Christina Shusho jua kwamba kuna watu walipitia maisha magum ktk ndoa zao lkn walinyamaza na hawakuvunja ndoa zaid sana walimpa Mungu Utukufu, rudi kwenye ndoa yako tafadhali.
@rhodakerubo2850
3 ай бұрын
Shida hapa Christina amezungumza kizungu. Angesimulia kwa kiswahili, watanzania wangemuelewa, wasingemhukumu. Mume alishamkataa na kumrudisha kijijini kwa wazazi wake mwaka 2010. Christina akarudi Dar akaanza maisha mapya ya kumtumikia Mungu asilimia mia moja, BILA NDOA SABABU MUME AMEMKATAA! Miaka yote hiyo tangu 2010 amekaa kimya hamjui maisha yake kiundani. Leo kaamua kutoa ushuhuda jinsi Mungu amemtendea mnamuhukumu! Mungu anajua maisha yake tangu waachane, na anemuinua hiyo miaka yote. Muache mama wa watu aishi maisha yake. Christina songa mbele achana na kilele za chura!!! MUNGU MBELE!!!
@user-tt7cu2et1x
3 ай бұрын
Ndo uwa mnasaidiana kula sadaka za hapo church yenu n yye we ndo unamjua kiundan kaaa kwa tulia kula nyama nyamza ..omba macho ya rohon ujue kaz znazoendleaa ktka ulimwengu huu.utajuwa vizur kwa nn amebadilika ashaurik aambiw .kitu ujui tulia unafkir watu wte wanaongea mbovu kma zako
@carrennyangwara5541
3 ай бұрын
Christina Shusho..you're a blessing..keep praising God...the eagle doesn't do it's fights on the ground,but high above,where the enemy won't be able to continue fighting,but will definitely give up and the eagle soars higher..the Lord bless your ministry.
@MercyKangethe-fz7zo
4 ай бұрын
This was a most informative message. Christina has brought in a clearer angle of where she is coming from and where she is headed to. She is a woman of God with a clear vision and nothing will stop her. I admire her eloquence and great sense of duty. May God bless you Christina, and may he give you all the comfort and favour you may require to carry on with the Lord's mission. Lots of ❤️ from 🇰🇪.
@jekelasimoni8950
4 ай бұрын
Iko njia ionekanayo njema machon pa watu but ni njia za mauti!!! Mungu tusaidie
@lydiawasai9439
3 ай бұрын
Her very own words
@Kidimaprisca7
3 ай бұрын
Jaman msipende kuhukumu mtu bila kujua maisha yake kwa undani zaidi kiatu alichokivaa anakijua mwenyewe amjuaye vyema ni Mungu tu na si wanadamu.
@basilisamsaka8469
3 ай бұрын
Wewe ni mtu mwema
@user-fe6gj1hg9r
3 ай бұрын
Si kaongea vyote( mateso yote) sasa hatujui ninyi na kaongea yote!!
@consolataconsolata1250
3 ай бұрын
Huyu dada kukaa kimya kumemfanya aonekane yeye ndio mbaya. Sasa kama mume alimfukuza toka 2010 Leo yeye ndio anaonekana ana kosa? Kama hujui upande wa pili wa story bora kukaa kimya. Wanaume wana tabia ya kufanya vitu halafu wanajifanya wao ndio wameomewa. Mungu ndio anajua ukweli nyie mnaomtukana hamjui ukweli wote. Wanaume wengine hawawezagi kuvumilia mafanikio ya wake zao. Wengine wanaonea wivu wake zao wakifanya vizuri. Mungu anaejua ukweli atamlipa kila mtu sawa sawa na haki yake. Kwanza huyu dada ana hekima sana kama alikaa kimya toka 2010 hakuna mtu alijua kafukuzwa nyumbani kwake..SO SAD
@brorichardmusingithe7th11
3 ай бұрын
wewe unaujua ukweli wote? wananchi wanaongea yale anayoyafanya hususani ndoa,Hata wewe hururhusiwi kukimbia ndoa na kujisifiakuwa uliacha ndoa ili umtumikie Mungu, Maswali mengi yako hiviii? Je yeye alilyetamka kuwa haukna wa kutenganisha na mvumilie hadi kufa ataruhusu uachane na mme ana uhubiri injili?
@thomaschagula3508
3 ай бұрын
Amina mtumishi. Wewe ndio umeongea la msingi sana. Mungu akubariki sana
@Usizoeedhambi
3 ай бұрын
Huyu mwanamke mwongo sana. Tena adanganya akiwa madhabahuni. Alizaliwa 14 Novemba 1974 na kuolewa tar 14 Decemba 1996 akiwa na umri wa miaka 22. Na mwaka huu wa 2024 ana miaka 50. Mzee sasa. Ameolewa kwenye familia ya Kikuhani wamo wachungaji 3 na Baba yao alikuwa Askofu Mkubwa huko Kigoma.Mimi nilikuwa mshirika wake Kanisani kwake Dreamers Centre. Nasema kweli tupu na Mungu anihukumu kama nasema wongo. Niliondoka kwa sababu ya tabia zake za ovyo. Alitupa nje ya ofisi meza na vitabu na Biblia za mme wake Askofu nje ya ofisi bila sababu ya msingi Nikaondoka Kanisani hapo. Familia ya mme wake wala.hawako.9. wanaume walikuwa 4 na wa 3 walikuwa boarding. College na shule. Na alipoolewa alikuja na mdogo wake wa Kike.Vitu vingi anasema hapo uongo tu anachafua madhabahu. Huyu ni devil worshiper ni ajenti wa kuvuruga na kuvunja ndoa makanisani . Yesu alituachia injili ya mapatano. Wewe Mama mwenye Kanisa hilo umechafua madhabahu ya Bwana.Umeharibu ndoa za washirika wako !!! Subiri divorce nyingi baada ya miaka 5 nakuambia . Umebomoa badala ya kujenga. Hapo amefuatana na Manager wake ni mwislamu uchafu mtupu .Nuru na giza wapi.na wapi !!!!!
@luganomunuwavanu9369
3 ай бұрын
@@Usizoeedhambi ndungu umeandika kwa uchungu sana... Unaonekana unajua mengi kuhusu huyu mwanamke
@PAULINEWANJIKU-pwm
2 ай бұрын
@@Usizoeedhambi😢duh
@SylvesterAmbokile-ur2vd
4 ай бұрын
Pengine angeolewa baada ya miaka 19 aliyoitaka asingefikia hali ya sasa kwa kuwa aliiniliwa na kupata mafanikio akiwa na John Shusho
@neemamasudi7988
4 ай бұрын
Ni kweli wewe ni mtu wa kijijini pale Congo sehemu inayo hitwa Yungu ndo nyumbani kwenu. Sasa wewe Christina mbona ume hahibisha wana wake wote na wana ume wote. Pole sana Christina shetani yuko na wewe.
@imankasagara9492
4 ай бұрын
Unapotoka katika wingu la Mungu usikubali kuendelea katika Hali hiyo geuka Rudi hata kama kwa gharama ya aibu,aibu kwa watu si kitu Bali kurudi katika wingu la utukufu
@imankasagara9492
4 ай бұрын
Usitumie madhabahu kujitakasa je Leo ndio umegungua hilo au ndo unatangaza kuwa kujaolewa
@imankasagara9492
4 ай бұрын
Wito wa Mungu tunautazama mwisho wa safari si mwanzo
@basilisamsaka8469
3 ай бұрын
Kwani wangapi wanaachana na waume zao au wake zao na bado wameokoka
@davidnyika4296
3 ай бұрын
Mungu auponye moyo wako
@sovajulius3870
Жыл бұрын
Christina Unajua na Kinge kipo on point Bravooooo
@fredyaled
4 ай бұрын
Huyu mda cmrefu..utamskia anamgombania Diamond na naye utadkia ana Mtoto wa diamond. Naongea leo ..lakin 2simsingizie Mungu hapa
@lucykayombo9987
4 ай бұрын
Hongera dada Christna, ushuhuda mkubwa sana unatia moyo, nakufurahia nakupenda...wewe ni mtumishi Roho mtakatifu aongoze hatua zako
@savedbygrace3230
3 ай бұрын
Beautifully intetpreted and blessings to Christina.
@Tg.7_7
4 ай бұрын
Ila ni ngumu sana kwake yeye Christina na kwa mumewe pia, kama from the very first place hapakuwahi kua na love it’s very hard….!! Let’s leave this matter to God!!🙏
@zaujatilongo6927
4 ай бұрын
Well said
@jesuinababili2280
4 ай бұрын
Frankly said
@ezekielisack6310
4 ай бұрын
Exactly...
@AngelFoodProductsTz
4 ай бұрын
Ua ver wise
@richardchimba3800
4 ай бұрын
Unaongopea😂wengine
@elizabethwambua8797
3 ай бұрын
Love you mommy.only woman who has such past can understand you.Gods love is with you all through.
@stellagwimo3115
4 ай бұрын
Powerful testimony, thanks Christina for sharing you life story with us. God bless.
@user-fr7jj1bo7y
4 ай бұрын
mwanamke keshakuwa na pesa sasa anamuona mumewe aliyemtoa jalalani kuwa si kitu
shusho umeshiba...mutu akishashiba anajiona leo jana yake anaisahau ... so unaona hustahili watu waliyokutengeneza kuwa wewe jinsi ulivyo leo...ebu kumbuka ulipotoka wapi !! tujifunze kushukuru
@eliwazamakala3897
3 ай бұрын
Pole sana dada. Mungu aendelee kukutetea zaid dhidi ya maadui zako. Binadamu huwez waziba midomo. Only God knows.
@sullydelasympathielusayams3764
9 күн бұрын
Kuolewa kwa msichana akiwa bado mdogo sio kusema ndiyo vibaya. Kwetu Sisi waafrika, wasichana wengi uolewa wakiwa wadogo na maumbile yao uruhusu hivyo. Wala sio kusema hiyo hali umloga mtu hasihishi na mume wake hadi kutengana wakati mumoja ametoweka! Mfano wa dada Christina Shusho ni wake wa pekee. Na mimi naona anatoa uzuru wala sio sababu ya kweli ya yeye kuamua kuachana n'a mume wake.
@GodlivingAjuna
16 күн бұрын
Ni rahisi sana kutoa comment mbaya na nyingine ni njema ila uzito wa mambo na maisha anaujua mhusika, tusipende kutoa hukumu Mungu aonaye siri ndiye pekee mwenye hukumu ya kweli kwenye maisha ya mwanadam
@ElphasNabule-uj1zi
4 ай бұрын
christine ,kumbuka yakwamba Ndoa ilianzishwa na Mungu na kwa mpango wa Mungu , Talaka Haikuemo. Soma maandiko vizuri .Nithambi ilileta Mutengano Kati ya Mungu na muana damu ,Vilevile katika ndoa usipo elewa kusudi la Mungu ndaani ya maisha yako na Mungu Utatenda Mapenzi ya shetani .kumbuka Mungu anachukia Talaka haswa zaidi kwa Watumishi wake vilevile Kanisa linaanzia Nyumbani Likiekea kwa Mathabau .christin nina suali kwako utajitetea Aje mbele Ya kiti cha enzi Mbinguni? kwa wanadamu ni raisi Jee, Na kwa MUNGU?
@janesuma-is4wc
2 ай бұрын
Wewe ndio usome mandiko vizuri mmekua watu wa kutafsiri bible vibaya na kwa hisia zenu Acha kuhukumu wewe
Usihukumu usije nawewe ukahumiwa.Yeye atabeba msalaba wake mwenyewe.
@janewasilwa8813
4 ай бұрын
God bless you Mama. Someone is encouraged Mama
@user-qg1iy5ov3u
3 ай бұрын
Hongera sana Christina Mungu huyu akulinde sana change usiyumbishwe na maneno maovu ya mitandaoni
@user-ee6sz5gy4r
4 ай бұрын
Mmewe alimtoa KIGOMA kibirizi hata kiswahili alikuwa hajui vzr Leo anamuita Jamaa duhh hii ndoo dunia tenda wema uende zako, Mungu anakuona
@JoseHaule-tx7lu
4 ай бұрын
Ila wanawake nomaaa sana
@Kidotii
4 ай бұрын
Hata wewe kunasehemu ulitolewa na Mtu, haimaanishi umwabudu huyo mtu hata kama anakukosea!
@jacksontarickkitambala2204
4 ай бұрын
Fundisheni watu ukweli siyo unafiki Kwani pale ulipo olewa na miaka 19 , MUNGU hakuwa nawe?
@jacksontarickkitambala2204
4 ай бұрын
@@KidotiiNDOA ni NDOA
@treasurerussel3422
3 ай бұрын
Alafuuu ni mkimbiziii 😂😂😂😂😂😂
@user-xy9pk2rz8z
4 ай бұрын
Hiki kizazi cha nyoka kwakweli kwani lazima utafute kujiosha ..mlikutana ..mmeachana endelea na maisha yako ..wanaume wasichafuliwe jamani kwa taarifa tuu hao ni wawakilishi wa Mungu ndani ya familia
@lucynjengachef709
3 ай бұрын
Your story is qn eye opener ....
@kabulamalima5179
4 ай бұрын
Huyo shusho ndo mumeo na baraka zako zilikuwa mikononi mwako. Mungu akusamehe
@neemachalamila590
4 ай бұрын
Ila ulikuwa wa kishua!!!! Hadi ice 🧊 cream ulitengeneza maana yake mlikuwa na fridge, halafu hii kjiongeza ndio usaidizi wenyewe kama mke according to bible, sio mateso , na swala la kupenda sio jukumu la mwanamke ni jukumu la mume,
@pastorbakarigeraldwilondja6702
4 ай бұрын
MUNGU AKUHURUMIE SANA MAANA WEWE NI MWANAMKE USIOSHUKURU KBS
@janewasilwa8813
4 ай бұрын
Thank you...of God lives I will.live. If God is able I will succeed
@zaujatilongo6927
4 ай бұрын
Mungu akifanyie lililokusudi lake tuuu! Sisi hatujui ila Mungu aonaye sirini anajua yote, Mungu asikuache hadi mwisho wa maisha yako
@sautiisiyosema
4 ай бұрын
Nimeumia sana kumuita mmeo jamaa Mungu na akulipe kulingana na matendo yako. Kumbuka bila huyo jamaa usingekua hivyo ulivyo leo
@treasurerussel3422
3 ай бұрын
Mungu Ndio kataka tina awe hivyo
@user-tt7cu2et1x
3 ай бұрын
Aiseee wanawake wa Africa wakitajirika n umaarufu n kosaa kubwa sana wallah
@givenessdavid3743
3 ай бұрын
It's time to be on Top Tina.....
@florencenzyuko2121
3 ай бұрын
Christina God is faithful & you're a seed of God
@rithadonatus8110
4 ай бұрын
Ila ni kwanini unaongea yote hayo jamani mambo ya familia.. kama uliamua kuacha ungeacha personal
@paulmushi2428
Жыл бұрын
Kwa kweli dada Christina umekuwa na ushuhuda wa ubinafsi wa kupitiliza!
@sautikuu212
4 ай бұрын
Yaani utadhani mume wake hana mchango wowote, ubinafsi wa kiwango cha juu mno.
@Kakwasi
4 ай бұрын
It's her life
@mynambwambo2072
4 ай бұрын
I can relate hii story na ile ya laban na Jacob.. Jacob alienda kwa laban akiwa na baraka zake kila kilchoendelea ikiwemo mifugo mingi kuzaliwa pale ilikua sababu ya Jacob mwenyewe I can relate hii story na shush huyu mwanamke alikua tayari ameshabarikiwa na Mungu huyo mume wake ilikua ni njia tu Mungu allifanya ili kudhihirisha kilichokua ndani ya shush..
@user-cr1sj8xw9x
4 ай бұрын
Dunia imeisha yaani watu munapiga makofi kwamba ujumbe huu umetoka kwa Mungu atupe andiko linalo muruhusu kuachana na mume wake sio mawazo yake anapotoa maelezo asimutaje Mungu hayo Ni mawazo yake ,Mungu akikuita kumutumia sijawahi kusikia kwamba iache ndoa yako Mungu akusaidie nimefuatilia Sana maneno yako unataka kuleta elimu mpya kwenye ndoa Za watu kwa mawazo yako Mungu anachukia kuachana pia alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe hayo umeyapata wapi? Tuonyeshe andiko Hilo sio maneno mengi acha kuudanganya umma ,shusho tulia kwa Bwana majibu yapo
@EDETRAUDHUNGU
4 ай бұрын
mkarimali hongera Sana nimependa
@jamalmanishi7282
4 ай бұрын
Mungu nifundishe kunyamaza maana sielewi
@elizag.edmond7637
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@heriethsamwel7190
4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jeanmusamba8448
4 ай бұрын
hahahaha kina christina wengi huwa wako hivyo sijui kwa nini nimeona more than 4 christina wanaacha waume zao,labdaa maana ya christina na mwanamke kumuacha mumewe
@user-nb2jw4km6f
4 ай бұрын
Hata mimi sielewi kwakweli sijui ni comfidence yakupitiliza au nini?
@lilianurio9781
4 ай бұрын
Me too
@balancedviewpoint7418
Жыл бұрын
Waaah! I didn't know this awesome woman of God knows very fluent English and that she can be that bold and assertive in a cloud. Christina, sorry for what befall you I your earlier days of your marriage. When we keep advising you to stick to your marriage, kumbe there is disheartening story behind your life journey. It is well Christina. If you were in Kenya utaolewa na ukae maisha safi sana. Tunakupenda sana Kenya vile dunia yote inakutambua. I love you much you child of God. Keep it up.
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Acha kumwinua alishapotea
@marykyley836
Жыл бұрын
She is a professor in maths. God's grace is sufficient
@balancedviewpoint7418
Жыл бұрын
@@marykyley836 a professor in maths? From which university please?
@phoebyadema6675
Жыл бұрын
Waah your testimony imenivunja moyo😢,,,tena umeni encourage in this journey of life
@leonardyona1462
4 ай бұрын
Acha kuwa encouraged kwa upumbavu..
@ireneansima4930
4 ай бұрын
Amen abuse man will come to blame her
@lydiawasai9439
3 ай бұрын
The pain was to take u to another level mti mwema hupurwa mawe lakini pesa zikakupa kiburi ukamsahau Mungu wako. Tubu Christina umrudie Mungu.
@TeresiaMundia-dz8ye
4 ай бұрын
May God go ahead of you
@jescamushi7737
4 ай бұрын
Kama mkenya sa hii hahhahahaaaaa ila anamaigizo huyu mama😂😂😂😂
@BahatiSunga-yk9qf
4 ай бұрын
Aminaa Barikiwa
@basilisamsaka8469
3 ай бұрын
Wote wanaomsema vibaya Christina mmamwonea wivu,na alivyo mzuri kwa sabb hakuna andiko linalomruhusu mtu kumtukana mwenzie,eti unasahau dhambi zako nyingi kuliko za shusho.
@MariamOfficial-ve1yt
3 ай бұрын
We unatetea kitugan hap
@pamelaayieta6071
4 ай бұрын
She is a good actress,is she the first one to shine in east Africa.You are behaving like a juvenile.
@Kakwasi
4 ай бұрын
I love her whatever
@ATHANASLUKEHA-ui7pq
4 ай бұрын
Roho ya kuhatibu ndoa za watu unayotumika nayo,iangamie Kwa Kina la Yesu!Christina wewe ni mwongo mkubwa!
@user-tt7cu2et1x
3 ай бұрын
Kabsaaa saah uy mathee anatumika na nguvu za giza ndp mana unaona wote.walioachana na mabwana zao wamefungua church ili waendlee kuaribu akil za wanawake wengne wasitii waume zao wakimbie kwa ndoa zao
@susannyamu2024
4 ай бұрын
Lots of ❤,🇰🇪
@sweetberthawilliam6587
4 ай бұрын
Mshukuru mme wKo alikuoa na kukupa watoto, asingekuwa yeye saa nyingine usingefika hapo kiburi cha pesa
@rahabnjeri510
3 ай бұрын
Shusho mungu anakuona ulianza kwa roho na unamaliza na mwiili😢😢😢😢😢 you need God deliverance
@felixmsengi1084
4 ай бұрын
Ushuhuda mzuri wa maumivu na kujifunza jinsi Ukimpenda MUNGUA hakuachi, ila pia awasamehe wote Kama Yusufu aliuzwa nao hawakujua atakua Nani lkn aliwasamehe na kuwa nao pamoja so nawe familia tayari Ni sehemu yako Tina love them support them be with them to make the difference that GOD is LOVE
@leakeyochieng9629
Жыл бұрын
Am more than blessed , more grace Christina
@PeterNganga-x2x
11 күн бұрын
Kila wakati mwanadamu atendapo dhambi shetani humpa visababu vya kujitetea na kufunika madhambi na makosa yake :watu wanalia kwa kukosa ndoa zenye heshima na wewe Mungu kakupa meema kwa mapema ma kuolewa na Mtumishi wa Mungu....harafu sasa Mungu kazidisha neema kwa kukupa kipawa Cha uimbaji ;sasa umeingiwa na kiburi....elewa kwamba kiburi hutangulia anguko. Dawa ni kutubu.
@annarulanyaga
3 ай бұрын
Mbona tumeanza kumuona shusho akiwa mrembo na mwenye kupendeza kama anaishi soft life! Pamoja na yote mume alikuwa anamtunza
@BanjoMrisho
4 ай бұрын
Huyu Christina anaongea pumba kwaiyo kiingereza ndio kinapanda zaii ya kiswahili? Wewe Huna ukristo hata kidogo Acha kuwalisha pumba warundi uanwapotezea muda Huna ushuhuda
@maneno_kairuki
4 ай бұрын
No where she appreciates the support from his husband. Wanawake Bwana😢
@clausemsemwa297
4 ай бұрын
Women!
@YasintaMpanduji
4 ай бұрын
Wakati anamsapoti ulikuwepo?, binadamu Bhana kazi mnayo
@odilomwemeziernest646
4 ай бұрын
@@YasintaMpanduji yeye mwenyewe alishuhudia jinsi kipawa chake kilivoinuka,na kujulikana.
@YasintaMpanduji
4 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 ni kweli, yeye ndyo shahidi, Kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawapewi support na wenza wao, wanaume Kwa wanawake
@sautikuu212
4 ай бұрын
Mbinafsi sana, huu ushuhuda una mapungufu mengi na makubwa sana.
@sovajulius3870
Жыл бұрын
Hail to Shusho our very own our talented and beautiful singer of all time She is talented beautiful hard worker and more she is amazing We love you Tina
@nyapetegath409
Жыл бұрын
you are beautifull and fighter. God bless u
@EsterBenson-vj8vy
3 ай бұрын
😅daaa haya mambo mazito ,pole dada Christina tuko pamoja imba Sana
@laurentraphael5470
4 ай бұрын
Chukizo la uharibifu limesimama mahali pasipopasa. Huna huduma yoyote, umeitwa kwenye umalaya sio huduma kwenda huko.
@happinesstesha7061
Жыл бұрын
Nasikitika kama uliachana na mume wako dah mimi nyimbo zako za mwanzo ndo nilizipenda but za sasa dah.
@maneno_kairuki
4 ай бұрын
Hata mimi nyimbo za nyuma. Ni kawaida ya wanawake wakifanikiwa lazima awe na kiburi
@James-od8gf
4 ай бұрын
Mke wangu angekiwa anaabudu kwako hapo ningempga stop haraka sana mana Mchungaji gani kamuacha mumewe?
@user-tt7cu2et1x
3 ай бұрын
Ndo anaaribu wanawake wengne
@carolinekajuju4507
4 ай бұрын
My gal my story. if you made it I will make it
@RebeccaGeorge-qu9kc
4 ай бұрын
Powerful testmony my sister christina shusho God bless you
@user-fe6gj1hg9r
3 ай бұрын
Shout out you FEMINIST 😊😊😊
@fadhilichristine7734
Жыл бұрын
Much love to you sister Christine may God bless you ❣️
@josephineusui1114
Жыл бұрын
Congratulations Cristina for realizing your dream.i love you so much.
@lydiawasai9439
3 ай бұрын
I love her sence of humour but the bible says we should submit ourselves to our husbands. Mungu tupe macho tuone sawa sawa. The enemy only cares of winning her soul. Mungu amrudishe kwa ndoa yake she has been a good servant of God.
@terryconstance3515
Жыл бұрын
Wa, reading the comments, you will understand how she was so suppressed growing up as a woman. Her own people are condemning her like she gave their story. It's her story. She knows it best. If it builds people and it's not offensive in any way, why not give it? Much love Christina.❤
@viwangovingine8771
4 ай бұрын
When you tell the wrong story against God, God Will defend Himself
@terryconstance3515
4 ай бұрын
@@viwangovingine8771 you sound like such a know-it-all. I'll let you do you. Great day ahead.
@salomeshadrack8245
Жыл бұрын
I love you dear. You're my role model...hope to meet you one day. May God protect you and preserve you for His own Glory
@gracepatric4371
Жыл бұрын
Translator nikama monica wa masanja
@anastaziasamson593
3 ай бұрын
Umenitia moyo hapa at least " I think I can do it , I'm going to change my life"
@peterbarakabugera974
Жыл бұрын
i fallow you very well,may God bless you when ever you will stay working for him!
@VeronicaKamau-np2si
4 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢wow!!such a testimony
@Usizoeedhambi
4 ай бұрын
Hana shukurani huyu.Muilizeni MBC Hot Media ( Mr Forgen ) awaambie jinsi mume wake alivyomsaidia . GOSPEL is the good news of reconciliation not damaging like this. Mumewe amemsomesha hata hako ka Kingereza ni kazi ya mume wake !!!!
@edsonnelson4464
4 ай бұрын
Ndiyo shukrani za wanawake, amesahau yote
@mgswahili3993
4 ай бұрын
What is your whatsapp number nataka kushare kitu na wewe. Imenigusa hii text yako.
@sautikuu212
4 ай бұрын
@@edsonnelson4464 washenzi sana hawa viumbe
@AnneHarold
4 ай бұрын
@@sautikuu212jamani sio wooteeee sema baadhi ya wanawake
@user-cu6tp2bh7b
4 ай бұрын
Msomeshe kiingereza akitumie kukutukana😂😂
@user-lm3gd8pw7z
4 ай бұрын
Asha kusema Jina La Mungu na Wewe ni muwasi mukubwa Wewe. Gisi Congo tulikuwa na nakupenda ivi zero kabisa akuna u christu ndani yako Wewe dada
@ireneansima4930
4 ай бұрын
Weye mutakatifu ukuwe nahita
@timemwamasage4058
4 ай бұрын
Mpuuzi sana .. ndoa za zamani wanaume na wanawake walikua na upendo...walikua wanaishi na ndugu zao ukiolewa ukakuta familia ina maisha yao uliyoyakuta usuwabadulishe wawe unavyotaka ww,labda kama unawasaidia kukua kiuchumi kuwapekeka shule na kazi au biashara lkn sio nature ya maisha yao...huyu anatafuta kujitetea lkn hakuna kitu...mpuuzi
@neemamasala7167
4 ай бұрын
Ulikuepo hyo zamanii😢
@Kidotii
4 ай бұрын
In first place ndoa haikuwa, na upendo, ila ni convenience ya wazazi eti asijeakaharibikia nyumban😢 wanaume kasiriken mtukaneni ila wanawqke wasiku hizi are not fools ukizingua tunasepaaa!
@omegamathew2399
4 ай бұрын
Hongera Mungu amekuheshimisha watu ni wabaya mno Kama hujapitia huwezi jua
@ezekielshija9251
4 ай бұрын
Mume wake ndo mbaya?maana hapo anamuongelea mume wake tu.
@anajohn8132
3 ай бұрын
Sasa naelewa kumbe mume ndiye alimuacha nakumrudisha Kwao kijijini kwa wazazi wake na watoto wakagawanwa. Sasa lawama ziko kwake kivipi tena
@elimidakashumba2422
Жыл бұрын
Congratration shusho, indeed you re our influencer.
@FocusMahagara
4 ай бұрын
Roho wa Mungu,atusaidie
@MariamOfficial-ve1yt
3 ай бұрын
Yani hiyo nihuduma gan had kuachanana mmeo kwan ukiw na mmeo hauwez kufanya hiyo huduma huna lolote mng2 akusaidie
@user-qg1iy5ov3u
3 ай бұрын
Vizuri sana Mungu ni mkubwa sana Christina songa mbele watu wasikutishe
@releiabby6201
4 ай бұрын
Naona negative comments but ukimskiza vizuri only women can relate. Being married when still naive is not good, there's always an aftermath... being in an extended family is even more pathetic. You can be bullied indirectly... only the victim will feel it... NOT THE SOCIETY!
@MessiJosph-yw9gc
4 ай бұрын
Shenzi
@lovedavie9621
4 ай бұрын
@@MessiJosph-yw9gc😂😂
@crismtete8837
4 ай бұрын
A smart woman talking about her husband! No way, she's not smart. Is selling groundnuts a taboo?
@releiabby6201
4 ай бұрын
@@MessiJosph-yw9gc hope you are referring to yourself. So pathetic
@doulosjohngamba8985
Жыл бұрын
I will be your Prayer Partner always.
@frederickmeshack3848
4 ай бұрын
We have seen many jumping into gospel reem but soon they mixup them themselves off the go and forgotten for ever, 19 years old ni umri halali usilaumu
@faustinerukiko2933
4 ай бұрын
Unaruhusiwa kabisa na serikali yetu
@faustinerukiko2933
4 ай бұрын
Story ya upande mmoja.....anajikanyagakanyaga tu naona
@sambutilacurtainbedroomsol7431
3 ай бұрын
Wenzie at that age tulikuwa tunafanya kazi serikalini na kulea wadogo zangu,Sasa yeye anasemaje alikuwa aliolewa akiwa mdogo?mtoto kwa Tz ni 17 yrs to 0
@nesielias9493
4 ай бұрын
Duniani huwezi kupata vyote, shukuru hata kwa mema uliyopata
@12345678938129
4 ай бұрын
Mambo ya Mungu ni fumbo kabisa na mambo ya ndoa ni Siri kubwa
@user-gu9hh6ys6c
3 ай бұрын
Mungu atabaki kuwa ni Mungu tu!
@nancywanjiku2557
4 ай бұрын
I cant judge you christina marrying young is one of the biggest mistake a girl can do to herself ,many things goes wrong But thanks God He never forsakes us
@faustinerukiko2933
4 ай бұрын
Watu walikuwa wanaolewa na 14...unasema 19?
@user-cw3vu8mu3k
4 ай бұрын
Mchungaji shusho alikutoa kijijin akakutengeneza akakupa nafasi ya kuonyesha kipaji lakin eti kwa sasa umemwacha mzee shushu nakumdhalilisha eti kwamba wewe nawe umeitwa tofauti na mme wako kiburi kibaya sana
@mohamediyusuph5527
4 ай бұрын
Nimemtumia post isome
@jamesponda1957
4 ай бұрын
A lost sheep,I will only listen to your music but I will advise people not to follow you because you are more than lost
@Uplifiting
4 ай бұрын
What are you trying to tell us Christina!
@user-uo8xw9kr4b
4 ай бұрын
Ila nawaume pia waangalie umri na wanao waoa man ww unazid kezeeka mwenzako bad anahitaj mambo ya ujana shida ndio inapoanzia.
@tatubaraka5752
4 ай бұрын
Iyongo
@DosianaLulakuze-bv7fg
4 ай бұрын
Nakuelewa acha wakupige vita ambaye hajapitia Hajui
@paulmushi2428
Жыл бұрын
Ina Maana mz Shusho Hana hata mchango mdogo katika huduma yako kiasi hujagusia Chochote Katka ushuhuda wako?
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Poleni mliomkaribisha Shusho mmeua waumini
@annamosha968
Жыл бұрын
Pole na wewe kwa wivu
@evelynmumia5246
Жыл бұрын
@@annamosha968 kabisa,Kwa Nini wengine wanaudhika na anaongelelea maisha yake? Ongea dada
@victorianchimbi8640
4 ай бұрын
Humjui Christina wa mwanzo aliyeanza kuimba nyimbo za Mungu kwa utukufu mkubwa si huyu wa sasa anayeandaa na matamasha na wasanii wa Bongo flavour , huyu alishaingia mikataba na aliambiwa sharti la kwanza amuache mume wake.
@user-gk8gz8qi1n
4 ай бұрын
Kampeni ya ibilisi kuwauwa watu wachanga kiroho wasimtafute yesu kwa bidii,..tuko siku za mwisho.
@user-tt7cu2et1x
3 ай бұрын
😢😢kabsaaa anazid kuaribu wengi
@phoebyadema6675
Жыл бұрын
Congrats my mentor I love you so much❤
@epifaniakavishe9282
4 ай бұрын
Mmh Tinna ...
@marlenekhakoni1404
Жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza kabisa,nimeiskia kwa ufupi ushuhuda wa ma Christina, nimekupenda zaidi
@christinewilkerson1306
Жыл бұрын
Respect yourself Christina. Stop regretting on spilled milk. Unless you have other options
@margaretmunyao8291
Жыл бұрын
True
@Kwazulu1
4 ай бұрын
Shame on you Christina
@esterkimath1214
4 ай бұрын
Mbona mnavituko nyie watu rose ,martha ,na bukuku mnascandles😢😢😢
@tumwendeekihongosi6802
3 ай бұрын
Bukuku aliachwa dada hakuacha.yeye aliachwa kwasababu ya tatizo la watoto kufa baada tu ya kuzaliwa.
@absalomkibanda
4 ай бұрын
What a lesson?! Its bitter, sour and sweet. A victim, unsung hero. Life is a fight
Пікірлер: 510