Boss anatembelea Harieer alafu mfanyakazi amzawadie crown😂😂 kuweni serious bhas
@aishafrancis7714
9 ай бұрын
Umbea umemlipa kipara ongeza bidii kk 😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@Walao9Abu_maurice
3 ай бұрын
Unanipa_raha_najifunza_umbea_toka_Leo😂😂😂😂😂
@catherinekibasa
4 ай бұрын
Kipara vivo unachkesha sana sema umetisha sana kwenye Ile movee❤❤❤
@MaryFocas
9 ай бұрын
Clam vevo mbona anakuja kwakasi san
@FaudhiaBashiru
4 ай бұрын
Kweli kabisaa hakuna kama snake boy na mzuri sana
@ibrahimrajab7966
4 ай бұрын
Sio michongo yangu iyo nishaachaga😂😂😂
@Yadafamilly
9 ай бұрын
Bado Tena umeleta tabia zaubea Umbea😂😂😂 wewe tu kipara hatari
@MussaBakari-fz1fj
9 ай бұрын
Wakwanza leo kipara una tabia ya umbea umbea
@MwinyiSalim-d4j
9 ай бұрын
Unazani unanifahamu mimi si mtu wa umbea umbea
@KylaZety
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@IdarousPossy
4 ай бұрын
Si mmbea kama wewe tu
@MR_RAMSATZ
4 ай бұрын
A We kipara ni mmbeya kabisa dah unawachoma wanakijiji hovyo tu
@davidjoshua9634
9 ай бұрын
Nadhan unanifaham Mimi sinaga tabia za umbea umbea😂😂😂😂😂
@egnokinunda4539
4 ай бұрын
Nimeacha ilikuwa zamzani😀😀
@barakJonijo
4 ай бұрын
Sio michongo yangu nilishaachaga
@JustinMfumbe-x2n
4 ай бұрын
❤😂😂❤❤❤❤❤❤😂@@egnokinunda4539
@roudhamahmoud763
9 ай бұрын
Kipara usimzungumziye mtu baki sio sawa kama ivo kumuongeleya stiv sio sawa msiharibu mko vizuri ila msiongelee wengine wasio ndani yenu plz tunawapenda ila nasisitiza Kim 🎉🎉🎉🎉🎉 apewe zawadi kubwa ya gari
@tztanzania2262
9 ай бұрын
Ni BIASHARA tu wanatengeneza Tim ili tuwafuatilie zaid
@FabianoSinghania
9 ай бұрын
Kweli mumefika mbele kwani Aclam vevo hiopesa ametoa wapii Bililion mbili ni pesa tosha
@MOPEBLETv657
9 ай бұрын
Ila kipara unaumbea kweli, nahisi hii ya kusemea mwakatimbe anaoata gari pia kutoka kwa clam ni umbea, ungetulia iwe surprise
@1czay
9 ай бұрын
😂😂😂
@OscarHelman
9 ай бұрын
Muite tena kipara mwambie ahache ujinga mbea kama mke Cha kwanza mdomo umemponza na clam wake acha umbea atakama clam ni boss wako jiwekee mipaka na iyo gari umeazima pia maneno yote ulioyaongea umelipwa hujui kama unajialibia, MUITENI TENA kipara AHACHE UJINGA
TATIZO LENU,NA HILO TATIZO LINABOA,NI HILI,HAMMALIZII KAZI ZENU,.PILI,MNACHELEWESHA SANA KULUSHA VIPANDE .PIA WATU WANATUMIA JINA LENU KUTUZUBAISHA NA NYIE MMENYAMAZA MNACHEFUA SANA.UNAFUNGUA UNAJUA UNAMKUTA KIPALA ,UNAKUTA KITU KINGINE CHEFU.
@DeussNailiba
4 ай бұрын
tusubili talk la Mwaka tobe🎉❤😂😂
@mtani_tv
9 ай бұрын
Zen ndo nini we mtangazaji
@MwanasitiHassan-x3j
4 ай бұрын
Ndugu yangu ukipita nanyamaza aki much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nurdinismail8961
4 ай бұрын
😅😅😅😅😅hapo kwenye Marekani na Índia sio kwel
@claudykinyamagoha8872
9 ай бұрын
Acha ujinga unamjua don yen aje kweny huu ujinga😂😂😂😂
@mercymutia99
9 ай бұрын
Kipara hongera kaka......kenya twakupenda
@ZanaaIssaa
9 ай бұрын
Nazani.mnanifahamu.sinaga.tabia.za.umbea.umbea😅😅
@AbdurazaqueNfaumeAli
9 ай бұрын
Kipara ndi mbea
@bilid4128
9 ай бұрын
Bonyeza arama ya kengere ,mbengo tv we are the best 😂😂
@mapenzimwira
4 ай бұрын
Nina wa kubali sana ku toka Congo,
@KhadijaJuma-f4i
9 ай бұрын
Haha Sina GA tabia za umbea umbea nazan unanijua daa jamaa ametisha sana
@dollar105
9 ай бұрын
Clam moto 🎉namkubali
@KhalifaHussein-l1g
9 ай бұрын
Nakubaliza kaka kazi nzur
@SleimanSalum-o4z
9 ай бұрын
Jamani mutaouponzaaa
@IsdorKiza
6 ай бұрын
Namukubali sana kipara😂😂
@VardySton-vc9yj
4 ай бұрын
Kazi nzurisaaaaaana broow
@dullahsaleh8507
4 ай бұрын
Boyka kweli aje kufanya movie ya snake boy?
@KosmasAlingowe
9 ай бұрын
Apo unyama
@millicientnoreen9601
Ай бұрын
Kipara amefanya umbea mpaka akapata gari dah kali 😅😅
@perpetualrock2256
9 ай бұрын
Sinaga tabia za umbea umbea
@BukurupeterSawasawa
4 ай бұрын
We kipara tabia zako za umbea zinaniua 😂😂😂karibu mozambique bwana
@muna1165
9 ай бұрын
I LOVE YOU KIPARA❤❤
@saudangambo8711
4 ай бұрын
Sinanga tabia za umbeaumbea nilisha a change 😂😂😂❤❤❤ from Kenya ❤❤
@kelvinngokadouglas7005
9 ай бұрын
Nakukubali kaka big up one love
@rhodamatinde4509
2 ай бұрын
Sio michongo yang nishaàchaga😂😂
@AndreaKatambala
4 ай бұрын
Bs muwai kuitoa mahan munachelewesha
@officialmudatz1150
9 ай бұрын
Kipara anazingua sana sasa donieni😂😂
@nellymedia
4 ай бұрын
Sio michongo yake ashaachaga 😂😂😂🙌
@RajabuMalebo
4 ай бұрын
Sio michongo yangu nishaachaga
@FITITV
9 ай бұрын
Huyo jamaa anatisha sana
@claudykinyamagoha8872
9 ай бұрын
Ukatoe hela kwa ajili ya gar na huna nyumba acha kumponda steve wakat amekufanya uonekane
@freddywizzyTz255
4 ай бұрын
Kama ni kwa utani ni sawa,ila kama kwa userios unazingua sababu bila Steve usingekutana na vevo
@ramadhanirashidi4175
9 ай бұрын
Uko sahihi klam yuko vizur
@claudykinyamagoha8872
9 ай бұрын
Maigizoooo😂😂
@pondabinSaga-gr8rp
4 ай бұрын
Congratulations guys
@franknzowa22
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂....eti kwahiyo umekuwa mmbeya
@elallymoussa2980
9 ай бұрын
Halaf kumbe ni kipara kweli bhana 😅😂
@herimornchriston6083
9 ай бұрын
jamaa huyo mbaka anazungukaga anangojea kuitwa ili atoe umbea
@bahatikanga
4 ай бұрын
Sio michongo yangu niliachaga😂😂😂
@musahakim3072
4 ай бұрын
Nikweli
@CK-ri1mo
4 ай бұрын
Tuwashirikishe kina don en is typing 😂😂😂😂
@ElishaNdile-hh5nu
4 ай бұрын
Hahahaha ni sem arie pangiwa anapo nichekesha ana sema Nisha achanga ubeya ubeya Nisha achanga una tisha mkuu
@ENOCKCHESEBE-nn7fz
8 ай бұрын
CLAM VEVO tuu apa Kenya imeweza eti huna tabia za umbea
@ptaa58
9 ай бұрын
Na big boss tunaingoja sehemu ya pili
@tantinebettynduwimana380
9 ай бұрын
snake boy nakubali sana🎉🎉🎉
@AloyiseAloyisy-nfa5g
4 ай бұрын
Siyo michongo yangu
@fettymtangi234
4 ай бұрын
Yani mimi nachukia watu wambea aswaaaa natamani adi nimpige makofi hicho kipara akiigiza kuhusu umbea
Пікірлер: 197