Hongera sana kwa vijana was monduli kwa kuonyesha uzalendo pia jkt suma kwa kuwapokea kwa ajili ya kuwawezesha
@StellaAndrea-d7k
Жыл бұрын
Mungu ibariki tanzania
@KilusuMigaro
Жыл бұрын
Mungu akuongozee miaka mingi za kuishi Makanda wetu
@habibumohamed1543
Жыл бұрын
Natoa pongezi Sana Sana Mafunzo ya jeshi la akiba ni zuri Sana hii inajenga uzalendo na utayari muda wowote katika kulinda na kulijenga Taifa Ukakamavu unatakikana Sana Kwa vijana wengi wa kitanzania
@StellaAndrea-d7k
Жыл бұрын
Mungu awabariki sana makamanda wetu
@livingkiwali3572
Жыл бұрын
Mungu atubariki makamanda
@annakwathema8555
Жыл бұрын
Makamanda hi ni nzuri kwa kweli nawa pongeza Sana akina KP, Mbagwa ,Mwaisa ,Devi,na Haniu😁😁
@GehaziMetelii-p4m
23 күн бұрын
Mbn wamemalizia magongo tena
@ndimimaskati3641
Жыл бұрын
Hawa jeshi la akiba ndio watakao tumika kutesa watu watakuwa watu wasiojulikana.
@nikolaussanga5602
Жыл бұрын
Makamandaa monduli wako njemaa
@salummzee9739
Жыл бұрын
munanikumbusha mbali daaah ww acha tu,naumia moyo leo hii na randa na mtaaa
Пікірлер: 12