Peeeepozz pawa.. hapo sawa. Mheshimiwa mbowe karibu mwanza tutakuunga mkono. Mwamba wa Chadema yupo hapa
@kyaro5945
9 күн бұрын
Hivi wew mpiga picha huyu mbowe katukana wapi? acheni uchawa.
@christinenyagiro6662
10 күн бұрын
Kweli kabisa kwa sababu hakuna kazi huku chini. Serikali imejenga mashule lakini watoto hawana walimu. Hapa mjini tunaambiwa tukachangie walimu ili waweze kuongenza vinginevyo watoto wanacheza tu bila kufundisha.
@LamsonMalenga
8 күн бұрын
Uyu ndo mwenyekiti bwanaa
@KharidyYusuph
9 күн бұрын
Mwenyekti
@user-md7sd3hk6l
5 күн бұрын
nawa penda sana chadema mungu fanya miujiza yako kipe mada laka chadema ccm wa na tuonea sana mungu pokea dua zetu
@mashakakwembe7482
10 күн бұрын
Wenye akili wanakuelewa sana kamanda endelea kutoa elimu ya uraia
@zengomikomangwa9264
9 күн бұрын
Mbowe unayasema hayo ili uweze kupata dolla. Tafuta agenda ya kuwaunganisha wTz sio hayo unayotueleza.
@nabimanyafesto5014
9 күн бұрын
Hata Mungu mlimushinda kuunganika leo ndo unataka mbowe aunganishe wtzania??
@saidimasudi6450
8 күн бұрын
Wakenya raia aslimia 90 hawana Aridh imechukuliwa na Wacha he na magavana
@caashamacalini3887
9 күн бұрын
Maneno anayosema ni kweli inatakiwa mwenye akili ndio utaelewa hamnazo na mwandawazimu kuelewa kazi nchi yako especially Sisi wagonjwa wa kuelewa utindio wa akili hafanyi kazi lakini Mie naomba Kwa mungu tuwe maskini wa kutupwa kama Malawi, na Kongo kila sehemu ya manufaa kuuzwe tubaki Sisi kama Sisi nchi yetu lakini wananchi tusiwe na kitu ndio watu watajua nchi ikoje viongozi wako wapi?
@JackKanyigo
7 күн бұрын
Uko sahihi kabisa
@yohanaantony5774
8 күн бұрын
Hata namna chadema mnavyoendsha chaguz zenu bado hakuna usawa hvyo toa kwnz kibanzi jichon mwako ndpo utoe Cha mwenzko umekuwa mwenyekiti wa chama mda mrf nawe watakiwa kuwapisha wenzko hyo ndio demokrasia
@JeremiaholendikaMakeseni
7 күн бұрын
Baba tupo pamoja sana
@sizorstartv6168
4 күн бұрын
vijana amkeni jamaniiii. Nchi na kizazi chake kijacho inaaangamiaaa
@user-jl5un4wf3u
7 күн бұрын
Huo. Mpangomzuri lakini kamaunagawa nchi vipandevipande .......",
@user-tz8wq1dj7j
8 күн бұрын
Safi kabisa akili hiyo
@machintangachibwena5922
9 күн бұрын
Mzeee wa Saccos
@PaskaliCharles-pz8ds
8 күн бұрын
Kweli kabisa mh Mbowe ndo maana viongozi wa kuteuliwa wananguvu kuliko waliochaguliwa na wananchi
@KamwandaNzowa-eo4ur
8 күн бұрын
Ni kweli kabisa Mh, Mbowe serikali imekuwa dalali mkubwa sana wanazuya Makapuni kuja kununua mazao yetu
@kingmichael1234
8 күн бұрын
Kweli kabisa
@sadicksingogo260
6 күн бұрын
Ingependeza sana,lakini katiba
@simonnaivasha6393
8 күн бұрын
Sawa mheshimiwa Mbowe, tulitegemea viongozi watakua waadilfu kama mwalimu Julius K Nyerere, kumbe tumepata Curuta curuta !!
@saidimohamed4357
7 күн бұрын
Katiba mpya ndio kilakitu
@StellaNjau-zd5kn
9 күн бұрын
Enyi watanzania mshukuru mungu unaenda shambani kulima unavuna unapata ugali waulizeni majirani zetu kongo somalia, burundi tunatakiwa tumshukuru mungu siku zote tusikubali kushawishiwa ujinga. Ukuona hivyo hata huyo kiongozi naye ni chawa ma mama. Tuweni makini sisi watu wa chini mungu atusaidie watanzania. Hata marekani walikuwa matajiri baada ya miongo sembuse sisi. Mtoto hakui haraka kama unavyodhani huuu ni ushawishi kwani siasa ni mchezo mchafu. Waandamane wao na familia zao kwanza baada ya mwezi nasisi tutaandamana tuwaone watoto wao, wake zao, ndugu zao. Baada ya hapo tutaandamana
@JackKanyigo
7 күн бұрын
Huna akiri
@sizorstartv6168
4 күн бұрын
Hufikirii wewe
@hamisidale2704
10 күн бұрын
Anza na wewe lini cheo chako kitagombania na wengine DJ Mbowe"
@user-pp1cq9op5y
9 күн бұрын
Sisi wenye chama ndiyo tumemchagua tumeona anatufaa
@LameckZakaria-qg9vv
9 күн бұрын
Umpiga mshono
@user-ss6gy4yy8v
9 күн бұрын
Kweli kabisa mwamba
@StellaNjau-zd5kn
9 күн бұрын
Hao ndio walimsapoti samia leo hawa ndio wanamsaliti tena wapendwa tuombe mungu atulinde watanzania hawa wote wanakutana jioni wanakula pamoja watanzania tusikubali kushawishiwa kumwaga damu waulizeni watoto wao wanasoma wapi kama wao pia sio hao hao?
@user-vd8hs6ue2n
9 күн бұрын
Hapo kuna kumwaga damu wap Acha uchochezi
@JackKanyigo
7 күн бұрын
Natamani kujua elimu yako coz naona vision yako ni ndogo sana
@user-yx5lv4pn4v
10 күн бұрын
Ukosawa
@GoodluckMichael-hb1bv
9 күн бұрын
We mbona utoki kwenye uenyekiti
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
9 күн бұрын
Mbona CCM,wakina Fulani tu ndo wao tu wanakula ,na hata wewe hujawi kukumbukwa.angalia familia ya Mzee Fulani wa CCM,yeye,mtoto,mama ndo wanaokula tu,Kwa nini hujawahi kuwaambia na wewe uwe waziri,mama Yako awe mbunge,
Naona machawa ya mm kilemba mnatepeta kwa jinsi anavyo wakanyaga kwa taarifa yenu mbowe hatoki uenyekiti mbowe mitano tena ya uenyekiti chadema wala chadema msilogwe mkawasikiliza manyang'au na machawa wa chama cha majambazi
@christinenyagiro6662
10 күн бұрын
Ningetamani vijana waweze kukusikilizz na kuondoa uchawa.
@LameckZakaria-qg9vv
9 күн бұрын
Ata wewe jiulize mbona ataki kuachia kiti kama mstarabu
@user-bz5ti6op6z
8 күн бұрын
Hapo kila mkoa utakua na uchumi wake
@annamnanka-qk1bx
6 күн бұрын
Mbona wewe utakikuachia uwenyekiti ili wengine wachaguliwe acha porojo mabadiliko yaazie kwako kwanza
@albertvalentino130
9 күн бұрын
Vyama viwili vya upinzani au vya siasa ---- chadema ni Chama cha upinzani,wakati ccm ni Chama tawala -- kosa hilo umekuwa ukilirudia Mara kwa Mara " rekebisha "
@MichaelNgisirei
10 күн бұрын
Tundu lissu hupo wapi?
@josephbundala1475
9 күн бұрын
Mnataka shari? Toka kwanza wewe kwenye uenyekiti wa milele ndipo na ccm uwaambie watoke.
@StevenGendo-vx9jo
9 күн бұрын
Unataka akammiliki mama ako?
@MageAwe-hl5zb
8 күн бұрын
Vijana waajiriwe
@charlesphilipo3533
8 күн бұрын
Magavana peleka boma ng'ombe huko ,,,waachie vijana wapambane utakuja kudondoka stejini umri imeenda huo
@user-tb8zb4rv6h
9 күн бұрын
Hunampango
@StevenGendo-vx9jo
9 күн бұрын
Alishamla mama ako? Bas ni baba ako
@user-cu6ol4zb8e
10 күн бұрын
huna jipya wa huni tuu nyinyi
@user-bx3ko9ft5t
10 күн бұрын
Bora wahuni kuliko ccm
@godfreymkinga
9 күн бұрын
Tena vihuni afu mboe una kasauti kazuri ukiigiza kama gashi
@kassidpandu866
9 күн бұрын
subiri serikali yako ya ukoo uje ufanye hivyo
@JackKanyigo
7 күн бұрын
Ukiwa mjinga na elimu ya std 7 au form 4 f au d;.huwezi kumwelewa Mbowe
@hamudshabani7801
6 күн бұрын
Critical thinkers hawaropoki na kubwabwaja UKimsikiliza kwa fikra za ndani yupo sahihi
@christinenyagiro6662
10 күн бұрын
Kwahiyo CCM hakuna wanacho fanya ila kujaza matumbo yao tu.
@youngsachafurniture5482
9 күн бұрын
Yes nn wanafanya
@abbiecox1
7 күн бұрын
muhim watanzania fanyeni kazi huyu keshashiba siku nyingi anatafuta kick! wewe umepoteza muda unaacha kazi unalala njaa ukitegemea siasa utaumia!
@AllyMandunda-tj9jc
10 күн бұрын
User muhuni ni wewe, na humuelew🎉i mbowe
@Jal210
9 күн бұрын
Hiyu muhuni tu
@hanujoseph8809
9 күн бұрын
Mhuni ww mwenyewe muone
@LaurenceSanga-ft7ou
9 күн бұрын
Naomba mungu aendelee kuwa mwenyekit mpaka 2o3o
@caashamacalini3887
9 күн бұрын
Katiba kweli ibadilishwe kila Raisi aliyefanya makosa na kuhaki serikali washtakiwe wote ndio wanagombania katiba isibadilishwe kutokana maovu wanayofanya ni mengi mbaya dhuluma wanayajua hayo
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
9 күн бұрын
Wasiishie tu kushitakiwa,bali watahifishwe mali walizojilimbikizia bila kuzitolea jasho.
@exaverysimon1064
10 күн бұрын
HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIV HIV SAS KIKUWAP LEO😢😢😢
@LameckZakaria-qg9vv
9 күн бұрын
Siasa ni njaa ukiwekewa ugari unasahau
@StellaNjau-zd5kn
9 күн бұрын
Walimsema marehemu wakamchukia leo hao ndio walimsapoti mama je leo wanataka nini? Tusikubali kushawishiwa kumwaga damu wao wanatuchochea alafu wao wanaenda angani wanatushangaaa tutakapo uwana. Hiii yote na uchu wa madaraka usikibali kushawishika wapendwa jifunzeni kwa walibya leo hawana hata pa kulala yote hayo ni uchu wa madaraka. Tujiangalie tuache kushawishiwa ujinga.
Пікірлер: 80