Hallo tunawaomba tu ushauri Tafuteni wachambuzi ambao hawatoki E Fm hao jamaa wengi wanaharibu redio wakisha kaa Tafuteni watu wapya au ambao hawana u yanga au usimba katika uchambuzi na ubishi mfano Jemedari na wenzake japo sio vizuri kuwataja ni wabishi na wanaelemea upande moja wengi wao
@JumaSango-yo8bj
25 күн бұрын
Crown is on fire 🔥 🙌
@peterminyenya6847
25 күн бұрын
Wengne wte mko vizur ila uyo juma Ayo hajui kuchambua michezo mpeni kipind kingne
@user-ic2cb9gm2j
25 күн бұрын
Ahmad Ally nimchekeshajii
@AthanasMsigwa
25 күн бұрын
ally unajua sanaaa
@villyupdates457
25 күн бұрын
VILLY TV HAPA NI NYUMBANI
@shukuruhassan3388
25 күн бұрын
Mbona huo wimbo hatuupati. Tunaomba jina
@yasrikomba7874
25 күн бұрын
Andika pab ndio utauona
@Wilhelmsalvatory
25 күн бұрын
fire 🔥 🔥
@johnmichaellukindo21
25 күн бұрын
Hans we Spain unaijua vizuri sana timu yao hongera 👍 tunakwenda kushinda european cup!
@user-gy5fo6zv6w
25 күн бұрын
Kwaiyo na nasibu mkomwa kashatoka clouds fm
@hijanissah7674
25 күн бұрын
Juma ayo anaumia hat ukimuona anavyo uliza maswali yake
@abumuhammad9615
25 күн бұрын
Ally kamwe unamuiga sana Mfalme wa Wasemaji ,Mfalme Ahmed Ally
@terrence9477
25 күн бұрын
Kwa lipi hasa?
@ahmedjeizan4431
25 күн бұрын
Ona hii kenge sijui ndio imeaandika uharo gani Amuige mtu mwenye kithembe! Comedian
@verystinomilungu8567
24 күн бұрын
Huyu jofreya kimataifa huaga amachambuwa vizur ila hapa nyumban huaga kama analazimisha hasa ukimuuliza habar za yanga
@unclegmihale455
25 күн бұрын
Tv tunaomba
@arrickofficial
25 күн бұрын
Kiukweri,Azam fc na Costal Union ,yuwape kwaheri huo ndo ukweri! Mniue tu 😂😂😂😂😂
@kwayayavijanakkktmgongo4493
25 күн бұрын
Nice
@muniraoman9551
25 күн бұрын
❤❤
@Wilhelmsalvatory
25 күн бұрын
good 🔥
@hassankumba6938
22 күн бұрын
Inasemwa huwakatishi tamaa, halafu unaendelea kuwakatisha tamaa na kuwatisha. Una takıwa kutoa ushauri.
@BreezyPaul-v2w
25 күн бұрын
✌️
@villyupdates457
25 күн бұрын
VILLY TV TUPO LIVE
@AnordyNana-tc9wh
25 күн бұрын
Hogera sana yanga
@user-lx7lb7sn8k
25 күн бұрын
Yaaap
@LeylaaYusuph-pk5qp
25 күн бұрын
Fire
@yasrikomba7874
25 күн бұрын
Daah leo sikua na bandl sijapata kuwaona ila nimewasikiliza
@user-ic2cb9gm2j
25 күн бұрын
Ahmed Ally ni muimbaji taarabu
@zulfachenya9222
25 күн бұрын
😂😂
@proisolution7166
25 күн бұрын
SHIDA ILIPO NCHI HII HATA WATU WAZIMA NA WATOTO HOJA ZAO SAWA.
Пікірлер: 40