Chard talent kipaji unacho kikubwa sanaa ipa huyo mlevi bado...unapaswa kumnoa kuna wakati anaongea kawaida kabisa kana kwamba hajalewa....na kujitikisa kwake ni kuoe kwa kuonekana kwamba anaigiza kabisaaa...mlev anatakiwa kuyumba kwel kwel na chupa angekua nayo mkonon kama masele...ZINGATIA hilo bro...mm shabiki yako nakubali sanaaaaa kazi zako...See you to another video keep pushing🎉
@mancargo_99
5 ай бұрын
Ipaki kabisa .... Kafara...
@drgeofreykupaza7707
5 ай бұрын
Chard tuliza gar blaza mbona ivo unamtesa mwana ata mm naona unaendesa gari tulia basi mwaana apande
Пікірлер: 9