Nairobi watabarikiwa kweli katekela ameiva kuhubiri injili hii sio pastors wengi wanahubiri hata mpaka saa zingine nashindwa mbona huwa hawasomi vifungu zingine kwenye bibilia aki Asante mungu kunifungua macho
@bonifasemmanuel4700
2 жыл бұрын
HaYa Mahubili,ni ya muhimu sana ktk ulimwengu wa leo tuwapate wapi,watumishi wa Mungu wa namna hii,
@eviealex25
2 жыл бұрын
Ushuhuda na mafundisho ya mtumishi wa Mungu teaches us more about spiritual warfare especially in this period which most pastors and prophets preach prosperity gospel and sin tolerance instead of repentance and spiritual warfare. ❤ from dar es salaam
@happykajeli5453
2 жыл бұрын
Asante Yesu kwaajili ya mtumishi wako Amiel
@saumukarisa9873
Жыл бұрын
Mtumishi katekela mungu akubariki sana na akulinde kwa kusaidia wengi
@myself4128
2 жыл бұрын
naiona Roho ya Mtumishi Moses Kulola ndani ya mtumishi huyu...Moto tupu
Kwa hakika Roho wa Kristo anatawala tena na kwa nguvu.....kuja Bwana Yesu Kuja
@maryandason1815
2 жыл бұрын
Mambo n 🔥 YESU bdo ni EBENEZER blessed all
@saumukarisa9873
Жыл бұрын
Ningekua na uwezo ungekuja Kenya kwaajili ya kufungua watu macho
@rebecashidika7801
2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa neno naendelea kubarikiwa
@fedytemba7541
2 жыл бұрын
Amen Apostle
@anneadrienne6055
2 жыл бұрын
najivunia kuwa mzaliwa wa tanzania angalia kaka na madada zangu wanavyomshangilia Wokozi wetu
@emmanuelwilliam4742
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana ....yesu kristo atuponye
@nisetameena9276
2 жыл бұрын
Amen
@favourndila8474
2 жыл бұрын
Ameeen hallelujah to Almighty God in Jesus Christ Mighty name
@floridaniyonzima2413
2 жыл бұрын
Amen
@marifaadolphine3571
2 жыл бұрын
Tunashukuru kwa injili mubarikiwe sana groupe yote ya Jactani Msafiri
@marifaadolphine3571
2 жыл бұрын
Ameeen kwa ujumbe.
@annacharles2842
2 жыл бұрын
AMEN
@lilianluhasi5053
2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana
@mercysimba3569
2 жыл бұрын
Jamani Hallelujah!
@nemaodhiambo7274
2 жыл бұрын
Amen
@henrykigugwe5112
2 жыл бұрын
Napenda nihubiri kama wew unahibiri ukweli
@sarahevarest1202
2 жыл бұрын
Chrislam region started in Nigeria since 1980, check it ! Thank God for the gospel!
@millicentnaliaka
2 жыл бұрын
Waaah ndio maana huku kumeshabadilishwa weekends ilikua ni Friday na Saturday ila sasa zimerudi kuwa kama afrika jumamosi na jumapili kweli mchungaji hujagonga nje Mungu atusaidie mi nipo dubai nakulingana na shuhuda hii ama siri hii yenye tunapitia huku lifestyle kweli ni YESU KRISTO atulinde
@millicentayangokunting3728
2 жыл бұрын
Hi, am in dubai also.
@millicentnaliaka
2 жыл бұрын
@@millicentayangokunting3728 hi too sister
@nurusaidi3642
2 жыл бұрын
Tumpate wapi mtumishi Kama uyu jmn mungu anatupenda tz watumishi wanatupa Siri nzito Sana mungu utulinde na Vita hizo za shetani kwake yesu Kuna uzima tele sitoki kwa yesu ng'oo
@lucykapinga369
2 жыл бұрын
Yesu Anaweza niraha mnoo
@millicentayangokunting3728
2 жыл бұрын
😭😭😭😱😱😱😱 hii ni siri nzito sana
@sharonwalubengo9507
2 жыл бұрын
Injili ya bwana lazima ifike kwa Kila mmoja na mwenye sikio na asikie
@CaroBakx
2 жыл бұрын
Guys msisahau ku Like ili hii video ionekane kwa watu wengi youtube
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Hakika 🙏
@bonifasemmanuel4700
2 жыл бұрын
Eleza yote namna mlivyo kuwa mnapata pesa,huko kuzini mpaka mnanunua pepo jaa kWa sh,99000000
@edwardmwalukware9734
2 жыл бұрын
Do these guys even realise how Lucy they are to have known these secrets beforehand because the church is in deep slumber.
bwana yesu asifiwe mchungaji ombea nchi yetu ushelisheli
@bonifasemmanuel4700
2 жыл бұрын
Inchi yetu iweje
@myself4128
2 жыл бұрын
one world religion(dini moja) tayari ishaanza na makao yake makuu yapo Qatar kuna Jengo moja tu ila lina Hekalu la Waebrania(Jews),Kanisa lisilo na msalaba na pia msikiti na mwaka huu litazinduliwa rasmi lianze ibada!!!
@millicentayangokunting3728
2 жыл бұрын
No...Abu dhabi
@anneadrienne6055
2 жыл бұрын
unasemaje mchungaji kuhusu hao wanaotaka walipwe ndio waombee watu
@nisetameena9276
2 жыл бұрын
MUNGU AKUTUNZE KWA JINA LA BWANA
@ibrahimmburingi8043
2 жыл бұрын
L
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
Yesu kristo wa Galilaya !? Ama Yesu kristo wa Nazareth?
@millicentayangokunting3728
2 жыл бұрын
Nazareth
@lilianluhasi5053
2 жыл бұрын
@@millicentayangokunting3728 Kuna mwimbo huwa unaimba Yesu wa galilaya
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
" mchungaji katekela unaomba kujua Mimi najua kuimba nyimbo za injili kwa kurap lakini wengine wanasema mbinguni malaika hawaimbi kwa kurap
@myself4128
2 жыл бұрын
Mtakatifu anaweza kurap as long as mwimbo unampa Mungu utukufu!!!!
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
@@myself4128 mbona wengine wanasema mbinguni hakuna malaika anayeimba kwa kurap
@preciousgrayson2021
2 жыл бұрын
Mbinguni hakuna kurap ni kweli maana kurap imeanzishwa na kuzimu
@millicentayangokunting3728
2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 wacha kurap imba nyimbo ya utukufu.
@sophiajonas3459
2 жыл бұрын
Tafuta style nyingine
@sharonwalubengo9507
2 жыл бұрын
Injili ya bwana lazima ifike kwa Kila mmoja na mwenye sikio na asikie
Пікірлер: 58