Umekawia sana au n vile #sonia alikua na mfinanga na dogo kipara ingwe shadow utapotesa mafans wako juu ya kuchelewesha damthilia yako🇰🇪🇰🇪
@ViolineOnsomu
2 ай бұрын
Shadow nakupenda sana umelala sana bkweli
@merinazyd0532
3 ай бұрын
Mzur yaaan ❤❤
@SusanBilali
3 ай бұрын
Ulipotea sana bro
@ronzevannyboychui1661
2 ай бұрын
Poa kitu kizuri kabisa jaman
@kipagomedia6857
2 ай бұрын
Filam nzur Ila imeishia vibaya
@benderasixmuhoreza2941
3 ай бұрын
Nili uzunikaka kusikia shadoh kuibiwa vi data Ila suis content de me retrouver
@MoTalentTz
3 ай бұрын
Duuh huyu jamaa kaludi
@johalirankunda6618
2 ай бұрын
Uhakawiasana ilapol sana nacangamoto❤❤
@liz77941
3 ай бұрын
Atleast am happy you're back shadow
@LarnyxkidClintoride
2 ай бұрын
Bana shadow tunasuburia episode mrefu nawe unakuja na fupi after long time
@zubeirkheir2882
2 ай бұрын
Shadow vp umerudi Tena sio
@mahmoudnajad217
3 ай бұрын
HONGERA SANA BROO KWA KURUDI KWENYE GAME.
@OMARMANUEL-cc4nu
3 ай бұрын
🎉🎉🎉
@maryamfuad2862
3 ай бұрын
Hadi tumesahau
@giselemauwa4477
2 ай бұрын
Ume potea jamani shadow
@AsmaaAli-u3z
2 ай бұрын
Mumechelewa sana na sauti mbn wengine hatuwasikii wakiongea
@abumutwaira4892
3 ай бұрын
Huyu jama alipotea sana
@MOYOKITCHEN-w5x
3 ай бұрын
hizi sio zama za kuonekana mic kwenye video, wala picha kuyumbayumba, story idea bomba ila picture quality na baadhi ya washiriki wameonyesha kiwango duni sana
@josephcleth3945
3 ай бұрын
Huyu jamaa Sanaa imemshinda, ila sisi shabiki zako bado tunaimani na wewe, piga kazi kama clam mbona jamaa anakuacha sana
@JullianaJuma
3 ай бұрын
Akati viwangovyenu vilikuwa sawa kabisa
@gadafimuemede2985
3 ай бұрын
Movie Kali ila unachelewesha sana 🙏🏿🙏🏿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@AliMunga-c8n
3 ай бұрын
Umepotea sana bro shadow tunamiss kazi zako sana big sana kwa kurudi
@DaudiLukumay-rq3wk
2 ай бұрын
Umeishia Patamu ww aaaaaa😢
@cristianofabiao537
2 ай бұрын
Kwa ajili ya doko
@enoshmhemakapaya
2 ай бұрын
Wewe Shadow uliendaga wap ,,,,,unijubu maana mm nishabiki yako kindaki ndaki
@AnnahVaati
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@lyomofilm
3 ай бұрын
Umeharibu sana hiii 😢
@MzeeRaca
3 ай бұрын
Safi sana shabow kazi nzuri 💯🥀
@Josuebossman
3 ай бұрын
Ni likua nikihisubili kwa hamu 🎉❤
@bullettruck5058
3 ай бұрын
Huyu sonia nikimpat ntamla kinom😂
@gracekayumba-z9l
3 ай бұрын
Ulipotelea wap
@NuruheartAmani
2 ай бұрын
Alieua kwa upanga atakufa kwa upanga
@Kashindijohn
3 ай бұрын
Umekawa sana brother ila yote ongera 🎉
@mwatakajehamisi1724
3 ай бұрын
Ilikua nimekumiss shado❤❤❤😍😍😍😍
@changuale
3 ай бұрын
si hapo sasa
@siyajarijospin1469
3 ай бұрын
Kazi nzuli ila umekawia sana
@MohaYusuf-c7r
3 ай бұрын
N mda mrefu ulipotea usiende tena ukakusahau
@kelvinfficial
3 ай бұрын
King is back 🎉
@shadowtv9704
3 ай бұрын
Kumekucha
@BOYMARTINS
3 ай бұрын
Eu estou em Mozambique
@gabrielmnangala7822
3 ай бұрын
Sonia nampnd jmn
@DirectorPAJAMWA
3 ай бұрын
😂😂 hongeren kazi NZURI
@JumaYusuf-x9k
2 ай бұрын
Huyu shadow anataka kuwacha uigizaji nini mbona hivi ata tulisahau bana
@IsackDevidiMc
3 ай бұрын
Safi Sana Mungu azidi Kukuinuwa🎉
@kassimkambi7122
3 ай бұрын
😂😂😂ngoja kwanza nicheke mana hata nmechanganyikiwa mana nimeisahau hii movie niliachia wapi😂😂😂
@DjMéèK-c8i
3 ай бұрын
Bwana shadow acha kukawia ivo toa episodes kwa wingi❤
@gracekayumba-z9l
3 ай бұрын
Ausemi ata ulikuwa m shida gan
@shadowtv9704
3 ай бұрын
Nili ibiwa camera
@BailingPutin
3 ай бұрын
Nlkua nishasahau na hii movie ata
@Jozfin22Jooozzfin
3 ай бұрын
Ni na wapeda sana
@kombobakar6319
3 ай бұрын
Kitambo sana hii
@claverymelkiony4616
3 ай бұрын
We ulikuwa wap mzee
@NicodemNzai
3 ай бұрын
Broo ulipotea na mbona umerudi umekonda ulikua na shida gani broo
Shadow, hystoria ni njuri nime ipenda ila mwisho wake haijaa kaa sawa, ina bidi mutu oneshe kwamba baada ya shadow ku lipisha kisasi nini kili tokeya, kwasababu mutu akishaa kufa hawezi ku ishi na binadamu wa kawaida. Nawa fata toka Congo
@Zetiboy
3 ай бұрын
Ulikuwa natatizogani
@mohammedkidody5618
3 ай бұрын
Dah shadow ulikuwepo wapi kichaa changu tulikosa burudani kwa muda mrefu❤❤❤
Пікірлер: 90