WanaKijiji wa Chalaluma kaunti ya Lamu wamekwama majumbani kutokana na mafuriko kwa wiki mbili sasa. wakazi hao hawawezi kutoka wala kuingia katika kijiji hicho huku Barabara zote zinazounganisha kijiji hicho zikisombwa na maji. . Rahma Rashid anaarifu zaidi.
Негізгі бет Dhiki ya mafuriko Lamu
Пікірлер