Chama huyooooooo ndani ya msimbazi eti kanunuliwa yanga nyooo huyo ni nani? Haya Ngoma huyo ndani ya Simba oooo majeruhi, na huyo ni nani? Baba yako koma
@ktwentynine4985
11 ай бұрын
Nguvu moja
@kazunguclaver2539
11 ай бұрын
Bado Miquissone tu
@shaibually5916
11 ай бұрын
Nguvu moja 🦁
@samsonzenze4319
11 ай бұрын
Kwa simbaa hii ya ngoma watu watapgwa wiki
@kazunguclaver2539
11 ай бұрын
Mfungaji bora Saido yuko vizuri Chama alie ongoza kutoa pasi yuko vizuri.
@michaeljohn6381
11 ай бұрын
Safii
@user-ub1dx7ke9s
11 ай бұрын
🔥 🔥 🔥
@aileenmphuru5106
11 ай бұрын
Waoooooo♥️♥️🦁🦁🔥🔥
@BonifaceFrank
11 ай бұрын
Sasa kik wap mnasajili nyinyi kucheza msimbaz kwa wenye nchiiiii
@user-zf9mm2vp8n
11 ай бұрын
hii simba yetu tuipende
@WastaraMsangi-ck9tu
11 ай бұрын
Afazalali ata umefika kambini
@kelvinswai9226
11 ай бұрын
Simba tv video zako haziandaliwi vizuri
@augustinemagesa5743
11 ай бұрын
We mtangaji tulia tuone video unakera sana...
@shabanimwinyikhery1174
11 ай бұрын
Sasa kambi imenoga
@FRANSKALITUSI4937
11 ай бұрын
Nakubr Sana
@letasmatema5907
11 ай бұрын
Hivi jimy kindoki anajitabua kweli? Au yeye ni wale wanaokula kwa njia ya kupiga debe kwa wakubwa? Kweli nimeamin Tanzania wadhurulaji ni wengi moja wapo ni jimy kindoki ulisema tukuulize wewe kama chama atacheza tena Simba ulisema chama amefichwa Avc hivi huon Kama unasibitisha maneno aliyowah kusema manara kua mashabik wa yanga wote hawana hakiri? Unapowadanganya na kufulahia unawaza kweli?
@kateadam8204
11 ай бұрын
mnatekenyana na kucheka wenyewe makolo bana sasa aondoke hapo aende wapi mchezaj kama huyo
@hkombe4923
11 ай бұрын
Mwamba wa lusaka and ngoma feel at home
@arbinuwamahoro7370
11 ай бұрын
Wana simba wenzangu tujuane popot turipo mimi nipo🇧🇮🇧🇮wengine je connt hapo chini
@malkavoice2570
11 ай бұрын
Simba sio wakitoto wanafanya mambo yao kimya kimya sana wanamnyatia nyati bila kelele sikilizieni Nyasi zitakavyoumia msimu huu
@user-mh2tn5ce7b
11 ай бұрын
Sawa wazee nisalimien Othoman,
@khairatkhamis5845
11 ай бұрын
Chama kafeli mm simpendi ten
@letasmatema5907
11 ай бұрын
Chama yupo Uturuki kweli jimy ni day waka wa youg bola ukalime kuliko kuendelea kuibomoa youg ww na wenzako timu inaenda kuanguka hiyo Eng heris anajichotea chake hapo, na mnampaje taasis mtu anaesaka maisha yake ili nae kesho aishi Kama bas? Kweli hamnazo usemi wa haji manara umedhihirika kweli.
@jonsonjustus7686
11 ай бұрын
Nguvu moja 🔥
@FinaKawiza-sw5dw
5 ай бұрын
Ujue chama hapendagi maneno ya watu mara nyingi ukimfatilia anaohojiwa anaonekana kutokufuruhushwa na filimbi zetu mashabiki kumuongelea anatamani afanye kazi tu Yani ameahakubali mashabiki ni wanafki sana hivyo kwake tumpende sqwa tusimpende sawa ye atafanya mnakihitaji tu na sio kumjaza sifa na kumponda au kumsemea
@haidarywenge3607
11 ай бұрын
Fablice ngoma
@nkoydavid9658
11 ай бұрын
Mnavyomtukuza Chama ndivyo mna mtia kichwa aendelee kuturingia huyo kwa sasa msaada wake kwenye timu ni mdogo sana Kwa mfumo wa Robertinho.. sema Kwa siasa za mpira wetu labda mpo sawa kumtukuza lkn uwanjani wa kawaida sana kwa sasa ..
@agnesjohn9382
11 ай бұрын
Hakuna alie mtukuza bali tunapenda mchango wake ktk timu na ni mchezaji mzuri ila akiamua kuondoka aende tu maana simba ni kubwa kuliko yeye na hatujui nyuma ya pazia mpaka mchezaji kufanya mgomo ule kulikuwa na shida ndg huwezi jua
Пікірлер: 165