Chini ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, uongozi wa Chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST), Arusha, unayofuraha kuwaletea makala ya mahojiano mahsusi baina ya Naibu Makamu Mkuu wa chuo upande wa Taaluma, Tafiti na Ubunifu na Mwendeshaji wa kipindi cha Tanzania Mpya-TBC1, Ndugu Kabale Malinzi. Mahojiano haya yalilenga juu ya chimbuko, wajibu na shughuli mbalimbali za chuo pamoja na mafanikio katika nyanja za tafiti na ubunifu zenye kutatua changamoto za jamii na viwanda. Mafanikio haya yamepatikana tangu chuo kuanzishwa pamoja na ambayo yamepoatikana ndani ya kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
- Күн бұрын
Chimbuko, Majukumu na Mafanikio ya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela(NM-AIST)
- Рет қаралды 481
Пікірлер