Aliyeua hiyo indirect freekick ni goalkeeper,, ndo maana refa alishusha mkono baada ya kipa kuugusa
@NtamamiloGibson
4 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hujui chochote😂😂😂😂😂😂
@simonnjovu586
3 сағат бұрын
Hii ndiyo tafsiri ya indirect kick, uguswe na mtu mwingine nje ya mpigaji. Hivyo Camara angeuacha tu huo mpira, hata kama ungeingia golini ungekuwa goalkick.
@fredylucas2484
2 сағат бұрын
@@NtamamiloGibsontufafanilie
@rhinoboyy5399
2 сағат бұрын
Ni kweli refa alinyoosha mkono kuashiria ni indirect ikimaanisha mpira unapaswa umguse mtu kwanza kabla haujaingia gorin ndioo kamara aligusa na ndipo refa alishisha mkono kuashiria mpira uendelee kichezwa
@vaxminja9053
4 сағат бұрын
Mudathir walikuwa nje ya box
@jumarashidy9659
39 минут бұрын
Simba itafikia siku za mbelen ligi tutaacha kushiriki waamuzi wanaegemea upande mmoja hatupendi tuendelee kuwatesa wachezaji na mioyo yetu maana itakuwa ni ujinga
@AbuuAbdilRahmaan
5 минут бұрын
Ule mpango wa kwenda zambia umefia wapi?
@CheroroeCheroroe
3 минут бұрын
Kuchukua kombe la afrika tutasubiri Sana kwa marefa hawa
@chrysanthushakaunga6560
4 сағат бұрын
Kuhusu inderect mtu wa pili ni Camara tayari ni mchezaji kwahiyo ukiwa na bahati ya kuwa kwenye mic be perfect
@simonnjovu586
3 сағат бұрын
Indirect kick haimwangalii mpigaji kapiga moja kwa moja au katoa pass. Indirect kick inadai 1. Usipige kabla refa hajaruhusu 2. Ukiupiga mpira na ukaingia golini bila kuguswa na mtu mwingine basi goli linakataliwa.
@loner_wolf
2 сағат бұрын
Matukio ni 3 . Baka Boka Mydathir . Zote ni penalty . Baka mwili wote ulidondokea juu ya miguu ya Kibu .
@josephmakonga3201
25 минут бұрын
Acha ushabiki na ile aliyofanyiwa dube kuvutwa bukta kisheria ilitakiwa kadi nyekundu
@katushabedotto2883
Сағат бұрын
Yanga bingwaaaaaaaaaaa💚💛💚💛💛🖤🖤🖤🖤💚💚💚💛💛
@shijacharles5394
Сағат бұрын
Kumbe Hakuna mchambuzi hapo anafata mkumbo tu,, chunguza vitu vipoje then ndo uje uongee kwa uhakika, nimekusikiliza kwenye direct na inderect freekick nimejua huna unschojua kuhusu lile gori
@leonsmwenda8585
2 сағат бұрын
Mchambuzi Suala refa hakukosea chochote. Indirect kick inahitaji mpira kuguswa na wachezaji wawili sio lazima wa team moja. Hata ukimbambatisha mchezaji mpinzani au golikeeper aliugusa mpira basi linakuwa goli halali. golikeeper alipaswa kujua kuwa ile ni indirect free kick hivyo angeingalia tu hata mpira ungeenda wavuni lisingekuwa goli. Hivyo ile ilikuwa indirect kick ambayo imeguswa na wachezaji zaidi ya wachezaji mmojawa kabla ya kwenda wavuni. Wachezaji wanapaswa kuzijua sheria vizuri
@mohamedmagongo9348
2 сағат бұрын
Hata Mimi nimeshangaa mchambuzi amepuyanga kutafsiri Indirect free kick Sheria inasema anayepiga mpira haruhusiwi kugusa tena mpira hadi uguswe na mchezaji mwingine ndiyo maana Chama hajuugusa tena mpira hadi mpira ukaguswa na golikipa wa Simba Camara na kumkuta Maxi Nzengeli aliyeupiga mpira golini. Ile golikipa Camara alitakiwa auache mpira utoke tu nje kwa Chama ulivyoupiga ule mpira ulipiga kwa muelekeo wa kwenda nje, au kama ulivyo elezea hapo kwamba hata kama mpira ule Chama angeupiga kuelekea golini kipa alikuwa na haki ya kuupisha uingie tu golini kwakuwa ilikuwa ni Indirect free kick isingekuwa goli kisheria.
@josephgalandu128
2 сағат бұрын
Calvin kijiri mshambuliaji wa Yanga 😂😂😂
@OmarZahor-m2i
Сағат бұрын
Refa kumamamaye kama kanae kama haha atogowe ache kufungisha wezake kwa makusudi
@josephmakonga3201
23 минут бұрын
Wanachambua kishabiki huyu Camarla si ndo alifungwa na simba akiwa holoya pia huyo Camala si ndo alipigwa goli mbili na coast union
@mikidadmhando2504
58 минут бұрын
Sisi tuna maslahi nayo matukio kiuamuzi hasa kayoko na haji
@zully756
2 сағат бұрын
Mawani utafikiri bodyguard wa biden.
@mussastephano4938
Сағат бұрын
kibu alipanga kujigongesha na kudondoka kupata penati ya Bure kama walivyopewa penati ktk mechi ya Dodoma Jiji.
@charleskuyeko1660
5 сағат бұрын
Hakuna kosa linalofidia kosa lingine kila kosa linajitegemea.
@AbuuAyubu-t7c
Сағат бұрын
Simba keleleni utawala wenu wa magu umepita yule ndio simba mwenzenu huyu mama ni yanga mzee kikwete yanga mnataka nini bongo mpira ni siasa tu ndio maana manara hua anaongea maneno hamuelewi kipindi cha magu aliwahi kusema simba itachukua ubingwa miaka kumi kauli ile kasema tena kipindi cha raisi samia had 2030 yanga bingwa hamjui nini anaongea mazuzu hua hawaelewi Walosoma Cuba wanamuelewa xana tu
@chrysanthushakaunga6560
4 сағат бұрын
Ili mpira utokee ni wote uwe umevuka mstari siyo nusu
@user-ke7nb9rs5i
5 сағат бұрын
Mkono wa refa ulimaanidha beki wa simba alicheza faulo kwa kunyanyua kiatu juu. Acha uwongo
Refa alifanya makusudi na msaidizi wake hakumsaidia kwa sababu mpira ulidunda nje ilitakiwa iwe kona.refa alifurahia sana hilo goli feki.
@SirajiRashidy
22 минут бұрын
sis Simba tuta acha kushilik iyo ligi hii
@saliminyusuph6122
18 минут бұрын
Acheni
@mussastephano4938
Сағат бұрын
Huo ni uchambuzi wa mchezo wa Netball. kibu alitakuwa kupewa njano zaidi ya tatu.
@bakarimwachanga8803
6 сағат бұрын
cha msingi mpira aliopiga chama ulipaswa kurudiwa ili ipigwe indirect kick, pia refactoring alipaswa kuruhusu penalties k8cks 2 kwa faida ya K8bu na Simba
@amanimkwama1999
3 сағат бұрын
Kwahiyo msonda hakufanyiwa faulo ndani ya 18 acheni ushabiki na uchambuzi wa kishabiki
@masoudrajab3614
6 сағат бұрын
Inamaana Pascal hakuona mpira ulidundia nje ndipo unaingia ndani na kumkuta Max???
@user-ke7nb9rs5i
5 сағат бұрын
Ubaya ubwella
@joramsengi9123
5 сағат бұрын
Ni tukio la haraka sana hata sisi tumeona kwenye marudio .
@WhiteYusto-bu9ym
3 сағат бұрын
Ukiwa mchambuzi chambua matukio ya pande zote sio upande mmoja,hautathaminika hata kidogo
@AloyceMbuta-fn1pm
4 сағат бұрын
Mbona tukio la musonda na Camara aujazungumzia hapo
@ausonjustinian4673
4 сағат бұрын
HIVI MM NIULIZE; KISA GOLI NDO AYO YOOOTE KUSEMWA? GOLI LA MZIZE CONGO ALIEKUA OFSIDE MBONA HALIKUONGELEWA SANA KI HIVI?
@ANTHONY.V.I.Ptanzania
3 сағат бұрын
Ndo uonekua sio halali.ukionawengi wanalalama😢ujue kunauonevu.sauti ya watu nisauti ya mungu
@athumanidilunga7770
3 сағат бұрын
Ni kweli inderect unapaswa uguswe na watu zaidi ya mmoja lkn Kwa kuwa kipa aliucheza basi yeye ni mtu wa pili
@leonsmwenda8585
2 сағат бұрын
Uliguswa na chama na golikeeper...zuzu ni golikeeper kukubali kuwa mtu wa pili kugusa mpira
@leonsmwenda8585
2 сағат бұрын
Mchambuzi karudie, tackle ya mdathiri mpira ulikuwa nje ya 18 haukuwa ndani ya 18
@JohnEugeni-f8m
2 сағат бұрын
Wachambuz wengi wanakwepa kusema mpira ulitoka au haukutoka yaan hapa kila mchambuz hazingumziii kama wanalipwa wakati mpira ulikuwa nje
@ausonjustinian4673
4 сағат бұрын
Ni goli la Mx Nzengeri kwani Kijili aliutoa wapi. Ni asist na goal
@chrysanthushakaunga6560
4 сағат бұрын
Simba mmefungwa nyie lalamikeni kupunguza pressure lakini ukweli wa faida penalty kibu penalty musonda na red card Kwa abdulazak kwahiyo wenye faida hapo ni yanga kwakuwa penati ni Ngoma dro ila red card ingewshusu Simba kwahiyo mwamuzi kuacha ni faida Kwa simba
@hajimaduga3881
2 сағат бұрын
Nyie wachambuzi ndio wote hamna ki2 mnaharibu mahaba hayo
@gweahshoo5120
2 сағат бұрын
Hiv huu uchambuz ni mtu unajisikia tu unachambua au?hiv mchambuz hajui hata indirect free kick inakuwaje duuhhh😂😂😂
@SumaMtanda
5 сағат бұрын
Mbona hamjalizungumzia lile la musonda la kurudishiwa mpira mfupi kwa kamara
@athumanidilunga7770
2 сағат бұрын
Useme Nini pale
@SultanMakumbulu
3 сағат бұрын
Minaona malefa wanachezesha kwa maelekezo kama raisi mstafu kikwete yupo yanga hawata pata shida simba hatuna mtete kwasasa engekuwa magufuli haya yasinge kuwepo
@madarakamarumbo6102
2 сағат бұрын
Umevurugwa
@bonshag1
2 сағат бұрын
kwann husemi mpira uliangukia nje ulivyomtoka camara hewani? inamaana mwamuzi na line 2 wote hawakuona vikle vile indirct kick vp ipigwe kama free kick? kayoko awajibike
Wachambuz wote wanakwepa kuzungumza kuhusu mpira imetoka au haukutoka yaan hapa wanakwepa
@HabibuSalumu-iv5wl
3 сағат бұрын
Je lingegonga mwambia lingekuwa goli la mwamba
@JosephMwaitete
2 сағат бұрын
TFF itumie waamuzi Toka nje ya nchi, Hawa wa ndani Wana usimba na uyanga, mwamuzi Gani anafanya makosa mengi hivyo upande mmoja wa timu?
@RamaIbrahim-h2n
3 сағат бұрын
We unaona umeonewa nyie si mliwaiba dodoma money kama n vzur
@rhinoboyy5399
2 сағат бұрын
Vp dk ya 5 ya atena haikuwa offsides
@vaxminja9053
4 сағат бұрын
Hujui sheria za mpira. Hivi kipa wa Simba hakuucheza mpira kama mtu wa pili?
@richardnganya2311
3 сағат бұрын
Kwa kweli mchambuzi nampa alama 20% kwenye uelewa wa mchezo wa soka. Pole yake. Amekariri sana. Dube alivutwa bukta .. !! Yaani uchambuzi wa hovyo kabisa na sheria hazijui ila anazisikia kwenye kipindi cha kipyenga !! Njaa hizi... umaarufu unaaibisha...!!
@josephbonday8510
5 сағат бұрын
KWA MAANA HIYO SIMBA SC ALITAKIWA KUSHINDA GOLI 2-1
@user-ke7nb9rs5i
5 сағат бұрын
Goli zip hahhahah, diara jana asingeruhusu hata nzi aingie golini kwake hata mgepewa penati 😅😅
@SurprisedFullMoon-gg9vu
4 сағат бұрын
Koyoko fc wanasajili wazee kwa kujua watanunua marefa na kuvidhamin vitimu vitimu"
@bsmonline8482
2 сағат бұрын
Vijana Pumzi wanayo kipindi cha Kwanza tuu, Wazee dk 90 Pumzi wanazo
@SurprisedFullMoon-gg9vu
2 сағат бұрын
@@bsmonline8482 pumzi ya kayoko au pumzi ipi unayo izungumzia wew"
@DICKSONLUCAS-i6l
Сағат бұрын
Aliekipizwa kipindi cha pili nani mpaka amza anakamata dube alafu mbumbumbu kolobwambwa anabwabwaja wazee ,yanga tunapumzi simba level zke ni costal union bas kibonde mkubwa
@IsraelMwakagire-hn8pn
2 сағат бұрын
Utopolo mgongoni kwa kayoko
@ignatiomatimba3554
5 сағат бұрын
TFF msipoangalia marefa wenu wanaharibu ladha ya michezo makosa ya marefà kuharibu mechi asiadhiwe refa bali mchezo mzima urudiwe na refa meingine
@magesakhamis4808
5 сағат бұрын
Ushaona wapi mechi inarudiwa sababu ya makosa ya refa au unaongea tu.
@victorynyenza5666
5 сағат бұрын
😂😂😂😂
@nikiwejimson8527
5 сағат бұрын
@@magesakhamis4808😂😂😂😂😂
@godlistengodlisten7552
5 сағат бұрын
Kama Unataka Kulalamika Uanze Kulalamikia Penant Mliyopewa Na Refa Kule Dodoma.😂😂😂😂Na Pia Ulalamikie Magoli Mawili Mliyopewa Dhidi Ya Azam Na Offside Zenu.
@doricehungu5817
4 сағат бұрын
Utarudiwa mchezo Yanga atakuwa mwenyeji mkuje
@JohnJoseph-qq7ow
4 сағат бұрын
Kayoko na arajiga ni marefa 3 3
@vaxminja9053
4 сағат бұрын
Atabe alikuwa offside mbona mnaongelea tu mengine
@TitusAnord
5 сағат бұрын
Tff wamefanya nn hapo kipa kajinyea kijili kayapakaza kosa la refa nn acheni vilio tengenezeni Tim afu mgekua mnataka haki mgeanza kuitafuta siku ya cost mlipo drow kwa msaada makoooro
@SultanMakumbulu
3 сағат бұрын
Uzuli ubaya huludi kwamtenda zambi yanga mjue hakuna fulaha ya milele utafika tu mda wenu
@IsraelMwakagire-hn8pn
3 сағат бұрын
Mtopolo wanashida sana
@kamazimamuganyizi6932
6 сағат бұрын
Akili yako inafanana na matusi yako unayoyatoa mdomoni mwako
@shaameshaame2837
4 сағат бұрын
Hujui mpira kipa ndo alikua mtu wa pili kuucheza angeupisha na ukaingia wavuni bila kuguswa basi ilitakiwa kurudiwa. Au ww hujui maana ya Indirect kick? Ni mpira unaotakiwa uguswe na watu wawili kabla ya kuingia golini
@richardnganya2311
4 сағат бұрын
Mpira wa pigo huru lisilo la moja kwa moja ukiingia golini bila kuguswa HAIRUDIWI KUPUGWA UPYA. !
@RashidiWhite
2 сағат бұрын
Kayokoo ni refa wa caf jamani huoo ni uongozii wa mbabee waleisii kariaa zao la tanga
@abdalahmjomba471
6 сағат бұрын
Hujui mpira mchezaji wa pili ni kipa kama ungeingia golin bila kuguswa isingekuwa gori ww ni mbuzi kbxa
@brothermuadhwam890
6 сағат бұрын
Na wew mbuzi pia hujui mpira maan kipa Kwan nimchezaj wa ndani au ndohujui sheria
@brothermuadhwam890
6 сағат бұрын
Pia ingekua ivyo offside ingekua mpk kipa achez au
@abdalahmjomba471
5 сағат бұрын
@@brothermuadhwam890 tafta kazi ya kufanya mchambuzi uchwala ko kipa nimchezaji wa nje? Tazama marudio ya goli muangalie kayoko mkono ulikuwaje mpaka alipogusa mpira kamala? Br kazi hii ya uchambuzi sio kukurupuka tuh utapakwa futa man
@AzizihFarijala
5 сағат бұрын
Kigiri Hana kosa Ile ilikuwa ni speed mtu hawezi kuwa makini kuokoa
@jivankulikwa24
5 сағат бұрын
Kwani kipa ni mchezaji wa nje??@@brothermuadhwam890
@richardnganya2311
4 сағат бұрын
Mwamnyanyi !! Uko na mic hujui sheria za soka kabisa !! Unasimulia kwa kuungaunga sheria ... Unajiaibisha ..!!
@AllyMikidadiAlly-v5f
2 сағат бұрын
Ya Musonda na Camara vipi?
@BobNasa
3 сағат бұрын
Wachambuzi njaaa hata kucheza mpira hajacheza, aliyo fanyiwa Yanga hayaonekane, lakini hamseni. Matokeo yameisha fanyika kateni rufaa.
@madarakamarumbo6102
2 сағат бұрын
Hayo makolo
@DICKSONLUCAS-i6l
Сағат бұрын
Mbona nyie ni wanafki sana wehu nyie baadhi ya wachambuzi wa mchongo mlikuwa amjui kma marefa awafai mbona amkuongea ngao ya jamii magoli mawili ya yanga kukataliwa,mbona amkuongea kwa azam kule zanzibar ,dodoma jiji je ile penalty ya simba ,na costal union kimya kumbe na nyie ni madunduka poleni ubingwa mtausikia kwenye redio
Пікірлер: 104