Uongozi wa chama cha Kenya Union Party (KUP) umetoa ilani ya kumfurusha Mbunge wa pokot kusini David Pkosing kwa kuenda kinyume na makubaliano ya chama hicho kilichojiunga na serikali ya Kenya kwanza. Hatua hii inajiri baada ya mbunge huyo kuahidi kuanzisha kampeini ya kusanya saini wakidai kuwa na azma ya kubandua serikali ya kenya kwanza mamlakani.
- Жыл бұрын
Chama cha KUP chapanga kumtimua mbuge wa pokot kusini David Pkosing
- Рет қаралды 18,645
Пікірлер: 33