Waliobaki huku nyumbani, wametoa sare tena 🤣🤣🤣. What a solid defending from Yannick and Job, what a beautiful sweep goalkeeping from Diarra, what a good approach from Nabi and the whole bench, what a midfielder is Sure boy!!. All of them are extremely in another level!!🙌🙌
@samuelkakule8038
Жыл бұрын
Naishabikiya yanga toka Congo DRC. Asante mayele kwa pasi na Asante sana Azizi ki kwa bao.
@dazzkid_tz
16 күн бұрын
Leo narudia hii highlight tarehe 28/08/2024 Kama kumbukizi ya mwanzo wa kulisumbua soka la Afrika hii siku nilishangilia badae nikaanza kulia kesho yake ata sauti ya kuongea nilikua sina dah Nakupenda Yanga💛💛💚💚
@EzekielMsigwa
16 күн бұрын
Nipo mim pia
@user-dd3ek5fh5g
3 ай бұрын
Hii ilikuwa ni safari yenye kusisimua kwetu Wananchi 💚💛 nani mwingine amerudi kuangalia hii Highlight Tarehe 8/06/2024 tujuane kwa like👇🏾
@tizilukwabilal2967
2 ай бұрын
Tar 20 06 2024😂😂😂❤❤
@محمدالطاهركرادم
Жыл бұрын
مبروووك للشباب التنزاني فريق منظم جدا ويستحق أن يتوج بكأس الإتحاد الافريقي ،، تحياتي من السودان .
@bminawandu
Жыл бұрын
Insh allah sudan rafiki
@asfiwemkumbwa5520
Жыл бұрын
Asanteee saaana
@mysaramohamed4832
Жыл бұрын
No 1 on Trending just wow🔰🔰🔰🔰💚💛💚💛
@blackvirus8740
Жыл бұрын
Leo tuko Fainale Babe😂💚🔰🖤
@wangonamuhange8218
Жыл бұрын
Wala miogo wenzangu like zihusike hapa
@alicenice1711
Жыл бұрын
Tupooo jamani
@pmall8867
Жыл бұрын
Tupoooo 👍🏿👍🏿
@user-xn5je7uv3e
10 ай бұрын
Mamaako anaekula muhogo mmoja je n yeye ni mwezetu
@tumpemsyani-io7pv
Жыл бұрын
Alie rudi kuiangalia hii mechi baada ya yanga# kumfumga Malumo# tujuane😂
@choggysly3541
Жыл бұрын
Hahahaaaa
@jangwanjaphet9400
Жыл бұрын
Co kumfunga marumo tu, baada ya YANGA kuingia fainali, maana Safar ilianzia hap na club African alitipa baraka zoooote
@Octavinaelisa-fn6js
Жыл бұрын
Waarabu kwakweri fujo.wanajuwa
@kaminambeho
Жыл бұрын
😂😂😂
@zakiaramadhan6976
11 ай бұрын
😂😂😂
@hussamnagila6567
Жыл бұрын
Yanga .. I love how you beat the tunisian team 😂they always cry for penalties SMH We support you .. Hilal fan
@ninahmbonea6248
Жыл бұрын
Mimi maoni yangu naipongeza sanaa Azam tv dah!! Tungeona wapi maombo haya live bila chenga...Mungu awape nguvu na uwepo zaidi ili dunia nzima iitizame Azam tv.
@bakarhassan
5 ай бұрын
safari yetu na confidence yetu kwwnye soka la afrika ilianzia hapa
@boazijailos2020
Жыл бұрын
The Club above all, imagine belong us, this is young Africans the people's Club
@jumakassim8718
Жыл бұрын
Swadakta
@yusuphngondo7607
Жыл бұрын
YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO congratulations. all and all thanks God you will be with us.
@rashidmalingwa808
Жыл бұрын
Cjui kwa nn natoka machozi💚💚💚💚💛💛💪💪
@asfiwemkumbwa5520
Жыл бұрын
Ni furahaaa
@bakarhassan
Жыл бұрын
Moja Kati ya mechi kubwa sana ambayo yanga wali wahi kuicheza napenda kuitazama kila wiki
@abdallahomar5868
Жыл бұрын
Daaa leo yanga mmeupiga mwingi sanaaaaaaaaaa
@zilperoscar7389
Жыл бұрын
Nabi aligoma kupata aibu mbele ya mke na wtt wake 💚💛💚💛
@bintik2311
Жыл бұрын
Mke na wanae Nabi kwani ni WA Tunisia 😂😂😂😂
@mohammedmossi4883
Жыл бұрын
@@bintik2311 Sasa wewe hujui
@mauasaidi872
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@roudhamahmoud763
Жыл бұрын
Ushauri kocha wetu mzuri sana anajuwa afanyayo tumpe ushirikiano ktk kushinda na kupoteza tusiwe wepesi wa kumkaripiya yeye viongozi na wachezaji mpira ni kushinda kushindwa na sare.tukubali yote kuna siku tutafrahisana siku kidogo na kuna siku tuudhike ila tusivuke mpaka ktk maneno
@gelassmanyanga9280
Жыл бұрын
llllllllolllllolllllllolllooool
@habarinamichezo6427
Жыл бұрын
Kweli sema hawa shabiki mihemko wa Bongo ni ngumu
@mdalamgir-gu9hu
Жыл бұрын
We mnafki cjuzi ulisema hafai
@peterlucas7246
Жыл бұрын
Kabisa sema watu wengi hawawezi
@lucasjohnmabanda5858
Жыл бұрын
Umenifurahisha sana. Unajua sana ukweli
@FaustiniKalyembe
23 күн бұрын
Anyone in 2024
@faizaahamd2052
Жыл бұрын
YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeee DAIMA MBELE NYUMA MWIKO CONGRATULATIONS MY TEAM💚💛💚💛💚💛
@gooleserviceyoutubescandar3450
Жыл бұрын
Ukisema mayelee, Unamalizia Aziz kii, Yanga ALHAMDULILLAH.
@lukhanyisonkomonde3371
8 күн бұрын
Watching Nabi past games for my beloved Chiefs ❤
@samwelngomuo207
Жыл бұрын
Hii highlight yenu haijabeba uhalisia Ni kama inaonesha yanga ilikua imezidiwa na inaonesha vpande ambavyo yanga wanashambuliwa.. Yanga imecheza kwa ustad sana.. Na possesion was fantastik Bildingup from golkpr was nice.. lakn hamjataka kuonesha hvyo Its unfear
@mickylifetimes
Жыл бұрын
sure it's unfair, na elie upload hii video itakua ndo walewale wa roho za kukunja
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
Hakika umeandika ukweli mana walichokionyesha ni kwamba mwanzo mwisho yanga anashambuliwa yani nieri wasingeli upload iyo video
@ericbilsen1176
Жыл бұрын
@samwel kumbe na wewe umeliona hilo. It's really unfair !!!
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
@@mickylifetimes itakua ni KOLO LA AZAM NDIO AME UPLOAD
@hindisaid2413
Жыл бұрын
Ila goli limeoneshwa. Ufaransa waliwazidi Senegal ki mpira world cup 2002 lakini sen.walishinda😆😆
@MbuyaJrAlvin
Жыл бұрын
Nilivyomuona tu mwamba kageuza jezi bac nikajua tu leo waarabu wataita maji mma mma…. na kwl waliita MMAAA 😂
@abdymmanga6338
Жыл бұрын
Yanga wamoto sana mamaee 🙌🏼🔥
@moise6735
Жыл бұрын
Aksanti sana kwa Azam tv kwa kazi kubwa that you guys always do Congratulations kwa mabingwa wa soccer Tanzania Yanga Africans kwa ushindi mkubwa ugenini keep it up safari bado ndefu
@davidkabwiliza7187
Жыл бұрын
Bado tupo trending mpaka leoo!!!!!!!!
@frankkihomboh9756
Жыл бұрын
Kama umeloop goli la azizi kiii gonga like twende sawa
@lovenesskalenge2683
Жыл бұрын
Yaan mmetueshimisha sanaaa💛💚💛💚 nawapenda kwa sababu mnapamban had mwisho
@janethmyinga6470
Жыл бұрын
No 1 on trending 💚💛
@user-lb3un8py7n
10 ай бұрын
It was simply fantastic 🥰
@mollelluka1379
Жыл бұрын
Yanga hongera kwa kuvunja mwiko wa kuingia hatua ya makundi well done job
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Sure Boy True definition of Football 👍👍👍👍✅
@charitysambagi4463
Жыл бұрын
Sure boy True definition of football
@shomarysaid5055
Жыл бұрын
Alieedit hii highlight bila shaka ni KOLO moja mjinga, Amekata best momens zote, anatakiwa afukuzwe kazi hafai kua hapo,Kolooo
@shabilukhatibu9700
7 ай бұрын
2024🎉
@sospetershijah5619
11 ай бұрын
Hii mechi sure boy alikuwa wamoto sana
@lawrencephotographyandsafa5955
Жыл бұрын
Tusingewasema singer pambana safiiiiii sana wakuu saluted to Yanga AM a Simba fan but Congoleeeeeeeee yanga safiiiiii sana mmetuheshimisha kama simba wanavyofanya 🤝🤝👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@Almas120
18 күн бұрын
Turning point ❤
@alex181
Жыл бұрын
This is what we want yanga nmependa sana
@enockmalegesi6358
Жыл бұрын
Vivaaaa Young Africans..... Tuumefuzu kibabe saaaana hadi raha Mpira mwingi na ushindii juu
@@hildajoel5 mazembe kwako mana Toka Simba iumbwe hajwhi mfunga mazmbe😂
@hildajoel5
Жыл бұрын
@@Zaburi-acha kuota ndoto za mchana makundi yenyew umeingia leo tangu 98 halafu upite direct hadi kubeba kikombe 😂😂😂 ww ulishawah fanya biashara mara moja tu ukawa kama Gsm? Jiongeze
@shamimujamaly8197
Жыл бұрын
Nikiwa kama mfatiliaje kwann mmeanzia dk ya 12 au ...au....au hii mechi ntairudia mpka na mpka ..💚💛💛💛
@zakiaramadhan6976
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ahmedysaidy9874
Жыл бұрын
Kilicho waponza waraabu jezi nyekundu kama Manchester ndio maana wamefungwa
@deogratiasmaganga4954
Жыл бұрын
This is yanga,I love yanga
@saidimmbaga56
Жыл бұрын
Hongera sana wananchi, bora tumewasema, ila sure boy fundi
@makindamachine
Жыл бұрын
Yanga wapo vizuri
@moramwita890
Жыл бұрын
Merci beaucoup bon voyage.Daima mbele Nyuma mwiko
@manenoramadhan1432
Жыл бұрын
Refa huyu yuko vizur sana hana presha
@danielmussa4101
Жыл бұрын
Ongereni sana wachezaji wa yanga Africans 🙏 mungu awabaliki sana jumla na kocha wa yanga Africans bwana awe NANYI by Daniel mussa gangaga
@kottaflavour7055
5 ай бұрын
Tutamfunga mamelodi in nsha Allah
@simonzelote5998
Жыл бұрын
Hongera yanga hongera Tanzania yanga mko juu sure boy amefanya mengi soka limechezwa waarabu hoi
@linnahcasmir5275
Жыл бұрын
Mojaa ktk ya mechi iliyonilizaa Sanaa😭😭👈kwa furahaa na machungu
@daudimmary3965
Жыл бұрын
Yanga daima mbele, nyuma mwiko 😍😍😍😍
@jamessanga6768
3 ай бұрын
James lapulga jr nimerudi hapa kuiangalia tena hii mechii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@UmmyMsafiri
Ай бұрын
Yaan yangu humu tu
@isiakaabby2179
Жыл бұрын
Yanga oyeee
@amaniartsgroup4403
Жыл бұрын
Hongera sana yanga africa umeiwakilisha vema Tanzania
@haibasalehe3889
Жыл бұрын
Diaraaaaaaaaaa 🙌
@abdulladosantosjr
5 ай бұрын
Hii mechi ilikuwa dume kwel kwel mixer nongwq za waarabu daah, Daima mbele nyuma mwiko
@yuscokalulu8716
Жыл бұрын
diarra anaipambania san tim yak hongr zang zot zmfikie popt pal alipo
Пікірлер: 464