Ankal akivua koti ni muhuni amechorwa piko kama bibi harusi 🤣🤣🤣. Ankal muhuni elfu 10 kashaeka mfukoni. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ankal anaingia na pesa jela alificha wapi? Na kigodoro kapewa tena na akawekewa ukutani.
@musasimba7213
4 жыл бұрын
Ng,ombe wewe mkojani wewe umesha kua tishio kwa wasanii wengine👏👏👏👏👏
@chrissjoel7752
4 жыл бұрын
Hili neno LA *ANKALI* nafurahi kulisikia mnamuenzi vizuri *KING MAJUTO* ndo alianza kulitumia 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 *Mkojani akivua koti kachora piko zaidi ya bibi harusi* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@chrissjoel7752
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 *Yaani MKOJANI na NAGWA hawajawahi kuelewana yaani pamoja na Uankali wao* 😀😀🔥🔥🔥🔥
@abelsiyame7863
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@tumbotumbo1555
4 жыл бұрын
dh mkojani ni kiboko bwn nakukubali mzee babaaaaa
@dateuswangla7843
3 жыл бұрын
Hii ni kalii kweli
@maostarts3316
4 жыл бұрын
Segerea yote yanijua mm ndio mpishi hahahahahah.....mkojani uko juu
@kemalswaleh9527
4 жыл бұрын
Uncle mjanja amekuzidi huyo 😂😂😂😂😂😂
@AhmedSalah-ri3es
4 жыл бұрын
Hahahah daahh mkojani hizo dakika kidogo sana mbna umeamua hvi hatumalizi kiuu
@wj1421
4 жыл бұрын
Khahahaaa wote maalufu gerezan mpishi na mwingine kapewa vigodolo
@raphybebemr2733
4 жыл бұрын
namkubali sana mkojani na ngoma nagwa
@amonilazaro829
3 жыл бұрын
Sirious sana uyu jamaa
@bojooshorts7990
4 жыл бұрын
Nawakubalii nimewavulia kofiaa 😂😂 u make my day
@officialbojo3115
4 жыл бұрын
Kabisa kija tnxs bro
@hawahawa6915
4 жыл бұрын
😂😂😂😂yani mkojani na nagwa unawezana hila mnamuonea sana kilangaso jaman mpole mwenyewe 😊
@ramadhanbofu8262
3 жыл бұрын
Usiseme ndani kama umenipa elf kumi nakuruka hadi mbinguni😂😂😂😂😂😂
@nashiruhassani5158
2 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe ngoma nagwa brand 🔥🔥
@hkfreeboy9533
4 жыл бұрын
Ankali nife kafili sijachukua hela🤣🤣🤣 MKOJANI
@sophiakasana2937
4 жыл бұрын
😂😂😂uwiii nife kafiri ankari noma sana nawapenda bure
@sharifarashid5279
2 жыл бұрын
Mkjani nakukubali
@chidybwax8080
4 жыл бұрын
Mkojan anakuja ipindua tasnia anaenda kua mtu mkubwa sana
@salmajuma9890
3 жыл бұрын
mkojani tunamkubali sana sio pw anachekesha sana
@abeidabdullwarith8991
4 жыл бұрын
Hahahaha shikamoo mkojani yaani anaijua pesa kuliko hata mchaga
@zaby-n-mamashasha6671
4 жыл бұрын
Mbavu zang mimi 😀😀😀😀😀😀mkojani wey ni shida
@highnesseverest3619
4 жыл бұрын
Nagwa na mkojani mnawezana sanaa🤣🤣🤣🤣🤣🤗
@kadeshchege7455
2 жыл бұрын
nzuri sana.mkojani na pesa wah!🤣🤣🤣🤣🤣
@gracekassim6142
2 жыл бұрын
Nagwa na mkojani mnaweza
@sitiabubakar2892
4 жыл бұрын
Aah... Aisee. Noma rasta anapiga kweli huyo🤣🤣🤣
@chagamang988
4 жыл бұрын
Noma sana bongo movies yote muiteka ✨✨✨✨✨✨
@nurdinmoto6256
3 жыл бұрын
Tuzid Kuwasapot Hata Wafikishe Views 0ne Milion Jaman Tuzid Kuwasapot
@fourteen_kiid
4 жыл бұрын
2:33 Mkojani Kasusa😆 "Sitaki Kuwasalimia Mtoto Shenzi wewe"
@chussede3072
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumamathias8903
4 жыл бұрын
Mkojani anataka kutekenya mbavu za kilangaso
@abbasouko8974
4 жыл бұрын
Naelewa sana kazi zako
@rasakakaombwe
5 ай бұрын
Nakubali sana gen
@kibasamohamedi8029
4 жыл бұрын
Mnajua kunitoa stress jamani. Nawapenda Sana nyieee
@johnemmanuel4492
4 жыл бұрын
Daah kweli
@aminaabdul7966
4 жыл бұрын
Yani uyu jagwa Kaka angu mtupu jamani 🤣🤣🤣🤣🤣mwanaume kama amtaki utakoma nakuja kubebwa juu juu
Пікірлер: 231