Alifukuzwa nyumbani kisa tu alishindwa kuuza Chakula! akaanza na mtaji wa Tsh 40,000/= kuuza MITUMBA! Baadae akawa anachukua nguo Kariakoo anauza kama dalali, leo hii anamiliki duka lake kubwa la nguo Niffer Fits na lina-trend sana, Sasa hivi yupo China anakuja na bidhaa zake mwenyewe na kafungua Niffer interiors. Stori hii ya Niffer lazima ikusisimue, unaweza kutoa machozi!
Anngalia Part 1 hapa, kuna part 2 pia ambayo kaongelea mambo yote, Mahusiano yake, Kupewa mtaji na Mwanaume na kila kitu.
Fanya ODA ya Big Boss Pizza 🍕 kwa website uletewe popote ulipo Dar bure + SODA KUBWA kwa Bei ya Offer Tsh 35,000/= tu, utatumia Promo Code ya BOSSLAO, Bonyeza link hii hapa, www.pizzahut.c...
Негізгі бет Dah usimuone tu Niffer tu kafanikiwa? Asimulia stori yake hapa! Utatoka machozi! Kuuza Mitumba,
Пікірлер: 113