Wanaomiliki bunduki ni vyombo vyake. Mpaka kujiamini kwenda kubeba bunduki mchana mchana kwenda kuteka na kuuwa.
@SmilingCityMap-xb9md
6 күн бұрын
Sikio la kufa halisilii dawa na aliezoea kunywa damu ya binadamu kuiacha ni ngumu tunaomba mungu atuondolee hawa wadhalimu maana anawaweza
@EphraimMwandemange
5 күн бұрын
Kesi ya nyani kumpelekea tumbili
@fabianmainchanyangachika5017
6 күн бұрын
Tunahitaji FBI hapa
@AmiriAbdallah-g5x
6 күн бұрын
Tanga tumemzomea mkuu wa mkoa na waziri masauni, sasa hata tulia hatumuogopi angekuja pia tungemzomea. Na kiukweli hatuwataki madarakani wapo tu kwa matakwa yao.
@mage5371
6 күн бұрын
Mungu baba rejesha mishipa ya huruma kwenye vichwa vya watawala wetu!! "jaman eti Mihemuko!
@sadickissa1600
5 күн бұрын
Tume ngapi zimeundwa majibu ni nini? Salamu zao Tanga tupo vzr jibu litapatikana tu
@emanuelKarei
6 күн бұрын
Mungu yupoo siku Moja yote yatafichuka
@Grace-s3z
6 күн бұрын
Tulia ana nguvu kubwa adi anamwagiza Mungu kazi ya kufanya!!!!
@rithaurassa
6 күн бұрын
Vyama vyote vinaviongozi wenye. Hofu yaMungu busara hekima Ila kimoja tuu kimejitoa ufahamu kwa wanalolijua wao naona wanataka watu wote wawe masezeta Hamed mtoto wangu unsema ukweli kabisa.
@sospetermagai9429
6 күн бұрын
Hakun tume hap bro huwez kujichunguza mwenye izo niporojo
@christinenyagiro6662
6 күн бұрын
Tulia halikuwa hajaona Tulia labda alikuwa anapanga hiyo mipango na kwa kuwa alikuwa ajatimiza kumuuwa Ally Kibao. Kwa kuwa ametimiza hazima zake leo anasema liwe mwisho. Kama polisi na usalama wa Taifa watawezaje kujichunguza?
@jarnskorelly464
6 күн бұрын
Bora jeshi litawale tuchangue Rais mwingineili nchi iwe na Amani 😢😢
@ImeldaMtweve
4 күн бұрын
Yaani wanalipwa kwa kodi zetu wananchi tena wana heukaa kua mauaji na watekaji kwa kweli mungu awalaani hawa watu😮😮
@kinkybanjukome217
6 күн бұрын
Very good point Hapo wanatudanganya wao mapolisi ndio wahusika hapo hakuna uchunguzi ni ubabaisha tu
Kwa wakati uu kwa upande wangu sina imani na selikali ii kabisa ata afanye nn ila sina imani nae kabisa yaani
@nurumohammed1310
4 күн бұрын
Bora tuchague Raisi mwengine au jeshi litawale mara mia
@jescageorge-fv8yt
6 күн бұрын
Mwisho wait umefka jaman Mungu yupo
@RESTITUTAMOLLED-mp3pp
6 күн бұрын
mm sijui kwanini hao watu mpaka sasa hawaja jiuzulu mpaka sasa?hatutaelewa wala kuamini jeshi la polisi
@gaspermsunga8686
6 күн бұрын
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA,HUU NI MWANZO,YAJAYO YANASIKITISHA SANA,OLE WAKE AMWAGAYE DAMU YA BINAADAMU.
@isayalemberua9195
3 күн бұрын
nikweli kabisa sio Bwana ametowa nishatani ametowa nalazima mungu adaii damu ya wenye haki
@norahfrank
6 күн бұрын
Mchi hii ina watu wenye akili na hekima ya juu sana.hata kama hawajalingana na wewe ktk maswala ya pesa.lkn adui hataki mawazo hayo.hupenda kuwa kinyume na hayo.nimpongeze sana kijana huyu kwa mawazo yake Big Big.big up
@hoseamwambambale3503
6 күн бұрын
Akuna cha uchunguzi apo ila anajisafisha ili aonekane ausik ila ni watu wake tu na tusipite pembeni.aya ni matokeo ya kauli ya tulia na watu wake
@achiliadinan430
4 күн бұрын
Tumekuelewa lakini hebu karibu kuweka kiswahili chako vizuri sehemu ya kuweka R tumia R Na sehemu ya kuweka L weka L kama kauli isiwe kauri sawa
@AnnaFelix-p1z
6 күн бұрын
Zanzibali wametekwa wangapi?
@ZephaniaNdaki-vq1ti
6 күн бұрын
Aa, Rais alichukua hatua mapema ya kuwaengua Nape Nauye na DC wa Longido, kwa kuwa waliumbua Siri zifanyikazo kudhulumu uchaguzi halali ili kuipitisha ccm; lakini kutekwa, kupotezwa , kuteswa na kuuawa kwa watu, hakuumizi maslahi yake hawezi kuchukua hatua za kikwelikweli ni kulaghai tu!
@user-yw3qh6qj8g
5 күн бұрын
Spiga bereeeee kabisa huwa namkubali sn lkn kwakuzuia hoja muhimu
@SAIDIMUKSIN-iy2op
6 күн бұрын
Ni kweli
@AnociathaChuwa-cb5nk
6 күн бұрын
Hakuna haki itakayopatikana kwa tume hiyo haitakuwa na ukweli sana sana wanawapa jinsi ya kulipooza tu!!! Tume inatakiwa ijumuishe Majaji viongozi wa dini viongozi wavyama vya siasa na wajumbe wa haki za binadamu wa ndani na nje ya nchi Vinginevyo ni mchongo tu
@MeltonnyAther-ct9ff
5 күн бұрын
😢😢😢
@KalicKaguz
6 күн бұрын
Tatizo ndan ya serikali Kuna serikali yenye nguvu zaidi kuliko yenye kujihidhirisha
@rahma6189
6 күн бұрын
Mungu anawaona
@seifabdallah4286
6 күн бұрын
Mungu kaumba kila kitu ukikosea unamkosea mtu na ukimkosea mtu umemkosea mungu pia kwa sabababu hata mabaya na mema kayaumba mungu ili atujaribu
@senyagwadickson9084
Күн бұрын
Nyie mnaona mna spika wa bunge hapo
@gowekogoweko5803
6 күн бұрын
FACT 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@JosephAdam-e9w
4 күн бұрын
Mm naona bola kunyamaza kuliko kuongea ukauwawa na kuicha family. Nawatoto kungulu nimuoga na anaishi maisha malefu
@emmanuelmayunga1518
5 күн бұрын
Mungu itetee nchi hii na uondoe wote wenye nia ovu na Tanzania
@abdallahkihanza482
4 күн бұрын
Masauni hawezi tolewa ni home boy
@isayamwashibanda5819
6 күн бұрын
💪💪💪
@seifabdallah4286
6 күн бұрын
Tumuogopeni mungu
@HanifaOman-oo4pl
6 күн бұрын
Tulia sialisema yeyeajasika walaajui kama kunawatekaji. Kwahiyo miaka yote hiyo. Walikuakimya watu wanatekwa.mpaka mzee wawatu maarufu ndiyo wanajifanya kustuka. Ni ahibutu wanaona kwasababu maalufu ingekua laiyakama mm wangepiga kimya wangejifanya.hawajui. Mungu awaxalilishe watekaji. Amyn
@zulekhasaeed6046
6 күн бұрын
Niserekali musihagaike
@GhaniaSaid-u5k
6 күн бұрын
Huyu analipa kisasi cha waznzbr kuuliwa na mkp na yy analipa kisasi
@EmmanuelMpiga-j5f
6 күн бұрын
Umegusa myoyo ya watu umeongea kweri sana
@LazaroMwakasege
6 күн бұрын
Hawo wanajiwa walio watumia kipindi cha magu nabado wana vikundi vingi vya kuziru watu
@user-yw3qh6qj8g
5 күн бұрын
Spiga amesababisha,kwakukataa hoja ya dharula
@paulombay6884
6 күн бұрын
Wenajua ni chadema mwenzang ila unazingua dogo,,polisi ,ccm na usalama ndo wauaji mojakwamoja
@JohnasGohagi
5 күн бұрын
MUNGU AINGILIE KATI KWA MATUKIO HAYA SELIKALI IMESHINDWA
@louisnyoni4139
6 күн бұрын
Hii nchi ya ajabu sana viongozi wanasema nchi Ina amani na utulivu eti haya mambo yanayotokea hayaashilii uvuchifu wa amani Ina maana kipimo Cha uvuchifu Hadi muone watu wangapi ndio mseme ni kweli, wananchi tunataka uwajibikaji Kwa waliopewa dhamana.
@diltondilunga9915
6 күн бұрын
Ni kifo Cha shetani,
@hajikadoma1652
6 күн бұрын
Samahani mmnapita tu naomba niulize kitu kwani shetani na binadam wote qameombwa na nani acheni wenye taarumayao wafanye kazi kama hamuwaamini mpakaleo hii amani mnahisi mnailinda nyinyi chadema au mnalopoka tu pili naomba nijuwe tangu uzaliwe nilini ulisikia kunanchi gani iliwahi kuagiza wachunguzi wa inje acheni kuingilia kaxi isio wahusu muwe hekima acheni kutuletea upotoshaji
@user-yw3qh6qj8g
5 күн бұрын
Sipika ndie aliesababisha
@AnnaFelix-p1z
6 күн бұрын
Hata samia nimiongoni yeye ndo anaeagiza tume ni yake mauwaji niyeye
@tedlema8105
6 күн бұрын
Hawa viongozi wa nchi hii wamechanganyikiwa na hawajui wanachofanya,aibu sana kuwa na viongozi wa nchi hii,kumzomea masauni halitosis bado
@senyagwadickson9084
Күн бұрын
Hawawezi jiuzuru hao wanauchu wa madaraka majizi wakubwa
@sagandamalechampullo659
6 күн бұрын
HATUTAKI UCHUNGUZI WA NDANI YA NCHI UCHUNGUZI WA KIMATAIFA UFANYIKE, FBI, UINGEREZA, RUSSIA, ITALIA WAJE KUTOKA NJE YA NCHI
@neemanziku5403
6 күн бұрын
Mbona spika amesema kwamba atakaye msema rais anyone nae atakaye msema mbunge anyoke nae
@jescageorge-fv8yt
6 күн бұрын
Wakamatwe kwanza traffic aliwaona hao watu
@user-yw3qh6qj8g
5 күн бұрын
Mbeya mkataeni spika,alikataa kujadili utekaji
@paulobanzi5962
6 күн бұрын
Huyohuyo tulia kuna krip yake ipo mtandaoni ya uchochezi ukiona kiongozi waccm anafuatwafuatwa kulanae sahani moja siyo uchochezi angeongea mtu wa chadema ingekuwa uchochezi tayali taifa la tanzania lime baguliwa na watawala
@davidmalogo7100
6 күн бұрын
Vyombo vinamilikiwa nanani nawatekaji niakinanani
@JoachimKisoka-d5l
6 күн бұрын
Kwani kwenye familia cdm hahuna ccm?
@user-yw3qh6qj8g
5 күн бұрын
Spika amechangia kifo cha kibao,kwakauli yake
@user-yw3qh6qj8g
5 күн бұрын
Spika amesababisha utekaji
@user-vz8ty1ed5e
4 күн бұрын
ao wote waogo atuna serikari apa ira IPO siku wananchi tutacho tutatembea namapaga Bora tuwane tu
@AyubuChacha-u6u
6 күн бұрын
Mwambie atume mawaliki wa TLS wajunguse hilo tukio.
Tume ya majaji inapeleka majib kwa na huyohuyo rais ,achen utan akifa mwingine watu wawe rodin kuelekea ikulu.
@user-qu8qt2gr3h
6 күн бұрын
Mungu alitoa stm imetwaa
@ErnestiSulle-w9k
6 күн бұрын
Bro hiyo timu ya majaji wawarudishe kina deus soka, mlai na mwezao, baada ya hapo tutawaelewa.
@AbdulhaamisSoud
6 күн бұрын
Tulia na serekali yao ni wanafiq,watekaji,wapitezaji wa raia,chinja chinja,wanapori,wauwaji ni wao CCM
@abdallahkihanza482
4 күн бұрын
Shida ni ubinafsi, uzalendo haupo kwa waliopo madrakani, wanalinda maslahi yao binafsi
@AllanLyombile
6 күн бұрын
Unapongeza juu ya watowa matamko, kwani umeshajulishwa wanaowatuma watekaji ni akinanani? mnataka watekaji wajulikana je wanaowatuma?
@EzekieliMasail
6 күн бұрын
Vp
@GeofreyMwandanji-ot2lf
6 күн бұрын
Watanzania tuache uwoga
@edwardmwambene3748
6 күн бұрын
Jw mkowapi chukueni nchi kama Burkina Faso
@FurahaNelson-z6c
5 күн бұрын
Sina imani naye
@DeeZote
6 күн бұрын
Tukutane 2025
@JovinMutakumwa
6 күн бұрын
Tusiache kuombea Mifumo Mifumo, Mfumo una nguvu kuliko mwanadamu lakini Mungu anazo nguvu kuliko Mfumo kwa sababu yeye ndo mwenye Mifumo
@henrymligo2440
6 күн бұрын
pazeni sauti,watu tuokoke
@AndrewShiratu
6 күн бұрын
Kama wasaidizi wa rais hawawezi kujiuzuru kwa kashifa hii.basi raisi ajiuzuru yeye.tufanye uchaguzi wa raisi mwenye kuweza kukemea vitendo hivi na kuwawajibisha watu wenye unyama kama huu.
@ErickAlipipi
6 күн бұрын
Ukwer unajulikana nyosha maneno kuwa ccm na jesh la polisi ndo linahusika kwasababu walio mteka Kamanda mwenzetu walikuja na bunduki na magali ya selikal pia viongozi wa ccm wanongea hadharan Kama DC wa longido, kija wa uvccm bukoba na watu wengi wanaongea hadharan
@SethMwakangata
6 күн бұрын
Hivi Trump alipopigwa risasi hivi tume imeundwa au bado tuombe msaada marekani
@generosennko8343
6 күн бұрын
Kijana ameongea vyema sana. So called viongozi baadhi yao hili sakata limewaelemea
@daudimchileg307
6 күн бұрын
Unahoja kwaumbali, understand
@hoseamwambambale3503
6 күн бұрын
Amesema ii tukio liwe lamwisho ina maana idadi ya watu ambao alitaka wa uwawe wametosha
@veronicanabina3380
6 күн бұрын
Kwa wachunguzi wa nje na mm nitatoa 100 yangu
@saidemuamedeali2678
6 күн бұрын
Duu
@gowekogoweko5803
6 күн бұрын
HILI TUKIO LIWE LA MWISHO LA KWANZA NI LIPI
@jescageorge-fv8yt
6 күн бұрын
Wew tume Yann jaman wanajua kula kituu
@ceciliamagalabajimmy4391
6 күн бұрын
Shughulika naeee Nyooka naeee. Leo imekuwaje?
@philomenastephen3364
6 күн бұрын
SHANGAA!!!
@nicholauskilosa5336
6 күн бұрын
Jeshi lichukue nchi
@rwezimulastephen3713
6 күн бұрын
Adui shetani na wafuasi wake binadamu
@jarnskorelly464
6 күн бұрын
Lakini huyu Rais anataka muchangue nani??? Rais awe mwingine
@SedekiaIsrael
6 күн бұрын
Hawezi huyu
@hajikadoma1652
6 күн бұрын
Sasa ww unataka ajiudhuru kwani ww ndiye ulie mchagua acheni kuingilia uhuru wa wengine yani nyumba yako ukishindwa kuiongoza ww unaitaga majilani wakusaidie acha ulopokaji ww kale kalale acha kuviingilia vyombo vya dora vinavyo taka kufanya kazi
@FloridAsenga
6 күн бұрын
We akil huna
@ULIRCKTARIMO
4 күн бұрын
Ajiudhuru au ajiuzulu?hovyo kabisa
@clemencemkondya8561
3 күн бұрын
Wajinga sana .mnauwana wenyewe .spika hajakukosea na Rais aliagizwa tume iundwe acha porojo .
@Jal210
6 күн бұрын
Kwendaaa nyie Chadema nani awape nchi wahuni nyie
@ErnestiSulle-w9k
6 күн бұрын
Mamako wewe, mmeweza nyie.
@edwardmwambene3748
6 күн бұрын
Muhuni nimamayako msenge wewe
@RobertshijaMakumi
6 күн бұрын
Kumbe wanapoteza watu sio wahuni?
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
6 күн бұрын
@jal210 wewe ni mujinga uliye pitiliza CCM wameuza bandari wameuza kia internation arpot waa Masai bado huo we? kishetani kitoto!!!!!
Пікірлер: 116