Shekh kwanz Allah akuhifadhi pili we n mtu mzur na muwaz sana tatu upo kwenye ukwel kwahyo we fanya kazi ya Allah hiyo ni mitihan yakukujenga au kukuimarisha Kwan anaeinusuru dini ya Allah na atakunusuru kwahyo ucjal Allah yupo inshaallah
@ahmadabdallah4758
2 жыл бұрын
Allah akulipe kheri sheikh muhhammad bachu na akuhifadhi akupe na umri mrefu uzidi kutubainishia hawa watu wallahy wameleta fitna kubwa kila mahali walipo wao
Jamaluddine kutoka mssumbij. Sheikh Muhammad daima nakuombea kwa Allah Akuhifadhi zidi ya mahasid na watu wenye chuki nawe, Wallahi natamani niwe mwanafunzi wako....
@abuuirfan9523
2 жыл бұрын
Allah akuhifadhi na fitna za makhawarij huko msumbiji
@jamaldineali3228
2 жыл бұрын
Allahumma amiin
@husseinsalehe6506
24 күн бұрын
Mmeifikisha Dini kubaya sana,mnachokifanya ni kuugawa umma wa kiislamu na sio kuunganisha,,halafu mnajiita watu wa sunna!!!! ni sunna gani mnayoongelea ya kuugawa umma na kutafuta umaarufu wa kielimu na hali ya kuwa bado hamjaelimika kiasi cha kutoa fatwa.Endeleeni kusoma na mfundishwe adabu za elimu.
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Nakuelewa sana Shekhe wangu Allah akupe umri mrefu wenye faida
@masawangandomondo185
2 жыл бұрын
Assalamu Alaykum Ndugu zangu Shida nini Sote ni Waislamu. Tunakokwenda Ni Pagumu kwa Hali Tulizonazo. Maana Chuki Inazidi kutawala juu ya Umma. Tumcheni ALLAH Hii ni Dunia tu Tunapita.
@AbdillahSOthman
2 жыл бұрын
Hatari sana.. ukiskiza mizozo hii. Allah atuongoze. Kila mtu anajiona yupo sahihi yeye zaidi kuliko mwenzake. Usije ukazungumza na mtu ambae si ktk wao ni mtihani kweli. Fundisheni dini mizozo haina faida. Semeni ukweli.
@bahashachembea6922
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@mwaramimwarami1479
2 жыл бұрын
Baaraka llahu fik,raha kuwa na sheikh kijana
@shekhmansoor5421
2 жыл бұрын
Maashaallah Allah akuhifadhi shekh wangu. Alafu hili kanzu lako nimelipenda nalipataje?
@ABC-ls7jg
2 жыл бұрын
Ni vizuri video iwe moja kwa moja, mbwembwe za mwanzo nafkiri hazina umuhimu. Ushauri tuu.
@mwinyimwinyimkadam9948
2 жыл бұрын
Tatizo lenu mnakurupuka sana na mmejipa mamlaka ya kumuingiza Peponi aw motoni mumpendae sasa mnatafunana wenyewe kwa wenyewe
@shafiihabibu8259
2 жыл бұрын
Asalam aleykhum warahmaturullah wabarakhatuhu. Hivi naomba kuulza enyi maduaty wenye ilimu,wenye madai ya kufata kitabu(quran tukufu) na sunna ya mtume Muhammad Swalallahu Aleyh Wasalama hivi hayo matusi yenu ndivo Kitabu kitufu na mtume wa Allah walivolingania kwa kutoa matusi mbona hatuwaelew .na je mnapotoleana matusi jamii mnaifundisha nini au au watoto wenu ndani wakisikia wazazi wao walinganiaji umma mnalingania kwa kutoleana matusi wao wanajifunza nini kutoka kwenu wazazi?
@abrahamansaidi8631
2 жыл бұрын
MPUUZI WEWE TULIA ACHA UJINGA SIO KILA MTU ANAJIBIWA HUYO ABUU IDD ANAHOJA ZAKE MIAKA MITATU MLISHINDWA KUJIBU
@seifmohd5357
2 жыл бұрын
Mpuuzi mwenyewe Huyu ni shekhe kuliko hao mashekhe wako wa kijadida baradhuli mkubwa we
@ibrahimjumaa538
Жыл бұрын
Hii ni dini na sio siasa Weka heshima kidogo Na usitumie matusi.
@ibrahimjumaa538
Жыл бұрын
@@seifmohd5357 msimrudishe matusi
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Mwambieni huyo jaahili murakabu salafiya.jadidah
@user-yj5on8cz3e
4 ай бұрын
Awa wanaotukana unakuta wale majadida maamuma hawajui maana ya salafi wasameheni tuu,
@ibrahimomar1073
2 жыл бұрын
Nakupenda KWA ajili ya Allah sheikh Muhamad Bachu,ila unaniudhi hapo KWA kutaja masheikh KWA majina yao bila kuanza na sheikh,eti kina Nurdin Kishki kina salim barahiyan Bahero na Abu Qatadah,tukiacha mbali ki ilmu ni wakubwa zako ki umri wataje KWA adabu.
@ibrahimjumaa538
Жыл бұрын
Hapa naunga mkono
@amerwelder7786
Жыл бұрын
Uyu jamaa anakibri sana anajiona yeye peke yake ndo mwenyew elmu,
@madinamumin6689
2 жыл бұрын
Allah Kareem, Raheem.
@saidihaji3739
2 жыл бұрын
Mawahabi wameanza kutafunana wao kwa wao . Wamefarakanisha watu saana .. sasa wanaanza wao kufarakana !! Pmj na kuzozana .. Maskin kila mmoja anajiona yeye na kundi lake ndio wa sawa sawa na mwengine yupo makosani .
@abdallahmatimbwa5620
2 жыл бұрын
Maashallah Allah akuhifadhi
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Katika uongo na talbisat au?, Huyu humpendi wa Allah, Ungekuwa wampenda ungemuombea Allah amuongoze first make ana Makando kando mengi
@gift-AA
Жыл бұрын
ALLAH AKUHIFADH BARAKALLAHU FIYK
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Kumuweka Sawa Muhammad Bachu no.1 kzitem.info/news/bejne/0oqmsnaciGR5rII Mzungumzaji: Al Akhy Fahdi Hanein (Hafidhwahu Allah)
@Alkaburu
2 жыл бұрын
Wallah mwenye elimu ni yule anae unganisha watu sio kuwagawanya. Sheikh tunakuheshimu kama tulivyo muheshimu sheikh Nassor.
@muuminiabubakari6985
2 жыл бұрын
kijana iyo ni tabia ya masufi kumueshim mtu kisa mzazi wake hali yakua mtu mwenyewe anatetea watu wa batili
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
@@muuminiabubakari6985 hujielew wew
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
@@muuminiabubakari6985 wabainushw ao watu wa batili
@husseinabdul7948
2 жыл бұрын
Tufanye toba saana leo tunaonekana umma lkn mbele ya Allah s.w.t yawezekana vingine leo c kwa sis magomvi umma mkubwa uko nje unaritadi watu wanakufa bila karima c tumegangana na mambo hya hya tu.
@hamadimussa2119
2 жыл бұрын
Mche Allaah
@hamidaalhabsi8568
2 жыл бұрын
Mashekhe watazania mnatukosha sana mmetuweka katika madhala penye kuwashuku katika dini kwanini kwenye misikitini hakuna darsa inayofundisha dini ila NI kufundishana darsa za wanawake na wanaume badala ya kuelimisha watu dini
@@mahfoudhcalender2747 Ahaha nani aumie kisa Sufi kamzungumza?
@saadibraahim8561
2 жыл бұрын
Asalamu alaikum acha mizozo
@eng.saalim8646
2 жыл бұрын
Sasa cha ajabu hapo nini. Hayo maneno ya 2018 na sasa ni 2022. Watu walikuona ww ni salaf ila sasa umejtoa. Shida ipo wapi?
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Ktk suratul Al Isra m/mungu anasema kua,sema kweli imefika na uongo umetoeka na kwa hakika lazima uongo utoweke.kiufupi kama tutaweka ushabiki pembeni sheikh muhamed bachu yupo ktk haki ana dalili na hoja nzito tena ana jiamini Kwasababu yupo ktk haki kilicho baki labda tuendele na matamanio yetu ya nafsi na kuleta ushabiki.
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Uko sahihi na ndio maana hata akiwafuata hawataki kuonana nae,hiv kweli dhama za wema waliotangulia walikuwa hivyo kweli.
@abuuaiman9575
2 жыл бұрын
huyu mohamed bachu atawachanganya wasio taka kusoma rudi kwa maswahaba alafu tia maneno yake utaona huyu sio salafi kabiiiiisa ila tatizo ujinga watu umewaajaaa
@ommarallyhamad7435
Жыл бұрын
Mashekhe wetu wa zama hii ,hawajajuwa matakwa ya Uislaam katika jamii. Huku kutengana kwa sababu yoyote iwayo NI kupingana na Allaah (SW) kwani ametuamrisha kwamba""Wa'itaswimuu bihablil Laahi jami'a walaa tafarraquuw"""!!! Mnatengana kwa manufaa ya nani. Hayo NI matamanio yao na upotovu mkubwa!!! Acheni hizoo
@amirzamir483
2 жыл бұрын
Unahamu ya raddi sikunyingi hujapata raddi mtoto mdogo kujitia ktk makundi ya watuwazima utaumia ww.
@seifmohd5357
2 жыл бұрын
Mtoto mdogo ni wewe ulokuwa kidevu laini
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
unawazinu wew
@user-yj5on8cz3e
4 ай бұрын
Jamaa anajazba atakuwa jadida nae
@shafiikimaro9469
2 жыл бұрын
Allah awaongoze nyote ktk haqq na thabata kisha muipende dawwa ya haqq.
@bahashachembea6922
2 жыл бұрын
Aamiin yaa Rabbi
@saidyaliy7940
2 жыл бұрын
Acheni ujinga ndiyo ushehe gani huo
@NinoNino-fm8dr
2 жыл бұрын
M/Mungu azidi kukuthibitisha akhy
@seifkhalfan3190
2 жыл бұрын
Sheikh naomba umjibu sheikh Abul Abbas kwanza kisha ndio umfwate sheikh qassim mafuta
@OmarOmar-wx9zg
2 жыл бұрын
Amjibu kitu gani tena wewe kipofu wa moyo na kiziwi wa masikio na mfupi wa kufikiri? Haya alio ongea Bin Bachou ume yaskiliza hadi mwisho na kuyafahamu au ndio kina waleeee. Hahahahahaha
@user-yj5on8cz3e
4 ай бұрын
Mafuta na genge lake la kijadida rudi ini katika mstari wa kweli mnaangamiza umma na kupasuwa safu za sunna Awana lolote usalafi upo mbali ni wao kabisa
@wakanabardazard657
2 жыл бұрын
Uki taka kujua kua wewe si salafi rejelea mihadhara ya al akhiy abul abbasi mbona wa nkankana hapo kwa muhaawiyah
Sheikh mche Allah ,wewe ni mtu wa sunna gani ambaye washirikiana na mtu wa democracy katika da'awa yako ,wakati democracy ni haram na hilo amelieleza Sheikh Uthaymeen Je hizo fatwa za uharamu wa democracy huzioni .Mche Allah Sheikh.
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Acha ushabiki sikiliza ugomvi ulipoanzia
@pavillioncry5241
2 жыл бұрын
Kama democracy ni haram Mbona vijalimu vyenu havikatai mishahara Wanaolipwa na suliman hawai Masjid qubaa bweni Na huu msikiti kaujenga yy Yani nyie visalafi mavi Mijadida KaI yenu kuugawa umma
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Kama democracy ni haramu sasa sisi waislam si tutatawalia mpaka na wajumbe wa nyumba 10 watakuwa wakristo hebu liangalie hilo suala vzr
@salmaghalib5474
2 жыл бұрын
We mbona umezidi sana kusema wennzio km charahani
@adenifuyuush4991
2 жыл бұрын
HAHAHA KILA UKIONGEA NDIO WAJIWEK WAZI KWAMBA HUNA KITU KWENYE MANHAJI. QASSIM MAFUTA ALLAH AMHIFADH ANAKUUMIZA UKIMYAH WAKE NA WAUMIA SANA.
@sadatlucas4045
2 жыл бұрын
haha NILTAK KUSEMA PHRASE KAMA HII...
@OmarOmar-wx9zg
2 жыл бұрын
Nyinyi sijuwi tuwaweke kwenye kundi gani? Wajinga. Wapumbavu. Viziwi. Vipofu. Mamwehu. Madudu. ??????? Inaonesha hata akili za kujiongoza nyinyi wenyewe hamna. Hahahahahahaha
@suleimanmasudi3851
2 жыл бұрын
Kijana bado kiumri ujakua ,kielimu ujakuwa unateseka kweli
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Hao unaowajua wewe kua wanaelimu basi wanamuogopa uyo kijana ni hatari ndio maana anakwambia yuko teyar kwenda kukutana nao lakini wao wenzake hawataki.
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
njoo wew utoe darsa bac
@ibrahimbenela9951
2 жыл бұрын
Muhammad bachu watafuta Kiki weyeee
@hamadimussa2119
2 жыл бұрын
Mche Allaah acha taarabu zako naona waimba tu mashair apo, tuendako utaungana na Akina Mzee Yusuph
@ausatmwangi6464
Жыл бұрын
Maskini ya Mungu hawa ndio wema wa siku hizi ama vitimbi tu😢😢
@binkhalifa6956
Жыл бұрын
Endeleen kukosowana ili tujue ili tupate elmu zaid mimi sio mshabiki ila naangalia ukweli ni upi kazi kwemu masheikh
@ahmadsaidi5292
2 жыл бұрын
Nyinyi wote ni kundi mbovu,vibaraka kwa makafiri,adui wa umma,wapinga jihad ki Aina,,
@mtesigwasemba2456
2 жыл бұрын
Shekh umesema kwer walikuwa wakiping jihd kwa mashekh Leo wanatafunana wao kwa waooo na tutaona mengiii sanaaa
@sadikisemwali4516
2 жыл бұрын
Bado hujitambui kijana utayumba sana
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Kumuweka Sawa Muhammad Bachu no.2 kzitem.info/news/bejne/lGusroqaq3Orhmk Al Akhy Sheikh Fahdi Hanein Hafidhwahu Allah. Ahahaha wa Allah huyu kijana Bachu bado mchanga sana kielimu na nimweupe, nawaonea huruma wanao mfuata kichwa mcunga.
@kassimajmus2010
2 жыл бұрын
Wallah sh:kwa uchanga wakielimu kiasi hicho unachokisema hanao tena ni mpevu sana hajazeeka tu na siku jui ndug yangu lkn kwa huyu kijana nilazima uweke heshima kubwa
@@kassimajmus2010 pili nani kasema hamuheshimu?, Twamuheshim kwa kadri ya heshima anayo stahik, na hii ni kwa Kila mtu hata asingekuwa yeye. Hivyo humo amerekebishwa Wala hakutukanwa au kutoheshimiwa, akitaka kujipandisha zaidi ya anapostahik matokeo yake ndo Kama haya, anakosea Kila nukta Hadi muktadha anaubadili nk
@kassimajmus2010
2 жыл бұрын
@@abuushaymaatz ww jibu swali kwanza
@kassimajmus2010
2 жыл бұрын
@@abuushaymaatz nibainishie wapi kakosea kwa mfano
@hamzajkagoma9306
2 жыл бұрын
Allah akuongoze Muhammad macho huwa unajarib kuifanya manhaj ya salafi inachanganya haki na baatwil, Kwan ww huwa unaonekana na vikundi vingi ambayo hata huyo ibn Uthaimiin amekwenda navyo kinyume mf matabligh nk ila ww unawaona ni wazuri NA MASHEKH WAKIKIRUDISHA KATIKA USAWA UNAONA UNAONEWA! MUOGOPE ALLAH NA USOME USIJIONE UMEFIKA
@mohdaly7738
2 жыл бұрын
Kwaio shiekh mselem kachanganikiwa mana kalenda jelaaa hem naombo jibu
@mzeerajab9154
2 жыл бұрын
Kwani kuna lazima gani ya wewe kukubaliwa Mafuta.Unafanya kazi ya dini kwa ajili yake au kwa ajili ya Mwenyezi Mungu?Inashangaza sana!!
@bahashachembea6922
2 жыл бұрын
Swahiih kabisa
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Nani kasema akubaliwe na Mafuta? Ni yeye tuuh na wasiwasi zake. Sheikh Abul Fadhwil anajibu maswali kulingana na Hali ya huyu kijana bado hajawa Mtu wa Sunnah
@abuunufaysah5328
2 жыл бұрын
Usalafi upi wadai Akhy?lini ulikuwa salafi?Nani katika walimu wako wamekufundisha misingi ya Manhaj ya salafi?
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Acha ushabiki wewe sikiliza ujue ugomvi ulipoanzia halafu upime ukweli
@abuunufaysah5328
2 жыл бұрын
@@mgazamhina840 soma dini yako kijana, acha kufata matamanio ya nafsi
@hassanmohamedlaizer569
2 жыл бұрын
@@abuunufaysah5328 matamanio yapi ya nafsi? Haya ni matatizo ya kufunikwa na mapenzi ya masheikh kwakweli....unapo sikiliza au kufuatilia moyo wako usiegemeze kwa mtu Fulani utapotea akhy
@abuunufaysah5328
2 жыл бұрын
@@hassanmohamedlaizer569 Misingi ya Manhaj ya salafi ndio ambayo inamtoa Muhammad Bachu kwenye usalafi na siyo jambo la chuki binafsi kwamba aonewa wivu laa!, kwahiyo ikiwa misingi inamtoa katika Manhaj ya salafi kisha akaja mtu mmoja mjinga akasema huyu ni salafi hapo ndipo tunamuashiria mtu huyo kwamba hayo ni matamanio ya nafsi yake na sio misingi ya kisheria,soma Akhy utaongoka biidhinillahنسأل الله العافية والسلامة في الدنيا والآخرة
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Nataka unifundishe wewe ndugu ili upate kheli kwa Allah
@ahmadbadawi9664
2 жыл бұрын
Kwani ukikaa tu ukaeneza dini pasi na kushambuliana,ukaamua kupuuzia tu je utapungukiwa kitu?
@saadibraahim8561
2 жыл бұрын
Somesha watu dini acha mizozo
@aminirashid2833
Жыл бұрын
Wee muhamad bachu baleghe inakusumbua hebu tafuta mke uone kwanza,halafu nenda kasome chini ya wanachuoni
@ummaumona6593
2 жыл бұрын
Shekhe izo mbwembwe za kurembusha macho vipiu
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Haya
@akhimansuur2004
2 жыл бұрын
Shehewangu muhamd bachu mim nakupenda Sana ila unanikera kitu 1 kwani hii kuradiana ndio Nini ? Hem mmoja wenu akikosea kaeni mukosowane sio kuradiana Kam hivi a tabiagani hii
@unaysatafawzaan1749
2 жыл бұрын
LAKIN KIJANA WEW WAMINYANA KWAMBA UKO NA WATU WA HAKI HALAF WEWE NDIO ULIESEMA KWAMBA ULIKUA SALAFIY UKATOKA HUKO MBONA SAS WAMINYANA ?
@omarmohamed312
7 ай бұрын
mnatutia aibu. mnatoleana maneno ambayo hayapendezi.
Hatary hii sanaa ww tatixo lako ni mkusanyaji wa kuni xa usiku unachanganya tuu hujulikani sunna wala hixbii
@mariammohammed8689
Жыл бұрын
Tafuta elimu kwanza
@fadhilimussa5067
2 жыл бұрын
Kusema usalafy jadida ni kuali ya kihizbiii ..salary ni moja tu .hebu some someni acheniiii kuwekaa ushabiki na Ligi.na kutafutaa umaarufu kupitiaa dini....
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Ahahahahahahahahahahahaha Ndugu Bachu Wewe ukijitambua Sio kuwa ni Mtu mbaya, ni kijana mzuri tuuh, ukijirekebisha na ukafuata haqi, tatizo huna msimamo
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
@@Mathsconcepts495 Hii ni manhaji salafi, haiwezekani ukawa na wazushi mara ushirikiana na mahizib ktk daawa alafu ukawa ktk Haq, pili Huwezi ukawa uwanusuru wazushi juu ya watu wa haqi
@rajabmohamed9935
2 жыл бұрын
Hawa Mafuta Wawili ni Masheytwaan Wamekuja Kuharibu Dini...
@abdulrahmanhusseinsalim4404
Жыл бұрын
Hao hawana sababu yoyote ya msingi ya kutengana na wewe. Lengo lao ni kutengeneza kundi kwa malengo wanayoyajua wao
@saadibraahim8561
2 жыл бұрын
Makundi ya nini
@pavillioncry5241
2 жыл бұрын
Usiache shekh wangu shekh muhammad bachu Kutetea huu umma mpaka allah akufishe Kwa sababu ww unawaita watu katika umoja na sio kuwagawa
@allyjaffar7072
2 жыл бұрын
ANATAFUTA KIKI...HUENDA LENGO LAKE NI KUTAKA KUONGELEW KAMA WANAVYOONGELEWA WAZUSHI WENGINE
@twaibumikidadi7377
2 жыл бұрын
Mm nilmfuata sana huyy Qassim Mafuta na kundi lake baadae nıkagundua kunafitna dhid ya Ahl sunna Allah akupe nguvu Muhammad Bachu maana huongei ila kwa dalili na vielelezo dhaaaabit kabsa. Achana nao hawa jadiida !
@abuunufaysah5328
2 жыл бұрын
Ulikimbia kusoma dini yako ndio maana bado ujinga wa kutojua haqqi na batili unao, Allāh akuongoze katika sawa.
@sadikisemwali4516
2 жыл бұрын
Kuwa salaf we kijana la sivyo utapata tabu sana na uhzibiyya wako
@swalehemusakiluwa9405
2 жыл бұрын
Wanachuoni wanasemaje kuhusu kumrecod mtu bila yeye kujua au bila ridhaa yako,
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Yani simu ya kwako na matumizi upangiwe,kama ndio hivyo hata ukitaka kumpigia mtu simu mpe taarifa kwanza akurusu.
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
@@abuuammar4924 Ukiuliza swali la dini kwa ajir ya kufahamu uwe na hiyo nia,lakini ukiuliza kiushabiki haitakusaidia kitu,ni hivi simu ni mali yako hupangiwi matumizi unapangiwa na Allah kupitia Quran na Sunnah,sasa jambo la kumrecod mtu unarecod kwa kile ambacho umekizungumza na yeye,kurecod ni moja ya kupata mawaidha kwa maana hiyo sio mpaka upate ruksa kutoka kwake kitenda cha yeye kupokea simu ni ruksa tayari kwakua asipotaka anaweza asipokee.Allah ndio mjuzi
@SaidKhalifa-x4o
Жыл бұрын
Nyote ni mawahabi😂😂
@user-dj8bs1sm4w
Жыл бұрын
Allah awamalizie mbalini mufsdiin nyinyi
@lunjeramadhani1295
2 жыл бұрын
Anatuzalilisha sana
@zaharahassan7873
2 жыл бұрын
Bado hujawa mwenhu.
@omarmohamed312
7 ай бұрын
nyie mnapotosha umma. subhanallah. mnatugawa waislamu. hao wakristo watasilimu kwa haya mnayofanya jamani. muogopeni Allah. kwani kuna ulazima gani wa kumlipa mtu alie kufitini. ina maana Allah hayupo hamumuamini tena. hii mitandao wengi wanaona na wakiona mashekhe wenyew ndio kama wachungaji wataslimu kweli.
@alifaki5043
2 жыл бұрын
Muhammad bhana sasa ndio vimoro basi vimoro
@abousumayyahhassandjuma1332
2 жыл бұрын
Bado hujawa mwehu
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Acha kuapa ovyo Wewe, una uhakika Gani kuwa huyo Abuu mahawiya anahoja?, Alafu umeyapindisha maneno ya ibun utahaymeen anacho ulizwa vina uhusiano mdogo Sana na na kadhia ya Abuu muhawiya. Kwani Nini maana ya tahadhari?
@jesmirmohamed3467
2 жыл бұрын
nyote mko njia ya usawa sababu mmetamka shahada na niwaislaam na ni mashekh wetu ila tu punguzeni kutuchanganya
@adenifuyuush4991
2 жыл бұрын
TUNAOMBA UMPE MIHADHARA ABUU MUAWIYAH KWWNJE MSIKITI BASI AU NDIO WAMTAJ TAJA KISA UMECHARAZWA HIZBI WEW
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
uwo hizb ndio nini?
@pavillioncry5241
2 жыл бұрын
Rusha kipande kinacho endeleeeee
@quranrecitations7267
2 жыл бұрын
Unajiona habo aaaaaaaa
@zuberibaharia7662
2 жыл бұрын
Hata mkichukia vp manhaj salaf ni haki. Nawewe ni hzi sio salaf
@hassanmohamedlaizer569
2 жыл бұрын
Mtu hawi hzb kwa kwa ku comment youtube
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Yeye ni sarafi tena sarafi mwenyewe kabsa,kama hutaki ni wewe,ukiweka ushabiki pembeni utaelewa ukweli
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
acheni ujunga, Tafuta haki na ifuate, usalafi na uathari ni makundi tu yaluozuka.
@ummaumona6593
2 жыл бұрын
Je? Nikatika Uislam wa2 kurikodiana mazungumzo pasi na yeye kukupa idhni ya jambo hilo
@manhajisalafi8355
2 жыл бұрын
Jibuu au jitetee ww jee hushirikiani na watu wabidah acha kujikwexa ww hixiib
@ahmedrageahmedrage9134
2 жыл бұрын
Jahilll,,, hujui hata nahwu
@seifmohd5357
2 жыл бұрын
Babaako mbona hajui nahwu basi yy ndo jahili namba 1
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
manhaj ndio nini?
@abrahamansaidi8631
2 жыл бұрын
Et kipindi hicho sio mropokaji bado akili zangu ziko timam kwaiyo sasaivi liropokaji dish limecheza
@yussufhamad3721
2 жыл бұрын
Mbona kicwangumu huelewi ww bwabwaja ivi iyodini unaifanya kama club ya mpira hivi unaleta mara redi mara yelow sijui ofside ya mchezomchezo kwishakazi ww kiuyako ushajuulikana unahamu ujibiwe na shikh kasim mafuta au humeid ivi wapi na wapi ngamia na mavi ya ngamia
@hamadimussa2119
2 жыл бұрын
Sasa hivi hujagongwa hata na baiskel lakini unaropoka, je ukijangwa hata na Pikipiki si utakuwa mwehu kabisa
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Wale ambao sio waropokaji wanamkimbia sheikh muhamed bachu,wakisikia tuu sheikh muhamed anakuja tanga au anaenda kenya kila moja anakimbia upate wake wanamuogopa ata kuonana nae.
HIZBI ZUSHI LA WAZUSHI UNALALAMIKA UNATOLEWA KTK SUNNA SASA HALA HAPOPO HAPO UNATAKA WAKUITE SARAFI HALOO JAMAA KIPOFU WEWE SASA IKIWA JADIDA UNALIA NINI SASA
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Ww umedandia gari kwa mbele.maana hujui chochote
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
hujiekewi ww j4 issa
@bilmuusaa2330
2 жыл бұрын
kijana balehe inakupeleka vibaya
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Sasa hilo ni jibu tosha kwa mtu alietoa hoja za kielimu
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
Mpe dada ako atatulia au mwanao
@twaibumikidadi7377
2 жыл бұрын
Hawa wanakuonea wivu ww n kijana mdogo lkn Elimu kubwaa wao bado wanahanya hanya tu hawana lolote papatupapatu
@AbuwNibras926
2 жыл бұрын
Unaongea urojoo sijaelewa chochote
@abrahamansaidi8631
2 жыл бұрын
Ungekua na akili ungejibu hoja iliyopo mezani sio ooooh dua yafaa ooooh vimepanda vimeshuka jibu swali abu katada ni rafiki yako au laa kisha abu katada ni mtu wa SUNNAH au laa hiyo ndio mada
@mgazamhina840
2 жыл бұрын
Mada kashajibu kasema yule ni rafiki yake na hata akifikaga Kenya anapokelewa na yeye,kuhusu SUNNAH kasema yule ni mtu wa sunnah,suala la mtu kushiriki kwenye siasa halimtoi mtu kwenye sunnah,na kama kushiriki kwenye siasa kunamtoa mtu kwenye sunnah basi sisi itakuwa ni waislam wa kutawaliwa ma wakristo maana itakuwa nafasi zote wanatamba wao tu
@kusagakusaga729
2 жыл бұрын
Wewe huna adabu
@habibumsasu4481
2 жыл бұрын
Duuh!, hujielewi mpaka unakera aisee, yaani maana yake hata uhajawira huujui wewe?
Пікірлер: 197