first viewer tuanze kulipwa😅 we are so lonely huku
@ramadhanihudhaifani4376
14 күн бұрын
Mwijaku ameongea facts na logics vizuri sana bila kupindisha popote! Ila wafuasi wa Diamond wenye akili mbili hawawezi kumuelewa kabsa. Lazima wamuone kaongea pumba tu! Big up sana,bro Mwijaku. Uko sahihi sana,kaka! Diamond,chukuwa changamoto ya mwijaku huyo uifanyie kazi.
@Hassan-ot1mc
10 күн бұрын
Umekula
@amanimuye1451
9 күн бұрын
Wewe unawazimu kama mwijaku pia huyo monda huo utajiri alio nao sai nani alijua atakua nao kutajirika ni akili yako broo sio kua na marafiki wenye pesa...na hio ndoto yake nabhakusema ataitimiza lini
@omaryluambano3495
14 күн бұрын
Kingkiba salute
@user-cs4nj4yn8d
14 күн бұрын
Mbona mumekimbiya voice ya king kiba
@anthonymlanda7049
14 күн бұрын
🤣 🤣 🤣 Wanajuwa n ya moto
@nikkitokke8162
9 күн бұрын
Wanamuogopa, huyo ni moto
@SalumMajorhood
14 күн бұрын
Cwezi kuipinga ndoto ya diamond ila na mwijaku na yy kaongea point wote wapo sawa ila mwijaku kamshauri vizuri kwny ushauri na diamond ndoto yake ipo vzr sana kikubwa amuombe Mungu na aongezee juhudi plas nia
@idrisashelimo307
13 күн бұрын
Mfalume n mmoja tuy King 🤴 fundiiii kama Fundiiii
@AllyBabu-kr6lg
14 күн бұрын
Sns waambie rekodi ya harmonize mpaka mda huu ontrend ziko goma 4 za mjeshiii so album bali ni back to 🔙 tafuta hii rekod kama ipo natoa feza ila isiwe goma za alibam sisi atutegemei kolabo kama ao upande wa pili 💊 💊 💊
@adamsengo1869
13 күн бұрын
Huyo D VOICE Mungu amsaidie tu kwa kweli
@lockedaway9121
12 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅nmecheka kwa nguv
@aliysaid6162
10 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@nikkitokke8162
9 күн бұрын
Hio ngamia ni yule lavalava
@nikkitokke8162
9 күн бұрын
Huyu Alikiba mdharahu tu ila ndio Bongo flavour. Siku mtajishebedua kama Kanumba alivyokiwa Bongo movie
@DidiSimajiBahati
14 күн бұрын
DRC congo tuna pendant Sana Tanzanie ❤🎉🎉
@RomanMwinyi
14 күн бұрын
Konde boy jeshiiiiii mnyamaaaaaa no bustaaaa
@amedeuskimario8895
14 күн бұрын
Mond ndo star wa mziki wa bongo Kaka piga kazi maneno ya ushindani na watu yasikusumbue
@bashirksabu3540
14 күн бұрын
King Kiba heshima sana
@rosemahenge9071
14 күн бұрын
D'voice🎉🎉
@Brunotarimo10
14 күн бұрын
King kiba Ni kama Maji usipoyanywa utayaogea
@kassimrajabu7805
14 күн бұрын
Duuuh😂😂
@bovickpascal6554
14 күн бұрын
Duuuu Kwalipi
@rosemahenge9071
14 күн бұрын
Tangu lini😂😂😂
@mandyuwimana7735
14 күн бұрын
King Kiba kiboko yawa jinga ❤❤
@Zuu673
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂wewe kweli chawa manyoya
@saluuhans
6 күн бұрын
Love
@Humanity21216
14 күн бұрын
Ilikuwa occasion gani mpaka wakakusanyika hivi wote?
@ZenaRama-x5w
14 күн бұрын
Wote humu hmnaakili mwijaku punga
@DM_15
14 күн бұрын
Wasanii wanafiki sana aseeh hapo wakati sauti ya king. Inasikika wame poaaaa kabaki muimbaji namondi wengine wana zugazugakucheza.
@aishamapalala5433
13 күн бұрын
Sio lazima wote waimbe😅
@Baira240
14 күн бұрын
D voice to the air😅😅😅😂
@geraldkbona5595
14 күн бұрын
Dope
@DavidMbwilo-qk1bz
13 күн бұрын
Pure bongo flava🔥🔥🔥
@athanaswilliam6940
13 күн бұрын
Watu wengi hapa akiwemo baba levo, ommy na mondi mwenyewe Wana sura za tabasamu feki
@ashirafkhamis1556
10 күн бұрын
mnatuharibia bando letu,an hakuna hata kipande cha alikiba alf mnapost tu
@Michealfarah-n1w
14 күн бұрын
Nime penda hapo kwa mbuzi🐐🐐
@nikkitokke8162
9 күн бұрын
Mfalme akija kaeni kwa kushangaa keeenge
@timetravellor5367
14 күн бұрын
Apo rafiki wake wa kweli ni B levo tu walobaki wote ni fake
@meryamabdullah2081
14 күн бұрын
Ulisikia wp mtu ukapendwa na kila mtu
@Mina.15
14 күн бұрын
Including your comment to
@timetravellor5367
14 күн бұрын
@@Mina.15 including your replying too
@fredmabeya
10 күн бұрын
Huyu Voice mbona wanamkaushia ivo
@redstargroup369
10 күн бұрын
Niaje 🎉🎉🎉🎉🎉
@mptheswagz5399
14 күн бұрын
Nimelipend xn hili jambo
@kulyafx-c9h
14 күн бұрын
Kwa spidi aliyonayo diamond toka nenda kamwambie hadi leo angalia alivyo, inatoshakuamn kwa maajabu anayotuonyesha. alikuwa wa tandale huyo msisahau 😂 leo uwezi jua kaona nini.
@athanaswilliam6940
13 күн бұрын
Hili tamasha mmh
@cmaxfrans4654
14 күн бұрын
Hilo kundi zima akitokea king kiba anawaacha chaliii 😂
@storytime1204
14 күн бұрын
Haaa hapo ipigwe komasava😅😅wote chali na ali kiba wenu😅
@happylimo5766
10 күн бұрын
@@storytime1204 hakuna cha cassava wala mwangaluka ipigwe follen angel kama mond atabakia
@storytime1204
9 күн бұрын
@@happylimo5766 jina la nyimbo tu huwezi kuandika unadhani ndio watu watasikiliza?😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti follen😂😂😂😂hyo follen imeishia kenya hapo😂😂
@davidanselmo4041
12 күн бұрын
Mwijaku anachangamsha sana😂😂 hapo vunjabei kaogopa 😅
@sharp7649
8 күн бұрын
Where the f i alkiba
@jamesvmusic2677
14 күн бұрын
😂😂😂😂
@ninjaisma7983
13 күн бұрын
Style up bana video mbovu kama ambae mumerekodi na simu..sns taasisi kubwa tafteni video grapha mzuri ashoot proper content
Пікірлер: 70