Muhongeaji yuko vizuri inaonekana uyu jamaa akawa no1 tz kwa kutetea wanyonge ila hajapata chaneli tu
@BraytonMwakitalima
3 ай бұрын
Mmeni furahisha sana hongereni
@MonayLai
3 ай бұрын
nawaunga mkono yaani kama ndio wamewaza kumsimamisha heri wamwache tu yule mama wa watu sijui mtambakavangu Iringa tunawajua hamyumbishwagi atapigwa asubuhi kura za chap chap
@andrewassey5108
3 ай бұрын
Msigwa ni msaliti aishie mbaliiiiii
@JohnKombole
2 ай бұрын
Nyarusi tunakutegemea wewe nikamanda
@ofreyking5975
3 ай бұрын
Safi sana msigwa mroho wa madaraka aende zake alishindwa had uchungaji
@SundaySteven-bz4yq
3 ай бұрын
Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona
@salummohamed2689
3 ай бұрын
Wana Iringa hakikisheni Msigwa ajione kuwa CHADEMA haikuwa yeye. Ni msaliti ameshikwa matiti tu kalegea, akavulie gauni lake huko alikoenda.
@AthumanDauda
2 ай бұрын
Point kubwa
@tumainikibona5252
3 ай бұрын
Nyalusi uko imara sana hongera
@elibarikimollel7149
3 ай бұрын
Wana Iringa Msigwa alikua chain ya viungo vingi,na mnyororo mmoja ukikatika chama kinaunga tena mwingine, kinaendelea...mbinu zozote za ccm za vitisho, hongo,utekaji,nk ili kuua vyama haitafanikiwa!
@OswadSanga-hb2vi
3 ай бұрын
Ukweli ni kwamba msigwa kufeli uchaguzi unahama chama tumpuuze msigwa watanzania
Amelamba Dora 300000 toka ccm msigwa huyo ili kusariti chadema
@isackphilipo9870
3 ай бұрын
Safi sana Mwenyekiti
@leodgardotmar7198
3 ай бұрын
Iringa msituangushe, vanya lukolo
@neemanziku5403
3 ай бұрын
Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu Yan msigwa ww Ni kigeugeu umesha fungwa mdomo huko uliko kwenda
@onesmomasala-rg2wd
2 ай бұрын
Nimekuelewa kaka vizuri sana
@George-jz3jg
3 ай бұрын
Nyalusi pamoja na hayo maneno utashangaa kesho tunakusikia upo ccm
@AnordKirizestom
3 ай бұрын
Nataka kadi ya chama naipataje? Nipo mkoa wa kagera wilaya muleba namba yangu ni 0657952339
@FrankMwakatundu-cu6bd
3 ай бұрын
Hongera Sana Anord Kwa UZALENDO wako, wewe una Kili kubwa ndiyo maana umetambua kuw CHADEMA ndiyo chama cha siasa pekee IMARA nhini kuing'oa ccm na CCM inajua hivyo ndiyo sababu inazuia Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi paka SASA!!! Nina uhakika wahusika wakiona.namba ya simu yako watakuhudumia.
@FrankMwakatundu-cu6bd
3 ай бұрын
Arnod nimesahau Jambo muhimu sana nalo ni usiache kujiandikisha Kwa ajili ya kupiga Kura kwa 2024 na 2025 Kura yako 1 Kwa CHADEMA no mtaji mkubwa Sana. Tuko pamoja. NAIPENDA NA KUIKUBALI SANA CHADEMA CHINI YA KAMANDA MH. MBOWE MWENYEKITI BORA WA SISA SAFI NCHINI!!!
@andersonnyahove2867
2 ай бұрын
Anord unaishi wapi nikuelekeze namna ya kupata kadi mpya za chadema na CDME no mpya? Mm ni kati ya wanaosajili ila nlipenda ufanyie uliko ili iwe rahsi kupata kadi na kulipia hkohko
@abasiachimika541
2 ай бұрын
❤tunashukuru kwa ufafanuzi
@jmastertz161
3 ай бұрын
aende tu yule kwanza mubifsi sana yule
@cyprianboniphace-oz5lw
3 ай бұрын
Kiongozi aliyekuwa na mvuto kwa watu alikuwa Lowasa aliondoka CCM na watu Chadema ikapata wabunge 48 Msigwa kaondoka yeye na familia yake.
@kibemassao6478
3 ай бұрын
Bro unajua kuongea...
@giftkalenge418
3 ай бұрын
msigwa maamuzi yake ni ya kibnafisi hats hakufikiria familia yake maana haitaaminiwa kwenye taasisi kubwa za nadani na nchi na nje ya nchi kwa mantiki ni damu ya kizazi kischo na msimamamo
@GasparMfoi
2 ай бұрын
Tunataka kadi za chama
@tibbsminja2575
3 ай бұрын
Sana sana atakalolifanya siku anakuja kwa mkutano atakuwa amewanunua wanaCCM watakuja kujidai wanagama CDM kujiunga CCM kumbe niwalewale!!!
@JohnKuyumbe
3 ай бұрын
Mnaojielewa bakieni kujenga demokrasia
@twaibumikidadi7377
3 ай бұрын
njaaa hatrr sanaa
@rebekakulwa6159
3 ай бұрын
Kwa hayo yaliyofanyika awamu. Ya tano wew uliyafurahia kama mwanadamu lakini mungu hakufurahia ndo maana alimuondoa magufuli haraka sana
@Ajijji12
2 ай бұрын
Nyie mnaitaja CCM Kila siku
@dignakanje4508
2 ай бұрын
Mkizidi kumzungumixia mnampa kiki.Mwacheni abate hko mwishoe atafifia kama walivyofifiia wengine.Ccm nichama kinajua adui naasie adui.Hopo wanampamba tu ,aombe mama amwonee huruma apewe ukuu wawilaya.Nasari yko wapi sasa.Alikuwa anawaka akiwa chadema,kaenda ccm akajikuta Kawa mtoto mdogo.
@etufaniakahemela5879
2 ай бұрын
Msigwa hata yeye anajua amepotea ndiyo maana analopoka manene ovyo ovyo
@Kalunirashidi
3 ай бұрын
.mnazirizi sakosi yenu
@giftkalenge418
3 ай бұрын
kwanza sio mhehe ni mngoni mhehe ninavyo mjua mkwawa hakubali kuuza utu wake
@BlessMwangosi-mz8dw
3 ай бұрын
Msigwanimuwanji
@MonayLai
3 ай бұрын
yaani kwa changamkeni mpate mtu makini jimbo liko wazi hili ushindi wa bureeeeeeeeeeeee 😆😆
@jacksonchatanda9683
3 ай бұрын
kiongozi naona mafua yamekubana sana, au homa ya kuondoka msigwa😷😷😷😷😷
@George-jz3jg
3 ай бұрын
Ukweli hata hicho kikao hakingekuwepo mmekaa kwasababu ya msigwa kuondoka Nijuavyo mimi chadema iringa mkoa ilikuwa ni msigwa hata kwenye taifa msigwa chadema imepata pigo
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
3 ай бұрын
Acha uongo wewe
@abdalahgunda1319
2 ай бұрын
Ila tusizarau watu vilevike chana ni watu makini nccr mageuzi ilikufa baada ya kuondoka mrema ni sawa na chadema ni lisu mbowe hao ni ndio wenye kushikilia chadema mojawapo akiyumba tuu nadi chadema lazima iyumbe
@marthaswai1185
3 ай бұрын
Chadema ni jiko la viongozi.CCM tuwe makini.Wanaweza kuhamia wote kwetu ili kutusukuma nje kindakindaki
@alphoncejmrema7912
3 ай бұрын
Niwaambie kitu msimtaje taje tena
@yahyahamisi2038
3 ай бұрын
Ccmm wamemchoka jeska 🤣🤣 mchungaji changamkia fursa 🤣🤣 waweza teuliwa au kuwa nbunge 😢😢 CCCM oyeeed 🤣🤣🤣😆
@josephatmhamiji4886
3 ай бұрын
Kiongozi mwenye hofu na mungu ataheshim maandiko matakatifu
@GodwinIssack
2 ай бұрын
Mwendawazimu yule hana akili anasumbuliwa na njaa.
@ndalahwakulwa4517
3 ай бұрын
Petro ni ULANZI Ni mlevi😂
@MatronaThomas-wz5si
3 ай бұрын
Hao ni watu ambao wanaweza kukiuza
@yohanamsongole6489
3 ай бұрын
Lakini naona wengine wamekunja sula
@AiserAli-mq6sz
3 ай бұрын
Sura yako mtu njaa kali sana ww wanunulika haraka ww wacha sifa
@ndogoroedson199
3 ай бұрын
Chadema ni meli mbovu wala rushwa ninyi kwa mujibu wa mwenyekiti wenu! Chadema cyo chama chako msigwa atakitaja tu kwa unafiki mlionao
@BraytonMwakitalima
3 ай бұрын
Nyinyi mlio uza nchiii je
@SaidShabani-s4o
3 ай бұрын
Inaonyesha mmeumia sana Kuhama kwa msigwa nyie bakini na sakosi yenu Mwenzanu kaona mbali
@barakalameck7342
3 ай бұрын
Kwanini hakuona mbali mda wote mpaka aje aondoke wakati wakushindwa uchaguzi..huyo nimroho wamadaraka.
@epimackjohn461
2 ай бұрын
AISEE HUYU NI KIBOKO KAIVA KICHAMA , KIMSIMAMO NA KIMTAZAMO !!! NCHI NI MOJA WATU WALEWALE . TUNAYOHITAJI NI MAENDELEO YA NCHI NA WATU WAKE . MTANZANIA YEYOTE WA CHAMA CHOCHOTE KAMA ANAJUA MAANA YA UKWELI UKO KWA MWAMBA HUYU !!!!
@khatibabass3106
3 ай бұрын
Mwenzako msigwa alisema nyumba itiwe moto akihama wewe unasema utakua wa mwisho
Huyo si mchungaji tena, kakosa uvumilivu, njaa nayo imechangia
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
3 ай бұрын
MSIGWA ULISHINDWA KUYATAMBUA HAYA USIFANYE MAAMZ YEYOTE YALE UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA MAZALA YAKE UTAKUJA JUTIA
@eliasmakoye3939
3 ай бұрын
CDM mazambi ni mengi
@MalamboSelijusi
3 ай бұрын
Tafuta sera
@emmanuelngabuji7583
2 ай бұрын
😂😂
@samwelkavwanga4491
3 ай бұрын
Video mbovu inakata
@dennisungonella205
3 ай бұрын
Jengeni chama kama taasisi, acheni kuabudu watu
@SixtusSanga-u8y
2 ай бұрын
Pointi
@augustinemainde
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@vascomwalongo451
3 ай бұрын
Nop. Hakuna Upinzani Tz.
@AiserAli-mq6sz
3 ай бұрын
Ww unaushahidi kuwa ccm inateka watu ww una jua mengi ulezee viombo vya usalama zaidi ingikuwa wakati awamu ya 5 saa hii umesahaulika hauko tena raia uko polisi waeleza vizuri
Chadema sio chama demokrasia ni cha mbowe ww humtaki msigwa kiti cha iringa mjini cha msigwa wacha tisha toto hiyo ww ata mavi ya msigwa huyawezi paka ww
@SundaySteven-bz4yq
3 ай бұрын
Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona
@sophiemsuya6507
3 ай бұрын
Tumempa pole Mchg Msigwa. Angeondoka mapema au angesubiri hata ipite miezi 6 ndipo aondoke, ila kwa Sasa inamaanisha alitaka kujimilikisha uenyekiti wa kanda ndo kakosa, ameamua kutimiza ndoto zake za kutangatanga.
Пікірлер: 100