Hakuna Rais atakuja kutokea kama Jakaya Mrisho Kikwete bana, maisha yalikuwa mazuri Sana. Mungu akupe maisha marefu na Afya njema, mtu unaemtukana Kikwete yaani huwa namchukia sana.
@YaaMnyad
Жыл бұрын
Sana tena sana....
@ManPro-ng3op
Жыл бұрын
Ww kikwete noksi mm nakuombea uishi mirere na mungu akuzidishie uzidi kuwa kibalaka wa mabebelu
@sharonkamau6789
2 жыл бұрын
Huyu mzeee anae history ndefu Sana nampenda San
@theresiakahamba5014
10 ай бұрын
Jeshijeshi
@Marjeby
Жыл бұрын
Jamaa ni bingwa sana wakusimulia aiseee
@MakameAbdallah-wn3hc
Жыл бұрын
Chumvi nyingi ktk hii historia sikupenda utumiaji wa maneno kama CCM ilipoweza kuzaliwa.
@rithersospeterkati2303
Жыл бұрын
Amen Amen. Nimekuelewa.
@jumbekipeme1441
Жыл бұрын
Kaka murisha jakaya murungu akuzidishie miaka Mia Kaka yetu cheye chokupenda sana. Wana msolwa
@richkinji2583
Жыл бұрын
R.I.P JPM 😭😭
@yusuphmarcelmasinde7263
Жыл бұрын
Mungu Ampe Maisha Marefu na yenye Baraka Kamanda wetu,Rais mstaafu huyo.
@nemakomba7670
Жыл бұрын
Nikweri kaka hhahha unajuwa alivyo kuwa kikwete mbaka ulikuwa unKota era saizi utaokota er wPi
@josephmakutano7067
Жыл бұрын
Wapinzani nisheria ndiyo iliwawekapale lakini kwaakili yamtu mwenye faili yamilembe akaleta balaa tz mpakaleo vurugu inaendelea tz bahati yetu munguwetu wahaki ametupigania,
@georgematayo4661
Жыл бұрын
Acha hizo ,hakuna kitu.hapo
@jumbekipeme1441
Жыл бұрын
Safi sana rositam
@joesimba
Жыл бұрын
18:50
@alihujjat5945
Жыл бұрын
Sayore alikuwa mkorofi sana ilibibidi tu babu akimbie uko monduli
@jumbekipeme1441
Жыл бұрын
Nie notangingwa jumbe saidi tatiyangu kotangigwa saidi
Yakawaida ayo watu waganga warisema atakae gombea na magu watakufa waganga hawo akuna jipya
@yasiniabdullah7180
Жыл бұрын
Acha ujinga hamnaga kama magu toaka hii nchi ianzishwe
@YaaMnyad
Жыл бұрын
Alikuwepo nyerere
@FrankKiondo-fq8hf
Жыл бұрын
Umezaliwa lini?
@ramadhanimtetu3656
Жыл бұрын
Hata Nyerere !!
@alfredymakuru8333
Ай бұрын
Ni kweli kabisaa ila demokrasia imepotea wakati wa utawala wake
@mochemba
21 күн бұрын
Huo ni mtazamo wako tu,
@nohagfgh-721
Жыл бұрын
Kikwete shetani mkubwa uyo
@ramadhanimtetu3656
Жыл бұрын
Hata wewe unaweza kuwa shetani tuu Kama unabisha Jichunguze
@aidanikomba6653
Жыл бұрын
Hana jipya, shobo tu nawazungu. Maneno mengi mkwele.
@anxyamiss908
Жыл бұрын
Story zako mzr Sana ila tunaitaji tukujue sula
@abdalahgunda1319
Жыл бұрын
Imefika wakati wa jakaya kikwetwe kuwa free mwana siasa ktk nchi na ndio aliobaki ktk taifa lazima awe mwenye busara ktk taifa abaki kuwa mshauri wa taifa alewe Hilo hata km ni mwana ccm kindakondaki bado anaitaji kuwa netrow vinginevyo jakaya kikwetwe anaweza kujikuta ktk mazingira magumu
@abdalahgunda1319
Жыл бұрын
Jakaya kikwete time is. Run out for difend ccm on different way what remain to jakaya kikwete now has to be netrow advise polition without boder if jakaya kikwete want his wisdom stay in place on jakaya kikwete as the former Tanzania president on Pablic of Tanzania this is the advice of fomer president jakaya kikwete diginity is to understand darection of Tanzania politics without dealy his hart disition
@CharlesMisungwi-f8t
Жыл бұрын
Vita vyapanzi furaha ya kunguru wewenaye nikunguru?
Пікірлер: 35