Nalikumbuka hilo tukio la Dodoma mvua ilinyesha sana chidi alirushiwa nguo kibao stejini na viatu na akaondoka nazo. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, hili Jamaa ninoma sana no matter what.
@bittersweet1683
4 ай бұрын
That vest journalist must go back to school
@sayeedfellah4706
4 ай бұрын
Alikiba mpe huyu jamaa show ya Rufiji love from kenya 🇰🇪 😍 ♥️
@MussaSongo
4 ай бұрын
Mhoji chid akiwa yupo kwenye hali hii Safi saana utamfaidi anatema point tupu respect 🙏 👏 👌 👍 😄 🙌
@twalibmakau8380
4 ай бұрын
Rashid anonekana katulia kiaakili huyu ndio yeye, he's so conscious mind, my first time to see him like this
@diasalicastro5353
4 ай бұрын
One love chid benz
@jayfarsaga4935
4 ай бұрын
Eatv machoko kweli sa chid mpka anaomba kuchana mamae zenu ndio maana wasafi wamewapiga gep😂😂
@diasalicastro5353
4 ай бұрын
One love chid benz
@GeorgeElias-p5o
4 ай бұрын
Chid ni mtu hatari, tatizo awa washirikina ndio wanatuharibia game
@miltonmugisha1805
4 ай бұрын
Usipomtaja Manecky kuna namna sikupati vema
@bekatv1009
4 ай бұрын
Crown media pigeni mziki wa chidi apate airtime...kingi kiba lifanyie kazi suala hili
@fotycows3830
4 ай бұрын
Nyie wabongo ndio munataka kueka chidi Kwa Mlevi jama Yuko sawa nafasi wamnyima
@bittersweet1683
4 ай бұрын
Chid ni photocopy ya D M X they are both controversial
@mmassyferguson4959
4 ай бұрын
Respect chid benz industry ya muzik yetu inatakiwa kuwaheshim malegendar
@novartforodhani9911
4 ай бұрын
Jamaa kiukweli leo Kawa seriously sana
@TradersEasyWay
4 ай бұрын
yupo vizuri chidi amechana vyema
@ridhiwanmlawa1371
4 ай бұрын
Hakuna wakumfànanisha na chidi na mm siwezi kumshauri kwasababu nimkbwa sana ila ajue kinacho msibu ni uwezo wake hakuna anaependa azidiwe ss yeye amewazidi karibu wote ni mkali
@mucci_AI
4 ай бұрын
Duuh hatari sana Chid benz
@martingeorgenzali5614
4 ай бұрын
Chef Banz Denger Anajua Xana Kullapp
@MussaSongo
4 ай бұрын
Timu nzima ni wachezaji wa dilii kkkkkkkkk..............chid anajua kila kitu
@benedictmhina4819
4 ай бұрын
Leo dish halijayumba
@abdulg4070
4 ай бұрын
😂
@thadeusmahendeka4466
4 ай бұрын
Mwishoni Mwamba King Kong kachana hATARI SANAAA.
@samchris1914
4 ай бұрын
Kuna ngoma unaitwa Misele kafanya na Banza Stone noumaaaa sana
@MussaSongo
4 ай бұрын
Huyu jamaa ni kichwa saana lakini mungu ni mkubwa yatapita
@nichoojr.6747
4 ай бұрын
Kwanini east Africa warmtangazaji wanaondoka Wote mfano Hata kama wanakuja wageni NI Sawa lakini Kiongozi anatakiwa Awepo Bana
@KingTega-d3k
4 ай бұрын
sina araka na Chidi benz kwenye show watamuota kama wema upo Mungu ndo anajua nakupenda na kukubali pia one day ntafanya ngoma na wewe
@FedrickAloyce-nl1pl
4 ай бұрын
The chid beenz...yani mnamuhoji ye anawaza beat😂😂
@aliiseif3875
4 ай бұрын
King kiba Crown 👑 impe nafasi huyu jamaa icheze ngoma zake chid mnyama kweli kweli
@jumaally2980
4 ай бұрын
Anajua kuzungumza anajua kupangilia uandishi wake, vina mizani na vyote viitajiwavyo kwenye mashairi yake Tatizo lake ni moja namna ya kuthibiti kauli zake anapowaongelea wengine (hekima)
@bittersweet1683
4 ай бұрын
Chid be careful with Diamond because he has a hidden agenda after you because you are an obstacle toward his local Fame. The whole world knows
@HusseinBish
4 ай бұрын
BISH fan Wa Chidy since day hizoo
@kingngoshazephania4344
4 ай бұрын
One love man chid Benz
@EricNdanyuzwe
4 ай бұрын
Naim a number yachid nimpe zawadi jani
@princeyasrysygdnabdulrakhm9224
4 ай бұрын
Chid benz ni alama kubwa ya Hip Hop Tanzania very talented
Interview haina vibe kabisa na ni sababu jamaa wanamuogopa chidy
@ramadhankakai7303
4 ай бұрын
Ushazoea kelele zisizo na maana kwenye interviews sio? Interview za maana zinahitaji utulivu kama hivi
@RajabuMkonje
4 ай бұрын
Uko nina balaa😂
@kaponatz
4 ай бұрын
Chuma
@AwardBillb000ard
4 ай бұрын
Chid ana namna yake ya kuangalia mambo kwa upande tofauti kabisa.. this guy is very bright
@pitbullfamily4499
4 ай бұрын
REAL TALK-SHOW THÉ REAL HIP-HOP 🏆
@MaishaHaya
4 ай бұрын
Chid wewe ni mkali❤
@abdulg4070
4 ай бұрын
😂
@lampadshigonko3006
4 ай бұрын
tatizo la huyu akipewa nafasi ya kupiga show nusu saa, muda wake ukiisha anang'ang'ania mike... ss anavuruga ratba
@bennyframa4505
4 ай бұрын
Dah hikipindi kimepooza majembe yote yameindoka. 😢 nakumbuka enzi hizo hapa kuna dullah, jr nunior, madam pezdent then kuna yule dada bonge 🙌🙌🙌
@MTOTOWAvitoto
4 ай бұрын
Was crazy
@kaponatz
4 ай бұрын
Usikariri jamaa hawa mbona noma kuliko wale
@danielmllay8332
4 ай бұрын
Kilikuwa hatariii
@GwakisaMwaisanga-th7uz
4 ай бұрын
Mm nadhan hawa wako sawa kuliko hata walopita kiukwel.
@alexibrahim5676
4 ай бұрын
Huyu mshkaji akipunguza bange na pombe mbele atapaona ila akiendelea atapaskia tu
@12322879
4 ай бұрын
Abadili tabia kwanza ndo atasimama upya.
@jeremiahcharles6027
4 ай бұрын
Madawa sio mazuri
@Hassan-ot1mc
4 ай бұрын
uliwqhi kula
@princeyasrysygdnabdulrakhm9224
4 ай бұрын
Ww ndyo unatumia madawa muda wote akili mbovu acha mnawaza madawa kwake why
@malikeyndotopopote
4 ай бұрын
Very stupid comment. Tusipende kukariri maisha ya mtu. Hata kwenye vitabu vya imani kuna watu walikuwa wabaya na story ikabadilika. Watanzania tupende kuona uzuri wa mtu zi mapungufu.
@Oldskulgemini9991
4 ай бұрын
We hujawahi tumia madawa kweli wewe?
@Oldskulgemini9991
4 ай бұрын
We hujawahi tumia madawa kweli wewe?
@MackameHassani
4 ай бұрын
Doa la madawa ndo linalomtesa Chiddy now.......😢
@Kuminamoja1995
4 ай бұрын
Chidi weenae unazingua bro? acha 🚬💊
@barakasamweli9115
4 ай бұрын
Wewe ni kichaa wewe unajuwa uwezo wa chidi watoto waefumbili mnapenda uchawi sana na la wama chidi ni hip hop na mbamoja
@diagfinamix1861
4 ай бұрын
Kamshauri basi jamaa akapige mswaki mtoto wa mjini inabidi hata akicheka kinywa ki shine.😅
@t.ikingtz5703
4 ай бұрын
Wew kinywa cha chidi kinakuusu nn ,chukua madini ambayo yanatoka kweny kinywa icho acha usengelema 🖕
@salimbilali5174
4 ай бұрын
I believe in chidi Benz kuna baadhi wanafnya everything kumspoil chidi cz they know chidi is the best 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️🇰🇪❤️🇰🇪❤️much love from lfamilia🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@svt3
4 ай бұрын
Anaji spoil yeye mwenyewe na madawa akiamua kuyaacha alafu akubali musaada wa kuziacha itakuwa sawa kabisa tatizo kubwa ni achukuwe maamuzi ya kuacha drugs Chidi he is enemy to himself
Пікірлер: 76