Alafu mijitu mingine inaboa, sasa hapo kwenye watembelea miguu alafu wewe na akili zako finyu unaamua kuliegesha gari lako katikati hujui unahatarisha maisha ya watu!! Yaani mimi ningekuwa polisi Dar mbona watu wangeshika adabu haraka sanaaaa!!!
@malengaWetuTv2699
7 күн бұрын
Changamoto za matumizi ya Barabara ndo zinaliangusha jiji la dar
@section8ight174
7 күн бұрын
@@malengaWetuTv2699 Ndio! Plus E limu inatakiwa, lazima trafiki polisi waanzishe campaign ya kuhamasisha na kuelimisha watu kuhusu matumizi halali na salama ya Barabara zetu
Пікірлер: 7