Peeeepozz pawa.. hapo sawa. Mheshimiwa mbowe karibu mwanza tutakuunga mkono. Mwamba wa Chadema yupo hapa
@user-rc1dp6ux3k
Ай бұрын
Mbowe anawaza vizuri
@user-vl5xv2xd6e
12 күн бұрын
❤Mh.Mbowe. mwenyezi Mungu Akupe Hekima akulinde na Wabaya wanaoidhoofisha Nchi yetu Pole mdogo wangu uwe na Afya njema
@kyaro5945
Ай бұрын
Hivi wew mpiga picha huyu mbowe katukana wapi? acheni uchawa.
@user-md7sd3hk6l
Ай бұрын
nawa penda sana chadema mungu fanya miujiza yako kipe mada laka chadema ccm wa na tuonea sana mungu pokea dua zetu
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Kweli kabisa kwa sababu hakuna kazi huku chini. Serikali imejenga mashule lakini watoto hawana walimu. Hapa mjini tunaambiwa tukachangie walimu ili waweze kuongenza vinginevyo watoto wanacheza tu bila kufundisha.
@mashakakwembe7482
Ай бұрын
Wenye akili wanakuelewa sana kamanda endelea kutoa elimu ya uraia
@KharidyYusuph
Ай бұрын
Mwenyekti
@LamsonMalenga
Ай бұрын
Uyu ndo mwenyekiti bwanaa
@zengomikomangwa9264
Ай бұрын
Mbowe unayasema hayo ili uweze kupata dolla. Tafuta agenda ya kuwaunganisha wTz sio hayo unayotueleza.
@nabimanyafesto5014
Ай бұрын
Hata Mungu mlimushinda kuunganika leo ndo unataka mbowe aunganishe wtzania??
@StellaNjau-zd5kn
Ай бұрын
Enyi watanzania mshukuru mungu unaenda shambani kulima unavuna unapata ugali waulizeni majirani zetu kongo somalia, burundi tunatakiwa tumshukuru mungu siku zote tusikubali kushawishiwa ujinga. Ukuona hivyo hata huyo kiongozi naye ni chawa ma mama. Tuweni makini sisi watu wa chini mungu atusaidie watanzania. Hata marekani walikuwa matajiri baada ya miongo sembuse sisi. Mtoto hakui haraka kama unavyodhani huuu ni ushawishi kwani siasa ni mchezo mchafu. Waandamane wao na familia zao kwanza baada ya mwezi nasisi tutaandamana tuwaone watoto wao, wake zao, ndugu zao. Baada ya hapo tutaandamana
@JackKanyigo
Ай бұрын
Huna akiri
@sizorstartv6168
Ай бұрын
Hufikirii wewe
@simonnaivasha6393
Ай бұрын
Sawa mheshimiwa Mbowe, tulitegemea viongozi watakua waadilfu kama mwalimu Julius K Nyerere, kumbe tumepata Curuta curuta !!
@StellaNjau-zd5kn
Ай бұрын
Hao ndio walimsapoti samia leo hawa ndio wanamsaliti tena wapendwa tuombe mungu atulinde watanzania hawa wote wanakutana jioni wanakula pamoja watanzania tusikubali kushawishiwa kumwaga damu waulizeni watoto wao wanasoma wapi kama wao pia sio hao hao?
@user-vd8hs6ue2n
Ай бұрын
Hapo kuna kumwaga damu wap Acha uchochezi
@JackKanyigo
Ай бұрын
Natamani kujua elimu yako coz naona vision yako ni ndogo sana
@caashamacalini3887
Ай бұрын
Maneno anayosema ni kweli inatakiwa mwenye akili ndio utaelewa hamnazo na mwandawazimu kuelewa kazi nchi yako especially Sisi wagonjwa wa kuelewa utindio wa akili hafanyi kazi lakini Mie naomba Kwa mungu tuwe maskini wa kutupwa kama Malawi, na Kongo kila sehemu ya manufaa kuuzwe tubaki Sisi kama Sisi nchi yetu lakini wananchi tusiwe na kitu ndio watu watajua nchi ikoje viongozi wako wapi?
@JackKanyigo
Ай бұрын
Uko sahihi kabisa
@phillipmasungwa7365
Ай бұрын
SAFI SANA KAMANDA MBOWE TUPO PAMOJA.
@user-jl5un4wf3u
Ай бұрын
Huo. Mpangomzuri lakini kamaunagawa nchi vipandevipande .......",
@BrunoRufulenge
15 күн бұрын
Mbowe anataka watananzia masikin wapate tabu zaidi Kwa kuyasikiliza maneno yake
@user-dj7mw5rx5h
Ай бұрын
Mh mmh huyu wakumuogopa kama ukoma maana huyu anataka kuchafua taifa
Wakenya raia aslimia 90 hawana Aridh imechukuliwa na Wacha he na magavana
@yohanaantony5774
Ай бұрын
Hata namna chadema mnavyoendsha chaguz zenu bado hakuna usawa hvyo toa kwnz kibanzi jichon mwako ndpo utoe Cha mwenzko umekuwa mwenyekiti wa chama mda mrf nawe watakiwa kuwapisha wenzko hyo ndio demokrasia
@sizorstartv6168
Ай бұрын
vijana amkeni jamaniiii. Nchi na kizazi chake kijacho inaaangamiaaa
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Ningetamani vijana waweze kukusikilizz na kuondoa uchawa.
@LameckZakaria-qg9vv
Ай бұрын
Ata wewe jiulize mbona ataki kuachia kiti kama mstarabu
@JeremiaholendikaMakeseni
Ай бұрын
Baba tupo pamoja sana
@PaskaliCharles-pz8ds
Ай бұрын
Kweli kabisa mh Mbowe ndo maana viongozi wa kuteuliwa wananguvu kuliko waliochaguliwa na wananchi
@saidimohamed4357
Ай бұрын
Katiba mpya ndio kilakitu
@user-sn3py9yz8j
Ай бұрын
Umeongea ukweli tunataka magavana
@user-tz8wq1dj7j
Ай бұрын
Safi kabisa akili hiyo
@KamwandaNzowa-eo4ur
Ай бұрын
Ni kweli kabisa Mh, Mbowe serikali imekuwa dalali mkubwa sana wanazuya Makapuni kuja kununua mazao yetu
@annamnanka-qk1bx
Ай бұрын
Mbona wewe utakikuachia uwenyekiti ili wengine wachaguliwe acha porojo mabadiliko yaazie kwako kwanza
@charlesphilipo3533
Ай бұрын
Magavana peleka boma ng'ombe huko ,,,waachie vijana wapambane utakuja kudondoka stejini umri imeenda huo
@sadicksingogo260
Ай бұрын
Ingependeza sana,lakini katiba
@josephbundala1475
Ай бұрын
Mnataka shari? Toka kwanza wewe kwenye uenyekiti wa milele ndipo na ccm uwaambie watoke.
@StevenGendo-vx9jo
Ай бұрын
Unataka akammiliki mama ako?
@GoodluckMichael-hb1bv
Ай бұрын
We mbona utoki kwenye uenyekiti
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
Ай бұрын
Mbona CCM,wakina Fulani tu ndo wao tu wanakula ,na hata wewe hujawi kukumbukwa.angalia familia ya Mzee Fulani wa CCM,yeye,mtoto,mama ndo wanaokula tu,Kwa nini hujawahi kuwaambia na wewe uwe waziri,mama Yako awe mbunge,
Anza na wewe lini cheo chako kitagombania na wengine DJ Mbowe"
@user-pp1cq9op5y
Ай бұрын
Sisi wenye chama ndiyo tumemchagua tumeona anatufaa
@LameckZakaria-qg9vv
Ай бұрын
Umpiga mshono
@user-ss6gy4yy8v
Ай бұрын
Kweli kabisa mwamba
@abubakarimussa9131
Ай бұрын
❤💪✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👌👌✌️✌️✌️
@abbiecox1
Ай бұрын
muhim watanzania fanyeni kazi huyu keshashiba siku nyingi anatafuta kick! wewe umepoteza muda unaacha kazi unalala njaa ukitegemea siasa utaumia!
@LaurenceSanga-ft7ou
Ай бұрын
Naomba mungu aendelee kuwa mwenyekit mpaka 2o3o
@user-cu6ol4zb8e
Ай бұрын
huna jipya wa huni tuu nyinyi
@user-bx3ko9ft5t
Ай бұрын
Bora wahuni kuliko ccm
@godfreymkinga
Ай бұрын
Tena vihuni afu mboe una kasauti kazuri ukiigiza kama gashi
@kassidpandu866
Ай бұрын
subiri serikali yako ya ukoo uje ufanye hivyo
@JackKanyigo
Ай бұрын
Ukiwa mjinga na elimu ya std 7 au form 4 f au d;.huwezi kumwelewa Mbowe
@hamudshabani7801
Ай бұрын
Critical thinkers hawaropoki na kubwabwaja UKimsikiliza kwa fikra za ndani yupo sahihi
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Kwahiyo CCM hakuna wanacho fanya ila kujaza matumbo yao tu.
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
Yes nn wanafanya
@andrewkissava9184
Ай бұрын
Naona machawa ya mm kilemba mnatepeta kwa jinsi anavyo wakanyaga kwa taarifa yenu mbowe hatoki uenyekiti mbowe mitano tena ya uenyekiti chadema wala chadema msilogwe mkawasikiliza manyang'au na machawa wa chama cha majambazi
@machintangachibwena5922
Ай бұрын
Mzeee wa Saccos
@albertvalentino130
Ай бұрын
Vyama viwili vya upinzani au vya siasa ---- chadema ni Chama cha upinzani,wakati ccm ni Chama tawala -- kosa hilo umekuwa ukilirudia Mara kwa Mara " rekebisha "
@user-yx5lv4pn4v
Ай бұрын
Ukosawa
@caashamacalini3887
Ай бұрын
Katiba kweli ibadilishwe kila Raisi aliyefanya makosa na kuhaki serikali washtakiwe wote ndio wanagombania katiba isibadilishwe kutokana maovu wanayofanya ni mengi mbaya dhuluma wanayajua hayo
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
Ай бұрын
Wasiishie tu kushitakiwa,bali watahifishwe mali walizojilimbikizia bila kuzitolea jasho.
@user-bz5ti6op6z
Ай бұрын
Hapo kila mkoa utakua na uchumi wake
@michaelmshighati8432
Ай бұрын
Hongera sana Mwenyekiti
@MichaelNgisirei
Ай бұрын
Tundu lissu hupo wapi?
@StellaNjau-zd5kn
Ай бұрын
Walimsema marehemu wakamchukia leo hao ndio walimsapoti mama je leo wanataka nini? Tusikubali kushawishiwa kumwaga damu wao wanatuchochea alafu wao wanaenda angani wanatushangaaa tutakapo uwana. Hiii yote na uchu wa madaraka usikibali kushawishika wapendwa jifunzeni kwa walibya leo hawana hata pa kulala yote hayo ni uchu wa madaraka. Tujiangalie tuache kushawishiwa ujinga.
@MageAwe-hl5zb
Ай бұрын
Vijana waajiriwe
@user-tb8zb4rv6h
Ай бұрын
Hunampango
@StevenGendo-vx9jo
Ай бұрын
Alishamla mama ako? Bas ni baba ako
@exaverysimon1064
Ай бұрын
HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIV HIV SAS KIKUWAP LEO😢😢😢
Пікірлер: 82