CDF MABEYO - "MAGUFULI KANIACHIA SIRI, KABLA HAJAFA ALISEMA HAJISIKII VIZURI, RAIS NITAKWAMBIA"
Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania (CDF), Venance Mabeyo ameomba kuonana na Rais Samia Suluhu Hassan ofisini kwake akibainisha kuwa kuna dokezo anataka kumpatia.
Mabeyo ameeleza hayo leo Ijumaa Machi 26, 2021 katika ibada ya mazishi ya Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Magufuli wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Alieleza hayo baada ya kuitwa kutoa salamu za pole kama ilivyokuwa kwa viongozi mbalimbali waliohudhuria shughuli hiyo.
Huku akizungumza kuhusu kazi iliyofanywa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika ujenzi wa ukuta wenye urefu wa kilomita 24 unaozunguka mgodi wa madini ya Tanzanite Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, aligusia suala hilo.
“Upendo wake kwa vyombo vya ulinzi na usalama aliuonesha kwa namna ambavyo alivishirikisha katika shughuli mbalimbali za kiuchumi na maendeleo ya nchi yetu, alisema hatuwezi kuwa na vyombo imara bila kuwa na uchumi madhubuti.
“Mheshimiwa Rais (Samia) binafsi Hayati Magufuli alinidokeza, lakini ninaomba nisilitoe dokezo hilo nitakuomba nikuone ofisini….. Simanzi na masikitiko haya makubwa kwetu yanatokana na ukweli kwamba tangu aingie madarakani mwaka 2015 hayati Dkt. Magufuli alionesha kuviamini na kuvipenda vyombo vya ulinzi na usalama kwa dhati.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Негізгі бет CDF MABEYO - "MAGUFULI KANIACHIA SIRI, KABLA HAJAFA ALISEMA HAJISIKII VIZURI, RAIS NITAKWAMBIA"
No video
Пікірлер: 103