ZARI Alivyotua MBAGALA Ampigia TIFFAH simu
Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ametikisa Mitaa Mbagala jijini Dar leo Jumamosi, Mei 4, 2019 wakati akigawa diapers aina ya SOFTCARE kwa akina mama wa Mbagala. Global TV inafahamu kuwa Zari ni Balozi wa Softcare na amekuja Bongo akitokea nyumbani kwake, Afrika Kusini kwa ajili ya shughuli za kijamii, wakazi wa Mbagala, hasa kina dada walimlaki kwa vifijo na nderemo......
ZARI ni mzazi mwenzie na Diamond Platnumz na amemzalia watoto wawili, Tiffah na Prince Nillan
#ZARI #MBAGALA
www.youtube.com/watch?.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: facebook.com/globalpublishers Instagram:
instagram.com/globalpublishers Twitter: twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ametikisa Mitaa Mbagala jijini Dar leo Jumamosi, Mei 4, 2019 wakati akigawa diapers aina ya SOFTCARE kwa akina mama wa Mbagala. Global TV inafahamu kuwa Zari ni Balozi wa Softcare na amekuja Bongo akitokea nyumbani kwake, Afrika Kusini kwa ajili ya shughuli za kijamii, wakazi wa Mbagala, hasa kina dada walimlaki kwa vifijo na nderemo......
ZARI ni mzazi mwenzie na Diamond Platnumz na amemzalia watoto wawili, Tiffah na Prince Nillan
Негізгі бет CHEKI!! ZARI Alivyotua MBAGALA, Ampigia TIFFAH simu!
Пікірлер: 12