Naikabidhi nyota yangu kwa Bwana Yesu Kristo, Amen. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Amieli
@tamarali8325
2 жыл бұрын
Nimejifunza mengi mno Barikiwa pastor Amieli ninakupenda bure. Jacktan Mungu Aendelee kukulinda sana Barikiwa sana na Promover TV.
@gilbertsaya
2 жыл бұрын
I have learned a lot, I have been following you online, may God give you strength to keep on spreading the His word. Thank you promover TV for good work,
@nyarooerick6154
2 жыл бұрын
I erick from Kenya nimebarikiwa Sana mchungaji kwa ushuhuda wenye nguvu za roho na YESU KRISTO akutie nguvu katika roho mtakatifu
@salomekemunto1373
2 жыл бұрын
AMINA AMINA Mchungaji Amiel. Mungu akubariki Sana katika Jina la Yesu Kristo was Nazareth,wewe Ni Shuhuda kweli.
@christinephilip5043
2 жыл бұрын
Amen through you man of God we are still blessed glory to God🙏🙏🙏
@GulaniaMadulege-jy7ni
7 ай бұрын
Mungu anajua kuwatumia watu wake, Bwana Yesu aendelee kukupigania mch.Amieli katekela na kamwe adui asipate nafasi juu Yako, maana unatufundisha mambo mengi sana namna ya kuwa na nguvu ya maombi zaidi.
@babbrabartoo3991
2 жыл бұрын
Welcome to Kenya welcome so much, ur blessed.......
@beatricefilbert1171
Жыл бұрын
Damu ya Yesu inanena mema itatuvusha
@janetjanet8669
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa neno lako hapa nmepata kitu kikubwa sana moyon mwangu 🔥🔥🔥
@graceofgolgothatv
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu tunayaonaka mambo haya unayo naongelea. Sika kwa Mungu wetu Aliye hai
@alicensabimana2137
2 жыл бұрын
Amen Amen Amen Allelua Sifa Kwa Mungu katika jina la YESU Ubarikiwe Basi ukiomba uwenani rudisha nami
@victoriaremmy3772
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukulinda
@EmmyEmanuel-jo4ey
Жыл бұрын
Asante yesu kunipa neema ya wokovu, na Mungu akulinde mtumishi katekela
@malisanyanje
Жыл бұрын
barikiwa mtumishi wa Mungu you inspire me. Anyanje from Kenya.
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Yaani unasema ukweli kabisa unatufungua macho jamani Mungu akubariki pamoja na promover TV
@neemakamgisha2951
2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu naomba no ya mchungaji aje geita semina jaman nasisi tupokee
@ntulikasunga3548
2 жыл бұрын
Anatuabisha wanyakyusa wenzie tunapenda Yesu sana na kutii maagizo yake🖐️
@Life10061
2 жыл бұрын
amen ..ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU WAKICHUKIA NAWACHUKIE TU.
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Wapasuke tu ukweli unatufikia tunapona
@Jizerebuhuru-f8o
2 ай бұрын
Mungu akubaliki sana
@kakadkarima2448
2 жыл бұрын
Leo nimekuelewa sana Mchugaji.
@jacymueni1671
Жыл бұрын
Mtumishi umeninjenga sana God bless you.
@kikiimy7776
2 жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah Hallelujah in the neme of Jesus Ameeen
@myself4128
2 жыл бұрын
Mtumishi Amiel una ujasiri mkubwa sana kama Meshack,Mnyeshan,Moses kulola,maboya n.k Mungu akubariki
@upendomhagama3236
6 ай бұрын
Mtumishi wa mungu ubarikiwe napenda mahubiri yako mungu akupe kibali uzunguke Tanzania nzima ili tupone wote
@wilfredlukowo9476
2 жыл бұрын
Uko vizuri
@mtwachogo2151
2 жыл бұрын
Amen tunabarokiwa sana
@DorcasNdila
11 ай бұрын
Mungu akumbaliki sana Mt mungu asiti kutuma kufunua watu wamungu mafunzo masuri sana🙏
@judithnaomy6787
2 жыл бұрын
Mungu akubarki sana mtumishi wa mungu
@aidaa8253
2 жыл бұрын
Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@AgnesSima-c2c
4 ай бұрын
MCHUNGAJI AMINIEL NAPENDA SANA MAHUBIRI YAKO KAA KATIKA HEMA YA BWANA MILELE NA MILELE ❤ AMINAA
@bettyadhiambo9557
2 жыл бұрын
mimi nina barikiwa tu🙏🔥
@rosepeter8996
2 жыл бұрын
😂😂😂😂katekela jamani mimi hua unanichekesha mpaka naogopa,najipata tu wacha niendelee nimalize clip nibarikiwe na nijue kujiepusha na watumishi wa uongo.barikiwa sana mtumishi wa mungu katekela.ama kweli mungu alikutoa mbali na atakubariki kabisa....karibuni tena kenya side za machakos,yatta,.....tunawatamani sana ili tupate baraka za face to face pia.🙏
@fedytemba7541
2 жыл бұрын
Amen , welcome here Bungoma kenya
@felisterligazio7151
Жыл бұрын
Haleluya, Utukufu kwa bwana, asante kwa kutufumbua macho, mimi ni mmoja kati waliowahi kutumia maji na mafuta ya manabii, na sadaka na mafungu ya 10 nilikua natoa pale, je nifanyeje ili niweze kupona, maana nilishaacha kwenda tangu nimeujua ukweli, naomba msaada kwa hilo🙏
@alicensabimana2137
2 жыл бұрын
Basi uniombéeh mtumishi 🙏
@perufamily6941
2 жыл бұрын
Amen nimepokea nyota yangu ya kibali na nyota yangu ya ndoa
Jamani sijui nimimi pekeyangu naona TZ kuna mafunzo mazuri ya kumjua MUNGU
@tigerchristmas5491
2 жыл бұрын
Wow jmn sifa na utukufu kwa Mungu Karibu Tz
@jenimarymgwilanga7924
Жыл бұрын
M mwenyewe naona tz 2naneema
@annkim2690
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@DanielOdack
5 ай бұрын
Karibu Kenya 🇰🇪 ❤
@emmymatigula4870
2 жыл бұрын
Amina Amina Utukufu kwa MUNGU BABA ALIYEHAI🙏🏾🙏🏾❤
@florenceokullo6049
Жыл бұрын
Amina
@kikiimy7776
2 жыл бұрын
Amen Ameeen 🙏🙏🙏asante mutumishi wa Mungu 🙏🙌❤
@rahabnkya8276
2 жыл бұрын
SADAKA SADAKASADAKA NI MUHIMU SAAAANA MTUMISHI. TUTAO SANA MUNGU NAYE ANAPOTUBARIKI NASI LZM TUTOE SADAKA MBALIMBALI KTK MAKANISA YETU NA KUWABARIKI WENGINE.
@folekagohjl2690
2 жыл бұрын
AMEN
@marymbodzembodze2707
2 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi Amiel
@ZuberiMwakasyuka-q3g
6 ай бұрын
Ameni mtumishi ubarikiwe
@babbrabartoo3991
2 жыл бұрын
Welcome to RCG kenya
@AsumandewambutoDieu-merciMbuto
Жыл бұрын
asante kwa mafuzo baba yangu
@annabyekwaso-wt7oi
Жыл бұрын
Mkristo asipotoa sadaka atabarikiwaje.Ikiwa Mungu alimtoa mwanae wapekee km dhabihu na akatuvuna sisi wengi na hivyo baraka zetu twazipata ktk utoaji.
@annacharles2842
Жыл бұрын
Safi sana
@mindenlightenment
2 жыл бұрын
Aisee 🙌
@bonifasemmanuel4700
2 жыл бұрын
Hakika wewe ni Askali wa Yesu,Yesu ahimidiwe kwA kukuokoa
@purity234
2 жыл бұрын
Jamani kanisa hili Laonekana limetulia sana ilhali injili ni moto🔥..hehe,nawapenda sana lakini,nawafuatilia kutoka Nairobi 🇰🇪
@josephmutemi7494
2 жыл бұрын
Amen Amen Ameeeeeeeeen
@christinamwasota1742
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji
@helenkimo1078
2 жыл бұрын
Ameeen Ameeen Ameeen🙏🙏🙏🙏
@helenkimo1078
2 жыл бұрын
Oooh jesus🙏🙏🙏🙏🙏
@stelladassa1261
2 жыл бұрын
Amina Bwana Yesu afungue nyota yangu
@susansusan4813
5 ай бұрын
Napenda mafundisho ya huyu mchungaji
@angelibrahim5539
2 жыл бұрын
Mngu aku bariki Sana mtumishi
@immalunemo9296
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@JanethHanya
Жыл бұрын
sawa
@JeremiaShimba-cq8mq
Жыл бұрын
Jina la Bwana Yesu litukuzwe
@liesharehema5193
2 жыл бұрын
Aminaas
@mercyetago4020
Жыл бұрын
Mungu ni mwenye rehema jamani
@We2k7
2 жыл бұрын
Wachawi wapatishwe haya wabanweeeeeee wananisumbuwa wapigweeee
@racheljoseph-nm5dp
Жыл бұрын
Duuuuuuu kwakweli Mungu atusaidie
@annkim2690
2 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu andika kitabu
@mwananyamalaz4427
Жыл бұрын
Amen God bless 🙏
@mwigarleysaid5406
2 жыл бұрын
Usiwe mashahidi wa Hao wenye nyimbo za Duniani ukiwa madhabahuni mtumishi wa Mungu kuna washilika hawajasimama vizuri
@annkim2690
2 жыл бұрын
Usiwe mwepesi wakukosoa kila neno mtumishi alinenalo kumbuka hahubiri yeye mbali anaongozwa na roho mtakatifu
@rahabnkya8276
2 жыл бұрын
Bwana yesu nakushukuru kwa ajili ya mtumishi huyu, mtumishi huyu unamjua wewe uliyemuumba wewe MWENYEWE. Tufanye nini sasa,wewe MUNGU ni MUNGU PEKE YAKE.
@vumiliawambula1716
2 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu mimi sijuwe kama nyota yangu ilipo naomba nifunguwe kwajina la yesu Amina
Mbalikiwauyo mjinga sana anaekataa watu wasitoe sadak
@helenkimo1078
2 жыл бұрын
Ameeen Ameeen Ameeen i receive
@DamarisDama-uk9xi
Жыл бұрын
Niko na shita kwa biashara yangu paster
@nominetjacob8137
Жыл бұрын
Mchungaji huyu kaitwa na MUNGU mwenyewe ili amtumikie MUNGU ameweka vipawa vikubwa ndani yake huyu si Mchungaji wa kuchezea hata mimi hajawahi niona ila shuhuda zake zina nguvu za MUNGU aliye hai katika jina la YESU kritor aliye hai ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU aliye hai
@beatricefilbert1171
Жыл бұрын
Isaya 9:6
@sarahkapange252
Жыл бұрын
Ameni mtumishi
@fedytemba7541
2 жыл бұрын
Plz send this u tube plz
@truth7796
2 жыл бұрын
Sadaka lazima nitoe, sanasana fungu la kumi
@dorcusmusyoka4591
2 жыл бұрын
Naona mtume Paulo sioni amiel
@marionoti5760
Жыл бұрын
Ulimwengu umevamiwa na wanaodhihaki uwepo wa Mungu. wanasema uwongo wa kutisha.
@wilfredlukowo9476
2 жыл бұрын
Wamashetani wanakasilika
@tabithakawira7844
2 жыл бұрын
Asanti mtumizi was mungu kwa kuambia watuMambo Yale yamewateka ,maji nà mafuta
Пікірлер: 162