Tried it for the first time ..turned out perfect 👍🏾 ..thank you
@lucymwanga5276
Жыл бұрын
Waooh,,nzurii saana
@baseifsalim3702
7 ай бұрын
Nimependa
@baseifsalim3702
7 ай бұрын
Nimependa
@beautifulnature43446
2 жыл бұрын
Perfectly made👌👌👌With smart way and simple ideas👌👌 Fantastic ❤👌👈🥰
@rhodabaluhya3325
2 жыл бұрын
Asante sana umenisaidia mno,kila nilikuwa nikipika chapati nilikuwa natoa kau kau lakini leo nimepika chapati laini sana sana familia imekula imefurahi
@christopherouko1187
2 жыл бұрын
You made it so easy ... "just the way the cook loves them" 🙂
@MissUnice
3 жыл бұрын
Jameni zimetokea poa . Mimi huwa aikuji mara mbili I will try this.
@mamabee405
3 жыл бұрын
It looks really yummy am loving it thanks for sharing sis new friend here I will be waiting for ypu
@eshasozy69
2 жыл бұрын
Masha Allah
@AnithaMachu-c4w
2 ай бұрын
Asante sana mpenz ila mm sijawah kupika kabisa na nataka nijaribu sahv niko na unga nusu je naweka chumv kias gan na mafuta kias gan na maji???
@canale_mio_bonaa
2 жыл бұрын
Chapati za kutamanisha kwelikweli. Leo jioni nitakanda unga wangu kisha niufunikie tayari kuzichoma kesho asubuhi mapema. Shukran kwa kujitolea kutengeneza hii video.
@nancykirui4465
8 ай бұрын
hello ihave directly copy your chapati progress have started winning thanks i used not to add oil on when rolling but now am ready😅
@jamessoke4454
2 жыл бұрын
Uko vizuri nimejifunza wewe ni Mwalimu simple
@florahsanaa4305
3 жыл бұрын
Mbona unga huchungwa?plz reply me
@salomepeter9276
2 жыл бұрын
Good. Which flour is that
@AbedaMcha
6 ай бұрын
Ni nzuri sana nimezipenda
@joycendolo136
2 жыл бұрын
Asante Umenisaidia sana , Wacha nijaribu
@Tifaabubakar
10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤wao nimeipenda sana
@annaanne3030
2 жыл бұрын
Waoooh ni nzuri Sana tutafanyia kaz
@SdfadfAsff
5 ай бұрын
Wapika vizuri sana mm nimependa mapishi yako❤❤❤❤.
@haronkantu9676
2 жыл бұрын
Mi-mi-mi Nightcore cantu mannina semidey asante Sana coheelee mafundisho
@EDMC442
2 жыл бұрын
Wee Mwenyewe Umetumiaa Which Oil Iyo Ya Yellow?
@elizaisaya8561
7 ай бұрын
Asante dada nimejifunza nitajaribu kupika
@IbradamFrada
4 ай бұрын
Jamani dear mm kupika chapati laini najua ila huwa nafeli nasukuma zimepinda yaani hazina shep nzuri dear
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Asante kwa mafasilio mazuri mimi nashindwa ka ku sukuma chamati yangu haikuwagi laini
@official_didy1042
2 жыл бұрын
It is so delicious👌
@uwashemamary7910
2 жыл бұрын
😍WAAAAAAAO ASANTE SAAAANA MPENDWA KWA MAFUNZO MAZURI🙏❤️🌹
@elaineakinyi2615
Жыл бұрын
Yaani shukraan. Best chappa ever.
@TabianaIgnas-ys9yt
Жыл бұрын
Wooo umepika vinzur nimependa sana❤️❤️
@sammymatunge4838
2 жыл бұрын
Wow I think next time tuonyeshe ya maaandazi
@phoebeanyoso7005
2 жыл бұрын
wow ni nzuri..nimejifunza pia mengi
@SaudaMgeni
3 ай бұрын
Asante sana kwa kutuongezea ujuzi zaidi
@khadijatoby7407
2 жыл бұрын
chapati.nzuri zinaonesha, ntajaribu kupika je naweza.kutia.maziwa ya Unga.kidogo? naweza.kupaka samli au.lazima mafuta?
@dorismwakyusa35
12 күн бұрын
Waooh naenda kujaribu sasa
@jumakauli
5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na kukulinda wewe na familia yako pia azidi kukuinua kimaisha na kiuchumi.
@kekiplus1andonly
5 ай бұрын
Amen Amen,Mwenyezi Mungu akubariki pia
@SalmaNdwata
2 ай бұрын
Nimep3nda sana dad angu yaan zipo mwaaaaa❤
@AminaKassim-on2pk
Жыл бұрын
Waaaoooo chapati Ni nzuri nimeipenda iyoooo
@heliminamathiasi778
3 жыл бұрын
Inaweza ikalala naikawa bado nilaini au ndoo yakula sikuiyoiyo tuu
@nusratbintabdullah5713
2 жыл бұрын
Ilove this thanks Soo much
@DeoMasawe-pb4mv
Жыл бұрын
Nimekielewa vizuri xn dada angu
@rahmasalum7107
3 жыл бұрын
Mashallah very nice mbona hayo mafuta au samli hiyo naona yapo yellow
@Bintmsanif
7 ай бұрын
Nafkiria katumia asili
@MagrethKiwara-gh1xi
Жыл бұрын
Love it.made them today for the first time.thank u
@allyabdalla1028
Жыл бұрын
kwenye kuchoma kafeli. kwa mds huu kweli laini sasa iweke hyo kma hutongoa jino
@ESTAMSANGI
8 ай бұрын
Nashukuru kumbe maji ya moto sio lazima,lazima ni kuacha unga Kwa muda mrefu
@Farida-mz4so
Жыл бұрын
Dada habari unga uliotumia ni kiasi gani?
@NeemaMagot
8 ай бұрын
Asante!dear tajaribu
@azizashaaban870
2 жыл бұрын
Mashallah nice and lovely chapati.
@MirenSammie-rz3fr
Жыл бұрын
Chapati ziwe jikoni kwa dakika ngapi mwalimu?
@alhamdulillahalhamdulillah7529
2 жыл бұрын
Baarakallahu fiiqu my habibty
@kadijahajali3918
2 жыл бұрын
Nzur mashaalah mungu akuzidishiyr
@haveyouseenjesus7560
2 жыл бұрын
Napenda haraka hiyo, nashukuru kw video yako Dada
@loiceloi9471
Жыл бұрын
Nice nimependa
@maruunyange1091
3 жыл бұрын
Wooow,,, chapati nzurii mnooo,,, namimi napika leo jmn,,, dua zako plz
@elianasomaro8044
2 жыл бұрын
Mimi sijui huwa nakosea walikuwa naacha unakaa mda mrefu na unakuwa mlaini ila nikija kupika inakuwa ngumu. Shida ni nini?
@nurathkatura3924
2 жыл бұрын
Jaribu kuwa makini na moto usiwe mdogo sana na usiwe mkali sana yaani uwe saiz ya kati
@fatihiyaidiy931
Жыл бұрын
Shida ipo sehem mbili, kusukuma na kukanda unaeza ukawa lain lkn hujaukanda ipasavyo
@JeyBlu
8 ай бұрын
Kumbe siko peke
@fridakanda7538
7 ай бұрын
Tuko wengi
@csharifa
6 ай бұрын
Moto unakuwa mdogo San
@djaberathna4124
3 жыл бұрын
I like your video.🇱🇰
@glove1997
2 жыл бұрын
Hey Dada unpk chapter nzulsan jap sjala
@shony1019
2 жыл бұрын
Hapo ni mejifunza kitu good job
@faithmwende1932
2 жыл бұрын
Wow,, Safi Sana mpendwa
@johnchevalierofficiel3472
2 жыл бұрын
Being ni mbaya kuweka ndani ?
@pendosamwel9289
2 жыл бұрын
Nzur san
@ChristinaElinazi
Жыл бұрын
Hongera Sana ziko vzr
@RandB_Channel
Жыл бұрын
Kiukweli ukijunguwa unga kabisa ni laini sana nilijaribu leo nikaona unga wangu umetoka vema tofauti nambele. Tarudi kutiya comment nyingine nikikaanga
Asante kwa maujuzi,naomba unifahamishe aina ya unga uliotumia maana umekandika kwa haraka,mie nakanda unga gramu 500 kwa nusu SAA jasho linanitoka bado unanata mkononi sijui nakosea wapi au ni aina ya unga???!!!
@shamzone388
2 жыл бұрын
Fatma ukiponda unga tia maji yakutosha usiwe mgumu wala usiwe laini sana... ukikunja pakaa samli yakutosha... halafu ziache zipumzike masaa mengi mimi nafanya asubuhi nachoma jion chapati zinatokea nzuri sana jaribu mpenzi
@masaunimasauni3158
2 жыл бұрын
ndugu yngu unga ni ppf tu na ukikosea Unga kuutia maji mwanzoni.ndio ndio shida inapoanzia
Пікірлер: 297