Kwa mwezi najua hyo no kama million Moja hivi
@gressjoseph5615
Жыл бұрын
😳😳😳😳
@abubakarmpole4000
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@victoriadaizy5277
Жыл бұрын
70k ksh ni more than 1million almost 1,4. Tsh. All the best 😂😂😂 umbea wote huu utakoma pekeako 😂😂
@Noah-zt5zf
Жыл бұрын
@@victoriadaizy5277 😂😂😂hatar sana
@wilhelmibaganisa5493
Жыл бұрын
Nimekupenda sana , #dadaCARRY IMEONGEA VIZURI.
@imanimohammed8048
Жыл бұрын
Carry anaongea vizur sana Tena ukweli myupu
@lastbornsaadah7632
Жыл бұрын
Carry I love you sister
@lulurubby2235
Жыл бұрын
Wanawake wa kitz wana roho mbaya sana ,zuchu sasa ndio anaolewaaaa tena kwa heshima zote ...mke haina uzuri wala nini sifa za mke huwa tofauti kabisaa
@estherndolo6237
Жыл бұрын
Dadangu Mungu akubariki kwa kunenea wengine mema na baraka
@lulurubby2235
Жыл бұрын
@@estherndolo6237 watu waajabu ,unakuta mtu anakaa akinyanyasa mwanamke mwemzie kisa wivu kwani zuchu si mwanamke tuu kama wanawake wengine ...alafu muangalie huyu mwenyewe anaeongea midomo imeungua kwa sigara na bangi...mungu akubariki na wewe
@collinwalter8965
Жыл бұрын
Private jet zipo Hadi 8m$ Amabyo Ni billion 17 za Tz carry unaongea mng Ila sometimes unaongea shit .
@EvaEva-j6j
3 ай бұрын
Hazi ya uhusiano iko ndani ya moyo nasi mwonekano mwanje
@anjelinakasembe845
Жыл бұрын
Hatakinyimbo ya Amonize ipigwe na Hamo pia amtaki alishamtumia vya kutosha🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
Dada umeongea ukweli. ZUCHU anapoteza muda.
@mugishasharmilla5874
Жыл бұрын
Carry dada yang plus acount yako ya instr sikuoni tena daa naborekaa
@hindabdulziz4868
Жыл бұрын
On point carry ..i love you from kenya ..big up
@tatotato506
Жыл бұрын
Carry leo NIMEKUKUMBUKA NAKUPENDA wemdada
@uwimana6533
3 ай бұрын
Mpaka leo kond boy kafuba ni kiki tuzamjini 😂😂😂
@lorettahamaro9065
Жыл бұрын
Huyu mschana husema the hurtful truth,ukweli mchungu watu wasiotaka kuskia,much love from Kenya.
@Siti_maroneit
Жыл бұрын
Tatizo NYOTA. haujifunzi kwa wemasapetu yule dada aananyota kali sanaa
@massejobbs4284
Жыл бұрын
Uyu dada ni jinga sana , unawivu sana. Utapata aibu. Zuchu ana pesa ana kipaji Pia msomi Pia mzuri…Zari, mobeto tanasha tapeli tu. Zuchu ndo mke 💯 %
@marylema8354
Жыл бұрын
Ila carry Ni shida
@georgettemakene3147
Жыл бұрын
Ukiangalia vizuri haocarry anaosema wasiokuwa na hazi wengi wao ndio wako kwenye ndoa.usishangae akamuoa nawakaishi.yote inawezekana
@blueberrypotatogames7950
Жыл бұрын
Harusi si bwana atowe tu nikusaidizana. Kikubwa ni mapenzi
@yahyashee4857
Жыл бұрын
DIAMOND PLATNUMZ ANA BILIONI KUMI NA MOJA YA KITANZANIA AMBAPO UKIBADILISHA NA YETU YA KENYA NI MILIONI MIA SITA.
@jan6703
Жыл бұрын
Kwa hiyo? Tumeshajua hela ya Kenya iko juu. Unasemaje sasa! We unazi kaka KAPUKU?
@Legends_Interviews
Жыл бұрын
@@jan6703 we nawe
@OnlyRuky
Жыл бұрын
My bby sister carry uwe unafanya interview kila week banaaa
@Carrymastory
Жыл бұрын
Hahaha Sawa ntalifanyia kazi kila yakitokea mambo
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
Ana umbea ulio tulia 😆😆😆mbea aliekomaa
@kahindorose9983
Жыл бұрын
For the first time,carrymastory you have talked apoint.am behind you
@alphonsineniyibigira
Жыл бұрын
Uyu izonguwo alizzova utafikili mudolii
@honestmsigwa920
Жыл бұрын
Madada kama Hawa ni wachache sana big up sana.
@majumaatieno5640
Жыл бұрын
🤛🤛naked truth ooohh ..zuchitta we love you .. Tafakari anayo SEMA carry mastory..
@manirambonahawa3798
Жыл бұрын
Hana hatashepu yoyote kama kama nyoka inatoka penguin zuchu ajipa sumu
@mfalumetonny8466
Жыл бұрын
Carry ni mali safi I love this lady, is she Single? nimempenda dada huyu sana.
Nakupenda da Carry lakini usongee ukamaliza. Tukumbuke kila mbuyu na shetani wake.
@Carrymastory
Жыл бұрын
Hahaha kweli huo ni uchambuzi tu kwa Sasa 🤣🤣
@estherblack2770
Жыл бұрын
Kilauea mtu anajua Dada huyu anaongea ukweli tu. Diamond Anamtumia kwa sex, nothing else!!
@Siti_maroneit
Жыл бұрын
Umekosea sanaa. Kwanini unamtamkia mtoto wa mwenzio whyy??? Eti zuchu sio hadhi ya dai. Wewe nani??? Mapenzi n mahusiano mungu ndio anapanga wewwee tuneona maskini aliolewa na tajiri... Vipi weww
@subirambogoro9843
Жыл бұрын
Sio hadhi yake ndio kwan uongo
@hadijabashiru5146
Жыл бұрын
Umeongea vizuri sana hapo kwenye pesa na familia,,ukiwa na pesa huna familia hio nayo ni tatizo
@mariamalongo8803
Жыл бұрын
Carrymastory unasema ukweli
@justinog3105
Жыл бұрын
Mi nataka kutengeneza chuki na mtu ataongea vibaya carrymastory maana siku zote kwenye interview zake ananitengenezea siku kiukweli😂😂🤣🤣nakupenda sana Mama ♥ love from 🇧🇮to 🇰🇪 ♥
@Carrymastory
Жыл бұрын
Love u
@joleal7941
Жыл бұрын
Mimi sasa nampenda mno
@wendymarrs487
Жыл бұрын
@@Carrymastory 🥰
@tegemeakyangenyenka6111
Жыл бұрын
Waacheni,wewe ndio unahadhi,uzuri wa mwanamke ni tabia na sikingine,msidanganyike
@mishelineamuri3618
Жыл бұрын
Kweri carry una ongeya point
@nahhhh7242
Жыл бұрын
Na kingine jaribu kuwa na lafdha nzr mn uyo unaemponda ni km ww Tu no difference kabiss 🤣😂🤣😂
@lailaoman3856
Жыл бұрын
Kweli yani ajaongea uwongo ata kidogo zuchu ndo anajipendekeza kwa daimond,alafu mwana kulitafuta mwana kulipata
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Ujue carry anaongea ukweli lkn watanzania hawapendi ukweli hpo watamtolea maneno mabaya sababu tu ukweli.
@toomaaloufi6221
Жыл бұрын
@@malak-lz6kx ni kweli kabisa
@yustayusuph9101
Жыл бұрын
@@malak-lz6kx yupo ndani ya moyo wa diamond? au anajiongelesha tu
@yustayusuph9101
Жыл бұрын
Acha alitafute kwani yeye ndio atakuwa mwanamke wa kwanza kuachwa kwenye hii dunia?
@lailaoman3856
Жыл бұрын
@@yustayusuph9101 😄😄
@joleal7941
Жыл бұрын
Carry mastory nakupend sana mudogo wangu
@nadinesafifeza7127
Жыл бұрын
Je t'aime carry
@ashleynatalie3872
Жыл бұрын
Unaupiga mwingi sana., Mwombee mwenzàko mema hili pia wewe upate mafanikio dada.
@beatricejohn1659
Жыл бұрын
Biashara ya Wabongo mpaka kudate eti ni biashara duh...kama ndoa zilivyogeuzwa biashara wanafunga baada ya miezi miwili wanagawana zawadi utasikia wameaachana 😀😀😀😀
@scarletmerab
Жыл бұрын
Carry u are killing me 😂😂😂 but above all the truth hurts watu wajisaidie wenyewe
@yousramutwale2463
Жыл бұрын
Umeongea point
@anicyaedward5605
Жыл бұрын
Carry your very right ... zuchu anadanganywa yan am very disappointed.. daimond doesn’t love this girl ... cyo kwa post hizo za mahaba public... kwann asiseme she is my woman .. yan let’s wait and see daimond anamtumia zuchu na mama ake zuchu anaona sawa. Yan save hii interview tutaona mwisho wake
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Hivi umekua Khadija kopa.....au unafikiria Khadija hajui kulea
@faizamohamed6993
Жыл бұрын
Mamake zuchu sidhani kama Ana furahia haya ilahana la kufanya coz zuchu ni mtu mkubwa hawezi kumcontrol
@zaitunisagwa2082
Жыл бұрын
Ashasema mke wangu.
@lang6626
Жыл бұрын
Sometimes men just want peace and if he can get that from Zuchu then that’s home for him nothing to do with beauty and status
@seraphiamwela6104
Жыл бұрын
Is she the personal spokesperson for zuchu /diamond, leave zuchu alone
@azizabaruan
Жыл бұрын
Wewe carry mastory hunalolote niwivu tu unakusumbua wewe mwenyewe unamtaka diamond Ila yeye hakutaki Simba anampenda sana zuchu na mtakuja kuona tuwape muda
@dutuusalum5873
Жыл бұрын
Mnamuonea choyo mtoto mdogo kamchukuwa daimond
@salmakhalid6196
Жыл бұрын
Sasa Leo carrymastory, uongo wako uko wapi? Ushamba ndio mke upoooo?
@Havani-v5g
2 ай бұрын
Wewe jamani basi unamtaka ww
@khadijaali7919
Жыл бұрын
Very true zuchu anatumika
@bettyokito774
Жыл бұрын
I love you so much carry ♥️♥️♥️❤️❤️🌹
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
TANASHA ALIKUWA FIT
@whitetigerprincy5882
Жыл бұрын
Huyu dada ana akili dah
@josephmakonga3201
Жыл бұрын
Wewe ndo una hadhi yakuwa na diamond muache ajilie vyake.amepata wakufanana nae bhana
@amanimargaret.1576
Жыл бұрын
How about if diamond wife's zuchu??? What will this lady say??
@blessedaggie9159
Жыл бұрын
Yaani history will repeat itself. Zuchu ajiandae kuzaa na kuachwa
@jsabood
Жыл бұрын
Carry mastory upo sawa kabisa..
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Wanaweza wasiachane labda huyo nyota zao zimeendana nawakuu waboos wake huenda wamemuambia huyu ndio nyota yako kua nazuch
@achawanunetv1167
Жыл бұрын
Kama nyota ipi ?
@nadinesafifeza7127
Жыл бұрын
Tu nakupenda dada
@yustayusuph9101
Жыл бұрын
Wewe mwenyewe ni DUME JIKE hata mpenzi wako hajulikani, bora zuchu unayesema anajipendekeza lakin mpenzi wake tunamjua kuwa ni 🦁 Kwenda huko eti zuchu hana hadhi ya kuwa na daimond fyuuu! wewe ndio unaona hivyo lakini diamond mwenyewe ameona zuchu anayo hadhi ya kuwa na yeye ndio maana yupo nae, hallo! umbea wako wa hasara bibie utake usitake lakin ndio hivyo zuchu keshakuwa mpenzi! wa diamond na haiwezi kubadilika hutaki kufa
@Mamatonny2065
Жыл бұрын
Huyo Zuchu anajidhalilisha tu. Afanye mziki aache mambo ya kutekenyana na huyo Simba..
@sonyango1964
Жыл бұрын
Love this lady,very intelligent and composed👌👌👌
@asiashaban5809
Жыл бұрын
Kazi na mapenzi RIP zuuuu
@ziadasalimu1730
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣👍 chukuwa boa hiyo 🥃 zuchu anapoteza muda tu , daimondi ni pyai boy Malaya wa kiume zuchu amepakwa upupu angoje kufa tu mama yake ajiandae kumfunga nepi🙈
@asiashaban5809
Жыл бұрын
😂😂😂😂🤣Agtchuu girl
@tatotato506
Жыл бұрын
@@ziadasalimu1730 😄😄😄😄😄😄😄😄
@naimanimo4925
Жыл бұрын
Diamond should not make a mistake of giving this woman money coz she. Wants diamond to shut up her with money
@sonnyr1899
Жыл бұрын
Huyu dada hoja zake zinamashiko sio za nja kama za kina Mwijaku na H mama. Diamond ana pesa ila wanapenda ongeza chunvi sana kama hio story Ya privet jet Leo mwaka wa 3 toka ilianza kusikika.
Пікірлер: 398