Hakika Mungu ni zaidi ya mwanadamu.Rozy ushuhuda wako umenipa nguvu tena.na nina Imani Siku moja Mungu ataniponyesha mgongo wangu. Umeniuma kwa zaidi ya miaka nane hadi I had given up nikisema mungu nimechoka. But our God is God of another chance.
@user-ju5bu1ph8s
2 ай бұрын
Amen Rose, NAMI KATIKA MAGUMU YANGU nitashinda
@gertrudeamaniyo
4 ай бұрын
Am watching from Uganda I love Rose Muhando and her songs all and I pray Almighty heavenly God bless you and make you to work for him
@jumaephraim5949
7 ай бұрын
Amen, wakati huu mgumu familia yetu imepitia magumu lakini Leo ni imani MUNGU yuataka kujitukuza! Amen
@walterchebon9996
5 ай бұрын
To God be the glory my sister Rose Muhando. You are a living testimony. Press on towards the mark of the high calling of God through Christ Jesus 🙏🏽 Aminaaa
@sarahakango7237
7 ай бұрын
Ni Mungu tu kila siku. God will never ashame. Amen
@peacemakersplus37
7 ай бұрын
Prophet Allan you are a blessing to the world..the grace to heal and deliver is evident..am a living testimony of God's work through you..Am blessed to receive a divine touch in Jesus name.
@TABBYHEAVEN-kg1qo
7 ай бұрын
Glory to God,,Mama Rose ni shujaa jamani❤
@EmmanuelMsamala
26 күн бұрын
Ameni mtumishi Ros hata Mimi naamini mungu atanivusha katika haya
@zephaniaochieng5065
3 ай бұрын
Wimbo sako rosmuhendo umesaida Mimi Sana uku homa bay
@silviaamos-pl5lk
14 күн бұрын
Amina Dada Rose mungu akuzidishie mara Mia
@MuyamaBetwa
Күн бұрын
Mungu ni mwema 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@alicenalulwe84
7 ай бұрын
Wonderful testimony,let me continue trusting in the Lord
@user-se9fy6oe7y
7 ай бұрын
every time I hard your testimony it convince me that I was not a mistake into this earth I was born with a purpose...HALELUJAA
@user-eo9vg9mk7v
6 ай бұрын
Ameen barikiwa sana dada yetu
@rosemarynyabenda3131
5 ай бұрын
@polinekilengelu9163
7 ай бұрын
Amazing GOD!!Amzing FATHER!….Amazing KING OF KINGS😊…No matter my challenges…l will continue serving this God ooo! Of Rose Muhando😢.I feel like flying 😭😭😭Ni mungu wa urejesho kweli.
@claudemj1542
7 ай бұрын
God can restore,, faith, health and everything....Rose Muhando is a living example...thank you Lord Jesus Christ holy spirit.
@chefjaji4225
6 ай бұрын
OMG! What a powerful testimony 😭😭😭😭😭😭. Your destiny is great mum❤❤❤. God lift you higher n higher
@cynthiamarube9216
7 ай бұрын
Mungu n mzuri tumtegemee yeye tu pekee🙏🙏thanks you mum rose for strong testimony enyewe mungu alkutoa mbali
@AnneMwaikasu-fx4iq
5 ай бұрын
Mungu aendelee kukutunza mtumishi Rose Mhando:::UMENITIA MOYO SANA NILIUMWA MPAKA NYAMA NA MIFUPA VILING'ANG'ANIANA,:::NIMEBAKI SEHEMU NYINGINE SINA NYAMA:::MUNGU ANATISHA NA MATENDO YAKE:: KIKUU NI KUAMINI
@selinemuthengi3484
7 ай бұрын
Rose muhando may God bless u,nyimbo zako ndizo zilifanya nikaokoka,mumba haishi kukupigania kwa ajili ya mazao unayozaa kwa ufalme wamungu
@silviak1776
7 ай бұрын
Amen 🙏🙏 hadi nimelia 😭😭😭😭
@JulietNabwire-nc2yr
7 ай бұрын
Amen amen amen amen Mama thank you for being a strong woman let God continue with you through out the journey of your life amen much greetings 🙏🤝🤝🤝🤝🇺🇬
@TomWasike-ji3gl
2 ай бұрын
Sjui mbona ninalia 😭😭😭this testimony is really touching me,to God be the glory neno la bwana jalitatudi Bure🙏🙏🙏
@petridatryphone2232
7 ай бұрын
Namshukuru Mungu.kwa ajili yako Rose. Umenipa nguvu
@sharonwanyama2806
7 ай бұрын
Dear God 🙏 keep her for us For our sake continue using her as your vessel
@rizmarkabraham3921
7 ай бұрын
Utukufu umrudie kristo Yesu aliye mwaga damu yake kwa ajili yetu. Barikiwa sana mama Rose kwa kuinua imani yangu zaidi kwa Mungu aliye hai. Ushuhuda wako umenifanya siku yangu iwe ya ushindi
@annastaciahjulius7019
6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mammy ju nimepokea imani kupitia ushuhuda huu wako kwa Kwan nimepitia magumu na mazito ya kuvunjila moyo hila kwa ajili ya yeye atutiae nguvu nimemkabidhi yeye shaka na madhaifu yngu yote na Kwa imani nitashnds 🙏🙏🙏🙏🙏
@AnneMwaikasu-fx4iq
5 ай бұрын
Niliugua miaka 10: shuka linang"ang"ania kwenye vidonda:"::Lakini Mungu alinivusha ni HAI::ROSE MUNGU NDIYE KILA KITU KAMA USEMAVYO UBARIKIWE MTUMUSHI:::::ROZI WWE SI KUIMBA TU HATA KUHUBIRI UKO VIZURI MUNGU AENDELEE KUKUTUMIA
@user-zf1ky8jl8h
2 ай бұрын
😊😊
@scholastica5657
7 ай бұрын
A very powerful testimony, may God almighty be glorified.
@user-xp1eb5oz7u
6 ай бұрын
Hakiki twayashinda yote katika yeye atutiae nguvu. Ubarkiwe kwa kutukumbuxha na kutupandshia kiwango Cha imani
@lilianmboroki7628
7 ай бұрын
Rose muhado nakupenda sana.mungu atakushangaza wewe ni wa maana sana.mungu ashajitukuza kupitia wewe.wewe ni ushuhuda kwa wengi mimi mmoja wao.endelea kumshikilia Jehovah.
@bitishoriziki1113
6 ай бұрын
Amen 🙌🙏 barikiwa mtumishi wa mngu 🙏😊
@constancewanjala1468
5 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi,ushuhuda huu umenitia nguvu.
@MargdalineJuma-rl1pb
7 ай бұрын
Be blessed strong woman of God to are a role model to many souls
@berthaowiti876
6 ай бұрын
Amen! Rose a powerful testimony God loves you .Yesu ni Bwana Hallelujah
@janewairimu4186
7 ай бұрын
Rose you are more than a conquer, Mama you are blessed umenitia moyo leo
@praxswtpie
5 ай бұрын
What a powerful testimony 💥🔥💯
@JudithMasupa
Ай бұрын
Amen amen amen Mungu anaweza.
@sheilamuthusi7758
5 ай бұрын
Rosie.Wewe kweli ni Simba. Asante kwa Mungu.I really prayed for you.Nashukuru
@MrWoloo
5 ай бұрын
Amen and glory unto the most high God for such a powerful testimony. May God be blessed all the days of my life
@hillarimtambo482
7 ай бұрын
Amen 🙏🙏 Mungu akubariki dada Rose
@TomWasike-ji3gl
2 ай бұрын
Indeed this is a healing testimony 😭😭😭😭😭🙏
@user-gy9xe7et2f
7 ай бұрын
Amen wonderful testimony, truly yote yawezekana kwake yeye aaminie.kama dada rose akumwamini mungu angekuwa hapo alipo.Mungu akubariki sana dada rose ,nyimbo zako hubariki watu dunia zima
@rhodaangetile2781
7 ай бұрын
Rose Muhando mtumishi wa Mungu!! Nilikupenda tangu kipindi ulipitia kuandikwa na kudharirishwa kwenye magazeti lakini nilijifunza unajuabKUNYAMAZA KIMYA. Hongera kwa ushindi
@bibianameney8950
7 ай бұрын
Nakupenda sana Rose Muhando songa mbele mamy wewe ni ushuhuda unaoishi. Mungu akutumie zaidi❤
@marionkamadi2757
7 ай бұрын
Powerful and wonderful message may our Almighty God continue blessing you angel rose
@RithaClear
7 ай бұрын
Asante da Rose Mungu akubarik neno lako limenifariji🥰🥰
@AbuCyber-dz8me
7 ай бұрын
Glory be to God 🙏🙏🙏🙏🙏❤️
@chombosamoo7958
5 ай бұрын
Amen..ushuda mzito saan .. you are a heroe Mama be blessed
@mercyjuma666
7 ай бұрын
Very powerful message and am very blessed.all gospel singers should be readers of the word and have Gods annointing.
@bitishoriziki1113
6 ай бұрын
Haleluya haleluya Pole dada mngu akulinde sana 🙏🎉🎉🎉😊🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🤲👏
@GraceMueni-gv7db
7 ай бұрын
Najua ninayoyapitia ni Kwa utukufu wake Mungu,I know God is preparing me for something great💪
@heavenishome20
7 ай бұрын
I love you Rose sweetheart. Endelea mama God bless you more. Heee Rose kanyaga na nguvu😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏👏
@moctoten_moses_zikiboy
7 ай бұрын
This story of rose has really inspired me. Kweli Mungu yupo 🙏
@elimishanyamoga6797
7 ай бұрын
Atukuzwe sana MUNGU
@AlexMagak-vo3qx
6 ай бұрын
Asante sana Kwa ushuhuda umenitia Imani you are pawerful❤❤
@FaithMoraa-xg5yf
6 ай бұрын
Asante yesu your testimony give me hope God bless u Rose
@florahmwamghunda4402
6 ай бұрын
Jesus name above all names your testimony is so powerful.be blessed mum
@faithlunganzi247
7 ай бұрын
Glory to God 🙏🙏🙏
@simyulevi
7 ай бұрын
Hallelujah... Jesus Christ glorified
@user-km3zp4qf9q
5 ай бұрын
Great testimony....but before that I kindly ask waimbaji tusome neno LA mungu sio maneno matupuuuu...tumemsikia mama Rose full of wisdom ,full of God's word,,,let's read word and keep it in our hearts...hata Kwa interviews tujawe na hekma ya mungu jamani sio sarakasi especially kamba gospel artist...sisemi mtu I'm just saying the truth it's very sad what's happening.... only word of God we need 😢😢😢😢
@aggybona7658
7 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN. Asante YESU pokea sifa na utukufu.
@eunice3001
7 ай бұрын
Ameeeeeeen ,amen yye ni wa wote wenye mwili na n Mungu wa vyote aaamini yote
@harrietboruwa6501
6 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe sana tena sana Rose mwahando 😢😢😢😢😢😢😢
@diannahmadundo5711
6 ай бұрын
Mungu mwema dada piga kazi ya Mungu hadi shetani aaibike zaidi
@florencejune4903
7 ай бұрын
great woman of the most high God barikiwa Sana mammy
@rodaalshamry5277
7 ай бұрын
Powerful testimony God bless yuo
@sharonkanana9368
6 ай бұрын
rose you re wonderful made by God,
@ancytarimo1103
6 ай бұрын
Great message congrats Rose.
@user-ep6mr7yh4v
6 ай бұрын
I JUST LOVE THIS WOMAN OF GOD. EVERY TESTIMONY IS LINKED TO THE WORD OF GOD JUST A CLEAR INDICATOR THAT YOU DONT JUST CREATE FROM NOTHING BUT FROM THE SCRIPTURES. BARIKIWA MAMA ROSE
@user-py1rz5nq9s
5 ай бұрын
❤ malkia wetu mungu akupe miaka Ming ili kazi ya mung isinge mbele
@NaomiwanjiruKiarie-kf2fb
7 ай бұрын
Rose Gods favour is shown to us through you for sure
@PaskaliSteven
Ай бұрын
Ubarikiwe mama
@blessedBright01
6 ай бұрын
Great testimony,,God is faithful 🙏🙏
@emmaculatemalii1513
7 ай бұрын
Nimebarikiwa sana nitaamini kuanzia leo
@magdalenapeter4851
7 ай бұрын
The powefull testimony 💪🔥🔥🔥🔥
@lovenesngomuwo153
7 ай бұрын
Pole sana mama yangu kipenz nimejifunza mengi kutoka kwako
@rebeccamwiseneza2431
6 ай бұрын
Amen amen❤❤❤🙏🙏 Asante sana mama 👍👍
@catherinethuo6592
6 ай бұрын
❤Amen Amen huyu ndiye Mungu aishiye milele
@sharonchepkemoi3042
7 ай бұрын
Glory to God,be blessed
@TomWasike-ji3gl
2 ай бұрын
Kwa huu ushuhuda umenikumbusha wakati mmoja mwanangu alikua mgonjwa nikaambiwa na daktari,mwanao ana mda wa masaa manne,hakika tunaye Mungu anaishi na anasikia kilio na maombi yetu
@aplokimo405
7 ай бұрын
Welcome evergelist rose we love ypu kenyaa
@Mamaejoseph
5 ай бұрын
😢i have been Hadi nikalia, be blessed 🙏
@emmamakungu5508
7 ай бұрын
Mungu ni zaidi ya mwanadamu
@user-gd6xj3mz6w
7 ай бұрын
Glory to God.🙏🙏
@ruthawino-zg7fr
7 ай бұрын
Be blessed forever and ever
@mercymwaisaka8133
7 ай бұрын
Ameen halaluya ishi miaka mingi uzidi kusimulia Wema Wa bwana
@user-mg8ic3ik2s
5 ай бұрын
Mtumishi Rosse unakitu chaki Mungu Yesu akuhifadhi kwenye vitamga vya mikono yake maana mti wenye matunfa hupigwa vita nabarikiwa na wewe
@winfrednduku2019
7 ай бұрын
Powerful testimony ,
@hellen9056
7 ай бұрын
Dear rozi Nakupenda sana Nakupenda MUNGU anakupenda zaidi ya mwanadam yeyote na Wewe nimtumishi wa Mungu mkubwa mno nikuombe kwa jina la yesu aliyeBwana na mokozi wetu usiziweke nywele zako zifanane na watu wa mataifa tujifunze kwa Mungu na Neno lake Nakupenda Ameen
@LucyKapinga-fg4dk
7 ай бұрын
Amen Hakika yezeber
@kwayaviwawaparokiayabashne9281
5 ай бұрын
Mungu akubariki Sana Mama Rozi
@Nimubonaegide-hd7iw
7 ай бұрын
❤❤ misse you mama roza atanamimi Nina Imani mtotowangu atapona
@ziadamichael199
6 ай бұрын
Nagupenda sana rozi mungu akuinue
@rosemarygichovi4774
7 ай бұрын
I tap from My namesake Rosemuhandos grace
@gladnesssanga1601
7 ай бұрын
My role model' my mama
@veronicaromwald8311
6 ай бұрын
Ile habari mbaya ilitengeneza mambo mazuri, amini tu 🙏🙏
@annaurassa7082
7 ай бұрын
Mtumishi mungu akuinue zaidi umeniinua namimi kiroho
@EmeliaKilave-rs8oh
7 ай бұрын
Ushuhuda wa kusisimua sana,HAKIKA MUNGU ANABAKI KUITWA MUNGU
@MarcoMsigala
Ай бұрын
Mungu ni msemaji wa mwisho kama hajakuita hauwez kufa alikuwa anakukuza kiimani
Пікірлер: 260