Best comedian's ambae unaweza ukamsikiliza ukiwa na pastor,shehe,baba mama mnaweza mkawa pamoja mkamsikiliza vizuriii
@oscarfungo8393
13 күн бұрын
Kipitoshi is Typing
@oscarfungo8393
13 күн бұрын
Kipotoshi is Typing 😂
@finemubah
16 күн бұрын
Uzuri wa eliudi unaweza msikiliza ukiwa na wazazi na watoto na wote mkafurahi , Nguvu kidogo maarifa mengi kichwani
@itsyourboy1407
17 күн бұрын
Bro Mungu amekupa neema kubwa unafanya vizuri sana unafurahisha kwa maneno ya busara na kazi unaijua kiasi cha wewe kuw bidhaa ..nakuombea uzidi kuwa bidhaa ya thamani ndani na nje ya nchi sijui kama unajua kuongea kingereza😄😄
Kupitia eliudi moyo wangu unataman sana kuokoka mtu anamjua mungu hata matamshi yake utayajua tu akiongea ee mwenyez mungu nifanye moyo wangu uwe mwepesi kukutumikia
@juvenalyfratherne8696
13 күн бұрын
Ameen, Bwana Yesu na aisikie haja ya moyo wako. Uupate wokovu na uponyaji pia
@JdKTVHomeofTechnology
12 күн бұрын
Glory To God, Karibu sana
@amisanjenda8885
2 күн бұрын
Kabisa Huyu Kijana anamtangaza Mungu vizuri
@KICHEREMARWA
14 күн бұрын
Eliudi anajitambua SANA kwasababu ananidhamu ya mazingumzo na mavazi pia. Mie hua unanichekesha so nakukubali. MUNGU AKUBARIKI. karibu mkoa wa mara nasi tukuone live
@asifiwefungo163
16 күн бұрын
Nakukubali sana Brother,Mungu azidi kukupaka Mafuta yake
@upendomwakyusa9540
13 күн бұрын
😂😂😂 Nzovwe oyeee😂😂
@NijalieMlungu
16 күн бұрын
My favorites comedian big up bro🎉
@vicentnjelwa2894
15 күн бұрын
Mbeya Boy eliud umetisha sana
@GabrielSky64
16 күн бұрын
Nani kasema mbeya hakuna Pisi weupe😂😂😂
@paulhema5713
15 күн бұрын
Em tukusanyike apa ....apa kwa eliudi... tu subscribe....ila bro we ni atr....nilipen tu like me nafanya promo BURE...
@user-do6ch1ti8b
16 күн бұрын
Nakubar kak upo vizuri😂😂😂
@PanchoValentino-wh7wt
13 күн бұрын
MC Eliud Nomaa saana AKILI MINGI Kijana
@KACHALACOMEDY
16 күн бұрын
Dah big up bro uzidi Kufanya vizuli
@directorsnigar9334
17 күн бұрын
😅😅😅😅😅daaah nime enjoy sana ngoja nisubiri party 2
@user-bj9fu1gt4p
16 күн бұрын
Wew kaka mung akuwek😅😅
@aloycemango230
15 күн бұрын
ELIUD ELIUD ELIUD😂😂😂 nmekuitaa mara tatu😂
@Sarivelame-ci9zv
17 күн бұрын
Vijana wamefika mbali mungu awabariki awazidishie😢😢
@julianavicent4845
13 күн бұрын
Dah wewe mungu akutunze
@charybdis8113
15 күн бұрын
Shida yako Eliudi unakata kata stori. Huendi na stori moja ukaimaliza. Tena ikitokea wamekutuza ndiyo unapotea kabisa. Storyteller mzuri ilajitahidi kufocus na story hadi mwisho.
@lucydaniel2565
14 күн бұрын
Kila mtu ananamn yake ya pekee kapewa na Mungu nae ndio yupo hv na mm napend hvo
@charybdis8113
14 күн бұрын
@@lucydaniel2565 Hilo ni tatizo kwa stand up comedian. Pia kingine ajitahidi kutumia current events kwenye comedy zake. Namna hiyo comedy yake itadumu siku zote. Namkubali sana jamaa ila kuna vitu anatakiwa kufanyia kazi.
@charybdis8113
14 күн бұрын
@@lucydaniel2565 Kama huwezi kumkosoa na kusingizia Mungu, Mungu humsaidii.
@tobiasbeda2022
16 күн бұрын
Dah eliudi, we ni kiboko. Respect sana
@NeemaMsuya-kk6bs
11 күн бұрын
Grow man of God
@user-sw4ns3uj7w
16 күн бұрын
Yani wewe eliud mungu awenakusamee bure kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@TephyPhrance
16 күн бұрын
aiii Nakubali kazi zako eliud we ni comedian mzuli thana
@emmanuelalex916
10 күн бұрын
Ipo siku 😄😄😄🙌
@clemencesinkala4839
12 күн бұрын
Mungu akutunzee
@user-ku4xq4nd9v
16 күн бұрын
Nzovwe piga kelele eeeee nimeishi hapo miaka ya 2000
@luluray2115
16 күн бұрын
Nakukubali sana kikolo
@msakamaboga5712
9 күн бұрын
Kibali kikitoka kwa Bwana 😂
@EsterAlex-dn1dx
8 күн бұрын
Nakukubali sana mwamba
@musicheals1545
16 күн бұрын
Hii ndio maana halisi ya stand up comedy, sio wale wanaojiandaa huko afu wanasema stand, watubaki buanaaa
@dicksongeorge7745
16 күн бұрын
Kwani huyo yeye umeona hajajiandaa??
@mikemvula6545
17 күн бұрын
po tukuchoka bagwitu 😂😂😂😂
@judithkisavanga7244
16 күн бұрын
Ameen eliud
@HennaMeena
5 күн бұрын
Mungu akutunze Eliud
@user-bs5to4hk1v
13 күн бұрын
Kwann mapelele lakini
@user-ty3wl5oh3n
17 күн бұрын
Yanii eliud
@AndrewNehemia-tl1sg
8 күн бұрын
Ila Elihud 😂😂😂😂😂
@godlistenmuro9313
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-im5kc6ey7j
13 күн бұрын
👏👏👏
@greatwolfrare2128
16 күн бұрын
kumbe mbeya kuna wapıga pıcha wengı ıvyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@charleskatabila3729
16 күн бұрын
Kiukwel mm nakukubali tuuuu
@veronicahlusekelo5205
15 күн бұрын
Khaaaa kila mtu na camera yake jmani
@mcpwanako9091
16 күн бұрын
🔥🔥
@bahatirobert1009
16 күн бұрын
Ndugha kaka ubhombile😂😂😂
@malakimdangu8800
14 күн бұрын
Braza umekill
@user-nb1tc2nh7p
12 күн бұрын
Nakukubal saaana
@revocatusjoseph2447
14 күн бұрын
Big up xan mc eliud kwa kaz yak nzr
@tinahmashaka4355
14 күн бұрын
😅😅 ko pale tu shewa n mbali
@EzekielDebora-cd2ib
10 күн бұрын
Jaman Debo tenaa😂😂😂
@martinlema4192
14 күн бұрын
Amen!
@deborahjustine8780
14 күн бұрын
But why Debo
@user-bj9fu1gt4p
16 күн бұрын
Ila da faridaa😂😂😂😂😂
@WinKimario-yt5fe
15 күн бұрын
😂😂😂😂mweee airfresh
@sekelagodwin8969
16 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@hafsaibrahim6675
Күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@tinoChaula
17 күн бұрын
😢😢😢😢😊😊😊😊
@BrianExaud
15 күн бұрын
😂💥💥
@joycekamendu5289
11 күн бұрын
Shewa eliudi so masaki 🤣🤣🤣
@TetekoOg
16 күн бұрын
Ila kilasaa
@christinewomanoffaith5479
16 күн бұрын
😂mambo ya kilimo
@emmanuelpastory4896
16 күн бұрын
Siuje
@jessicamwasandube944
16 күн бұрын
😂😂😂
@paulhema5713
15 күн бұрын
Em tukusanyike apa ....apa kwa eliudi... tu subscribe....ila bro we ni atr....nilipen tu like me nafanya promo BURE...
Пікірлер: 76