Shekhe huyu hatoi mawaidha. Yeye nikukashifu tuuu. Ndio maana hatuendelei. Yako mengi yakutuelimisha sio maulidi tuuuu Kila wakati. Mwachosha wallahy . Tunatekwa Sana sisi waislamu.
@nanahakiim4810
Жыл бұрын
بارك الله فيك
@mohamedmusa8778
Жыл бұрын
Nyinyi mnataka munkar isikatazwe
@fatmabakari9165
Жыл бұрын
Kazi zenu siku hizi imekuwa ni kukashifiana tu kwenye mitandao badala ya kupeleka elmu kwa waisilamu walioko pembezoni kuna watu hata alifu hawajui kawapen elmu watu acheni upumbavu wa kulumbana hapa kwan hao wanaoadhimisha hao wanaoadhimisha mazaz ya mtume wanamkashif mtume na Allah. Hebu tutoken huko waisilamu tunamambo mengi sana ya kujifunza kuliko maulid
@khatwabshee2187
Жыл бұрын
Yaani kila ikifikaa mfungo sita nyinyi kwenye hotuba zenu ni kukashifu maulidi tu yakuzungumza ni mengi hbu tupeleke uislamu mbele acheni kubishna
@RashidKhan-uq4mv
Жыл бұрын
Hayo Maulid ata Maswahaba wangeyafanya nyinyi pia mngeyapinga Kwa mfano Saiyyidna omari ameswalisha tarawehe rakaa 20 Othman bin afan ameswalisha tarawehe rakaa ishirini Ally bin abutwalibu ameswalisha kadhalika
@ahmadzubeir3363
Жыл бұрын
Rakaa 20 za tarawehe zaswaliwa Saudia huko kwenu mboni nyinyi mwaswali 8? Muna elimu sana kuliko Mashekhe zenu wa Saudia?
@nureinimohamed449
Жыл бұрын
Tafuta kazi ya ku fanya hiyo si elimu neenda ukalime utapata baraka za mungu katika ma'isha yako .lakini elimu za chuki, sure mungu ataku dhalilisha katika maisha yako.
@mohamedmusa8778
Жыл бұрын
Wacheni sheikh akataze hii upotovu ya kusherehekea maulid
@ahmadzubeir3363
Жыл бұрын
Weweeee..kwani kila akisemacho Fauzaani ndio halina mapungufu? Fauzaani si binaadamu kama binaadamu wengine tu? Kwani Fauzaani ndio mlango wa mwisho wa Elimu?
@alimussa3611
Жыл бұрын
Kasome kwanza halafu ndo uingiekwenye mabishano Huku kwetu Zanzibar wamepita watu wenye bahri ya elmu ndo maana watu kama wewe tunawaona wapuuzi tu hawana Hadhi yoyote katika jamiii tunawaona wapuuzi tuuu tena wagonjwa wa akili
@ahmadzubeir3363
Жыл бұрын
Hadhani kwa maana hana uhakika?uhakika?! Hadhani. Je unajua maana ya DHANA??
@ahmadzubeir3363
Жыл бұрын
Dammaaj miezi 6?6??! Umesoma umekua shekhe??! Kusoma miezi 6 Dammaaaaaaj au Dammaaaal au Dammaaana??! Maana hata sijuwi umesoma.....
@hassanalhussein3982
Жыл бұрын
Al fauzan angezuia munkar uliopo Saudi . Wacheni unafiki mawahabi. Kwani Al Fauzan ndie mwenye funguo za Pepo na moto. Umekosa Kazi watueleza alisema huyo Sheikh wako. Wewe jahili Kweli.
@alimussa3611
Жыл бұрын
Wewe sheikh Ali baleghe inakuhangaisha maulidi hayafi huna elimu umesoma wapi sisi Huku kwetu Zanzibar tunakuona mtu kama wewe ni panya mpunga umedharaulika huna elimu
Пікірлер: 31