Nakumbuka kahama kwa mama njunju nikiwa na rafiki yangu kipenzi tukiuza nguo maeneo ya masanja vunjabei 1998. Alipenda sana kuucheza. Sitasahau RIP DEFAO
@samomnanka2779
4 жыл бұрын
Kama bado unaisikiliza mwaka 2020 gonga like twende sawa
@daimakamugisha9764
2 жыл бұрын
Kitambo sana hii nyimbo,gonga like kama umekuja kusikiliza baada ya kusikia kifo chake
@abdulkadir8777
2 жыл бұрын
If you're still watching this till now you're the really legend 2023 🇹🇿
@MawaPius
Жыл бұрын
Am a legend ❤
@edwardkabindo2565
8 ай бұрын
Mziki mambo mbaya
@TopQuality-br4ou
Ай бұрын
Where are you my people 😅🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@BENEDICTMHINA-pd1kr
11 күн бұрын
Sure
@RodgerLubinda-eb1cp
Жыл бұрын
This song was the national anthem in Zambia,I used to live near the bar, from morning to night,all was this song
@IbrahimIddiHemediSopaLodges
Ай бұрын
because of chez ntemba (suke chile ) from lusaka zambie
@rashidmaunga3068
5 жыл бұрын
Kumbuka mbali sana enzi hizo unafukuzia gari ya matangazo
@mbyfree1
5 жыл бұрын
Inanirudisha Dar es salaam Tanzania mwaka 1998 chez ntemba bar kinondoni hananasif,what a memory
@almostcomic
3 жыл бұрын
Aisee wewe ni muhenga sana
@othumanlorenzo260
2 жыл бұрын
@@almostcomic cheztemba Kwa abasi cheztemba, huku sterio bar ikiwa active
@othumanlorenzo260
2 жыл бұрын
Ally kilinda Yupo kijana kabisa, goerge rush dj wa moto,kaka yake tid moody punk ndo karudi
@huseinmkwanda7562
6 жыл бұрын
Yaani hiyo kolza baba inanikumbusha mbali sana, yaani hata kama cna pesa mfukon nikiisikia tu huwa najihic tajiri
@joffreymkengwa9307
6 жыл бұрын
Hii ngoma hatariii mnoo...km namuona bi mkubwa hapooo!! 1999
@skynerabdulkadir6098
2 жыл бұрын
😭😭😭😭 dah!hii nyimbo inanikumbusha mbali sana,wengi tushawapoteza akiwemo mama yangu kipenzi,....nani anausikiliza 2022 plz!!!!?tujuane hapa
@ericasamwangwa6671
Жыл бұрын
Aisee mm apa
@fediliaulomi4969
6 жыл бұрын
du nimekumbuka mbali mpaka nimelia kitambo sana natoka moshi na mtoto wa miaka 3 sasa ivi ana miaka 23
@husseinmkakile9206
5 жыл бұрын
that was 1996
@alexsanga9849
4 жыл бұрын
Nakumbuka hii wakati huo nilikuwa Mkwaja pangani. Maisha ni siri kubwa sana
@hereisdadie1181
9 ай бұрын
2024 LET'S GO 🧖♂️
@margerithapaddy3157
Жыл бұрын
Pumzika kwa amani Baba yangu mzazi Hayati Dominick Mholele Mtanzania Mwenye Dodoma Yake muda ulikuwa mtu mwema
@hasbaally7379
6 жыл бұрын
kutomb......bureeeee ukifika masasieeeee nouma sana hiyo ngoma
@rabiakhalifa4885
5 жыл бұрын
Nakumbuka wakati tunamaliza darasa la saba kwenye tulifanya sherehe hii nyimbo ndo ilikuwa nzuri balaaa,jaman zaman rahaaaa sana
@keminchawhite1809
Жыл бұрын
Tukopamoja sana
@annelutomia1728
5 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana na wenye mafunzo mengi pia. Sauti na mpangilio wa ala za muziki safi sana.
@rubenjohn1826
5 жыл бұрын
rispect defao
@elsonmachaobed6450
3 жыл бұрын
Huyo ndo Le General Defao yani usipime!
@kafirsantana8631
2 жыл бұрын
Kuna gitaa la umeme linapita chini hapo.... Ni shida.
@mwitasamwel7972
6 жыл бұрын
Inanikumbusha natoka Moshi 1998 iko na moto wake . bonge la songi
@anisetnyaki750
7 жыл бұрын
Nimemkumbuka Mbali Sana. Hii Nyimbo Has A Good Memory With Me.
@simbamiliki8701
7 жыл бұрын
I remember Lusaka, Monze and Livingstone Zambia. Those days I was very young boy, my first trip travelling Africa alone
@tsholofelojackson1148
6 жыл бұрын
Wow
@rubenjohn1826
6 жыл бұрын
ngoma nimeilewa enzi hizo
@risalaiddi8044
4 жыл бұрын
no shida yaan
@manasemwakilasa5931
3 жыл бұрын
Inanikumbusha kwenye harusi ya Dada ang japo nilikuwa mdogo niliinjoi
@johnkatabi9793
4 жыл бұрын
Huyu mzee nmegundua ni kipaji sana
@BENEDICTMHINA-pd1kr
11 күн бұрын
Inanikumbusha loooong Time back memories za zamani zinapita kwenye 🧠 yangu
@Lucie1234ful
5 жыл бұрын
Huku wananiowa kila mwezi na pesa ya kikwembee hahaha
@suleimanjokoro
4 жыл бұрын
Nimekumbuka MBALI Sana!😭😭
@omaryswalehe1225
Жыл бұрын
wimbo huu naukumbuka sana kwani hapa nilikua ndio naanza kazi CRDB BANK PLC yaani mwaka 1999. Huu ndio ulikua wimbo unatamba sana pamoja na nyimbo za Awilo Longomba Coupe Dibamba. Rest in peace General Defao
@highlamvictor8024
5 жыл бұрын
wakati huo umekuja tzd unapiga live pta sabasaba duuu
@rotilams2580
6 жыл бұрын
Thank You for uploading! Have been searching for this song for 20 years. With the money My dear Mother left when she died, i went to Africa. I bought a mix tape in mombassa. This track was on iT. When i was in Zanzibar and song iT all the people sang iT along. Great memories. Lost the tape and have been searching ever since. Thank You! God bless You!
@mussalwila9951
6 жыл бұрын
R.I.P my mate Ernest this song brings me back your memory I miss you so much
@mtembaog6967
6 жыл бұрын
Pole sana kaka
@damianmsagara4055
5 жыл бұрын
Duu sina LA kusema juu ya hiyo ngoma
@amanikalembe7736
3 жыл бұрын
Pole sanaaaa Mussa
@mbilu348
3 жыл бұрын
pola sana musa
@emmanuelomindo2136
2 жыл бұрын
rip Ernest
@georgenyamongo4622
5 жыл бұрын
Unaikalia tu politik, kazi hautafute...watoto takula nini?
@mohamedmrisho6768
7 жыл бұрын
Doh!! Kweli nami nipo kwenye orodha ya wahenga,,,, nakumbuka mwaka 1999 nimemaliza darasa la VII
@georgeanthony1547
6 жыл бұрын
duh hatukufanya graduation mwaka huu nyerere mwaka huu
@amirmwiganege2565
6 жыл бұрын
Dah mwaka mmoja wte
@rubenjohn1826
6 жыл бұрын
Inanikumbusha mbali sana
@rebmannyange4783
5 жыл бұрын
Pamoja mzee baba 1999
@mosesnyirenda6359
5 жыл бұрын
Pamoja sana, STD VII 1999
@irenekimaro8934
6 жыл бұрын
Jamn song imeukonga moyo wangu
@kafirsantana8631
5 ай бұрын
Imagine kuna watu wanaamini muziki ni haramu
@timonijoel4578
4 жыл бұрын
Tuliikalaga pamoya...très interessant...
@elkiasmaseka635
5 ай бұрын
Was born in 1993...grew up listening to congo music...even 2024 I'm still vibing to this music 🎶😀🙌👍
@richardmelamela3002
Жыл бұрын
My best song it reminds me of those days when I was fundraising money to get me in college operating with my uncle 's canter going to kashikishi and all around Zambian. Days to remember
@goldenkapolyo5672
Жыл бұрын
RIP my brother Friday bwalya kapolyo this song reminds me of you umweo wenu utushe muchibote😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏God why????
@DettiKapalu
Ай бұрын
So sad old days are gone when we used to enjoy life in Lusaka
@olivierkassapu3703
Жыл бұрын
Je suis general Defao. Rip mon general 😫😫🙏🙏🙏
@issakassabe1669
6 жыл бұрын
daah mbali sana wakati mjomba wangu muhidini kapata mke wa Kwanza
@BENEDICTMHINA-pd1kr
11 күн бұрын
Leo ndio nagundua kuwa aliimba, njoo kwa kulee eeh ntakupiga masasi eeh
@kuduramohamedi6036
7 жыл бұрын
nisikilizapo izi nyimbo ufulai sana ujisikia buludani kumtima wangu asante aliyee vumbua sm izi kwani vitu vitamu kama ivi tungevikosa kwa sasa
@lagosimon2764
4 жыл бұрын
Hii ngoma kwangu inatengeneza kumbukumbu kubwa sana sana
@matunduraray1174
4 жыл бұрын
Unakalia tu kwa mziki kazi utafute the famous line my late friend Ayuka used to like great memories those were
@amriamraan2612
Жыл бұрын
Unaikalia tu politiki asubuhi yote na Mapema kazi hautafuti tutakula nini?
@samsonmuhongya-eu3rd
4 ай бұрын
Oooh! Finally, nazui nzembo oyo ! 😊👌🏾👌🏾💖👏🏾
@denisbyarugaba94
7 жыл бұрын
nimekumbuka mbali miaka ya 1999 nikiwa dalasa tano
@davymuwowo
6 ай бұрын
My favorite defao and suke Chile 1999 in Lusaka Zambia
@oscarmweemba2595
5 ай бұрын
Wooooh, this peace of Muzik gave me a sleepless night some time back,
@stevhomumba3664
5 ай бұрын
Am here ❤❤❤ that's when I was 10 year's old 🔥🔥🔥🔥
@georgeosodo616
6 жыл бұрын
Kila saa na rewind ikiisha..
@fbensony
2 жыл бұрын
RIP My brother Captain Joo Mwamfupe this was one of your favourite song 😭😭 najiandaa kwenda Meta Secondary unaipiga hii nyimbo
@geja8708
2 жыл бұрын
Kiswahili kidogo safi kabisa
@cvanoedward3093
3 жыл бұрын
2021 Bado inakonga nyoyo General Defao fireee
@EMMANUELMUSOKO
Жыл бұрын
RIP Général Defao. Tu as marqué mon enfance !
@lisachanda7389
Жыл бұрын
I was very young by then.
@furahasibonike5981
9 ай бұрын
2024🇹🇿
@usariver
3 жыл бұрын
My RIP Straton Mushi 1998
@bantukauky5408
7 жыл бұрын
duh. kitambo sana I remember this song
@haggaiMambenka
6 ай бұрын
Am 1 of Rhumba Muzik from way back,back into Time ❤
@fikirimadalali7555
Ай бұрын
Inanikumbusha zamani sana 1998...Bumva Kahama
@dottowaziri1896
2 жыл бұрын
HII NYIMBO NAMKUMBUKA MAREHEMU MAMA YANGU JAMANI NAZIPENDA HIZI NYIMBO KWA SABABU YA MAREHEMU MAMA 😭😭😭 NAISIKILIZA LEO 13/9/2022
@rigobertsamweli8244
Жыл бұрын
Duh, nakumbuka mwak 1999 hapo nipo darasa la pili, tunaambiwa Kwamb mwaka 2000 ndio mwisho wa Dunia,
@magotomoses2539
Жыл бұрын
Huuu mziki uwa unaniamsha balaa
@kaitaramadan6340
2 жыл бұрын
Oooh kolza unaikalia tu politic asubuhi yote na mapema kazi haitafuti
@kennedysoko2243
10 ай бұрын
Suke Chile❤....Atansio..
@mugishasudi911
7 ай бұрын
My favorite song Defao and Suke Chile
@geophreylusekelo
2 жыл бұрын
Daaaa ya kale dhahabu .....Asante kwa wimbo huu .....
@minyarothomas8167
4 жыл бұрын
Generale defao kwenye ubora wake
@mtuwagreen7076
5 жыл бұрын
nakumbuka hii ngoma enzii hizo nipoo dogo
@fatmaismail1362
6 жыл бұрын
Sitaki tena posa kama nikuoa oa mwingine..naipenda vibaya hii nyimbo jamani tangy sijaanza hats shule ya msingi mpaka leo nazeeka...2018\02
@mbyfree1
5 жыл бұрын
Na sisi tutasemaje?
@mussamakuru1254
5 жыл бұрын
Iko poa sana
@mussamakuru1254
5 жыл бұрын
Iko poa sana
@winfredmwewa-ph6sk
Жыл бұрын
I remember those days when I was with my father r.i.p until we meet again on the other side 🙏🙏🙏🕊️🕊️🕊️
@saadahallykilongo9429
3 жыл бұрын
2021 who listens to this again memories
@samuelmutobola-ek8uj
Жыл бұрын
Miss my elder brother. Really loved this song.
@essaledesigns6475
5 жыл бұрын
This song reminds me of my young late brother Steven malekani banda RIP
@mtemagingile
4 жыл бұрын
Pole sana kaka
@DavidStone-ho9bg
2 ай бұрын
Just I love it because it remember me the last moment and advise of the life I appreciate it
@kakomakapusu471
4 жыл бұрын
i recall way back when this song was released my uncle jenga jenga he used to dance alot 1999
@LinusLembeni
5 күн бұрын
Huu wimbo binafsi unanirudisha mbali sana miaka ya 96 kuja 2000s
@AbubakarAbas-g9r
Ай бұрын
Kikwembe moya kushona kushonenelea
@moodymoody9108
3 жыл бұрын
Longe time ago ..... No cd, no flash ni mwendo wa tape unarewind na pen
@shabaniyahya6358
2 жыл бұрын
We shall remember Defao. R.I.P
@musoledouglas3703
Жыл бұрын
Legendary music, i looked for this song till i found it. Memories indeed💪🎵🎶
@saviourchikwekwe6984
10 ай бұрын
Great by Suke, still listening to the song.
@credomatembo1711
4 жыл бұрын
Unaikalia tu politic asubh namapema yote kazi hautafuti utakula nini.??? Hatar sana
@burhanipetekwa6572
2 жыл бұрын
Asubuhi na mapema, Birika ya chai ya maziwa pamoto Najenga mwili wangu. ...... Usifike kwangu uuh Kolza baba Kwani ni wewe mwenye kunifukuza kwako ooh Sasa wananioa unaniona nakuwa mzuri Unakuwa unanifata fata fasi yote.. Ooh ooh oooh Oooh mpenzi
Пікірлер: 219