Inawezekana upo Dar es salaam na kila siku unapita barabarani lakini hukutani na magari ya zamani ila kukusaidia tu ni kwamba bado yapo tena kuna watu wameya-pimp vizuri.
AyoTV imekukusanyia details zote kutoka kwenye hayo maonyesho na magari yote mpaya mengine yaliyoletwa Tanzania hata kabla ya uhuru..... USISAHAU KUNIAMBIA IPI IMEKUVUTIA
Негізгі бет DAR SIO YA MCHEZOMCHEZO!! magari ya zamani yaonyeshwa
Пікірлер: 99