Hiyo dawa unaitumia kwa mda gani?kuku wakiwa mia,namanisha ukitumia unaweza kuihifadhi ikatumika kwa mwaka mzima au inakueje
@angolwisyengailo8180
21 күн бұрын
Dawa au vitamin hinata bei
@ThomKavishegospeltv.555
21 күн бұрын
@@angolwisyengailo8180 sms sijaielewa!
@benethmwenga8355
Ай бұрын
Vifaranga wanavimba macho na kufa
@ThomKavishegospeltv.555
Ай бұрын
@@benethmwenga8355Ooh! pole! Je! macho yamevimba pamoja na vidonda usoni, au ni macho pekee kuvimba pamoja na ukoko mweupe kujaa ndani ya macho?
@iddijuma6152
16 күн бұрын
macho peke yake na ukoko mweupe@@ThomKavishegospeltv.555
@Maulidimuna-sk4oz
28 күн бұрын
hiyo dawa ya tanzania au ya wapi
@ThomKavishegospeltv.555
28 күн бұрын
@@Maulidimuna-sk4oz AGRACOX na TYLODOX EXTRA zote ni kutoka HOLLAND
@justinaruzige3296
Ай бұрын
Kuku wangu anaharisha damu nimpe tiba gani??
@ThomKavishegospeltv.555
Ай бұрын
@@justinaruzige3296 wape Esb3 haraka! utapata matokeo chanya. Ukikosa hiyo tafuta AGRACOX halafu baada ya kumaliza dozi wape vitamins siku tano mfululizo wata imarika kabisa.
Пікірлер: 24