Hawa ndio watu ambao kila neno lao katika daawa zao ni dhahabu iliyo takata..Allah (s.w) Awalipe malipo mema na akatukusanye nao pamoja na mtume (s.a.w) siku ya kiyama....اللهم آمين
@mdoekibai3991
7 ай бұрын
machozi yanadondoka lkn hakunanamna zaidi yakukombeeni mashekhewetu kwa Allah awaafu inshallah
@rashidnyiro768
2 жыл бұрын
Mashallah bingwa uyoo mungu azid kulfanya kabur lake nimiongon mwa viwanja vya pepon🤲🤲
@nuhumohammed5307
Жыл бұрын
Mashalhaa mwenyez mung alitie nuru kabur lako sheh Mohammed bakar
@athumanzanangwa4477
8 ай бұрын
Mashaallah, Allah Akurehemu Sheikh!
@FarajiAbdallah-yw2wn
8 ай бұрын
Allah akurehemu sheikh wangu
@amiryrajabu7058
6 ай бұрын
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة
@saidikionda8808
Жыл бұрын
Allaahumma ghfirlahuu warhamhu waskanhuu fill janna allaah amhifadhi mwanawachuoni huyu
@ustadhisampakatema3812
2 жыл бұрын
Allah alinawirishe kaburi la sheikh letu..
@mudhihirinjonjolo5620
Жыл бұрын
Allahuma ghufirlahu warahamhu wa iskaanahu Fi aljannah
@SamiriAlly-ie8pq
Жыл бұрын
Mungu mpe pepo huyu mwanawachuoni
@husseintandala7316
Жыл бұрын
Mashaallah !!! Allah akuhifadhi mahala pema peponi inshaallah.
@babumsiha1573
3 ай бұрын
Mashallah
@mohamedally2692
Жыл бұрын
Allahumma ighfir lahu war hamhu
@abdulhida8291
2 жыл бұрын
Jazzaka Allah kheri.
@bakaryboka8242
Жыл бұрын
😭😭😭 Allah alitie nuru kaburi la shekh wetu
@allymchuzi5466
2 жыл бұрын
Allh amrehemu shekhe wetu kaburi lake liwe nimiongoni mwabustani ya janna
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Allahumma amiin
@mohamediddi5126
14 күн бұрын
Allah Akbar
@allaahumaswalialaamuhamad2825
2 жыл бұрын
Shukran Sana kiungiza
@allaahumaswalialaamuhamad2825
2 жыл бұрын
Mashallaah
@user-so8vt5hu7f
9 ай бұрын
Allahumma ghafrilahu
@salehemangoya8356
2 жыл бұрын
Shekh huyu kwa ukweli ni mashine kubwa.
@abeidmdimu5099
2 жыл бұрын
Mashine kubwa hyo fii waktihaaA
@SultanVilla-hi9os
21 күн бұрын
Fi wakthiii sio fi waktihaa
@jumarajabu5795
8 ай бұрын
Zikiru
@salimmbwana6926
2 жыл бұрын
Mtume (sw) lugha ya kiarabu anaijua zaidi kuliko cc bidaa haina nafasi ktk dini .
@alhamdulillahalhamdulillah7529
Жыл бұрын
Yaani midomo michafu ndio Muliojaaliwa
@omarymakange8449
Жыл бұрын
Anaijua sana ndo mana nyinyi mpaka leo hamuelewi vingi katika maneno yakee.. Kasomeni..
@banihashim5347
2 жыл бұрын
Watu bidaa bwana mnashida sana Yaani nyinyi hakuna ibada katika maisha yenu
@abubakarymaulidy5681
Жыл бұрын
Yani nyinyi mnaotukana mashekhe zetu wetyu hamnaga elim hata ya kujua nini maana ya adabu sku nikikutana na wewe lazima nikuchape ngumi fala wee someni fani huko mkaelewe elimu za wanaume achine umama
@banihashim5347
Жыл бұрын
@@abubakarymaulidy5681 sikiliza wewe mdogo hii ni dini, lazima tuambizane, Alafu nyinyi kama kweli mnakusudia dini mbona mashia hamuwasemi? Licha ya kumtukana mke wa mtume Bi aisha bi hafswa na sayyidanna abubakar omar uthman na wengine wengi Mbona hamuwasemi kama mnavyo wasema watu wa sunnah??????
@omarymakange8449
Жыл бұрын
Sio watu wa Sunnah nyinyi ni Mawahabi ambao mnaamin kabisa nyinyi na mtume ni sawa.. Hamna heshima kwa masheikh mpaka kwa mtume.. Kasomeni dini sio jazba..
@omarsakawa2070
Жыл бұрын
@@banihashim5347na nyinyi mawahabi hamzunĝmzi kuhusu kuhukumiwa na ukafiri,wala hamna da'wa ya kurudisha maisha ya kiislamu.mwaogopa kushikwa au mwaogopea mabwana wenu wasuudi kupenduliwa ufalme wao?
@kugotwa004
3 ай бұрын
Twakusubir ww sheikh uje utukataze
@saadmbaraqa5272
2 жыл бұрын
Shekh kavaa bangili
@kugotwa004
3 ай бұрын
Mbwa
@abdallahsaid1968
Жыл бұрын
Shekhe kavaa kembe
@saidichawa6397
2 жыл бұрын
😥😥😥😥😥😥
@user-tx1fx3lk7s
11 ай бұрын
ww ndo hurafi mana hukusoma.alafu mwatukana mashehe wetu.wamijua muhamadi.bakari.ww.uliosoma.siku.mbili.waijua.bidaa.ww.
@hilalihalfani7333
Жыл бұрын
Ilikua ni hadhara ya wap
@saadmbaraqa5272
2 жыл бұрын
Tatizo sehemu alipochukulia elimu ndio shida
@abeidmdimu5099
2 жыл бұрын
Sehemu aliyochukua ilmu Ina sanadi ya Elimu mpk kwa mtume Hakuna hoja ya mawahabi huyu mwamba hakujibu mpk Baraian akamkimbia
@abubakarymaulidy5681
Жыл бұрын
Weee acha ufala kama hujapendezwaa na simba wetyu huyu aliye jaa alimu kaa kimya acha upumbavu
@omaralyan9658
Жыл бұрын
Kweli kama usemavo lakan hyo elmu chache alopata, ww umepata ilmu gani?? Kwa sababu kumkejeli mwanachuoni ni wazi una ilmu ya debe
@omarymakange8449
Жыл бұрын
Dah Mawahabi nyinyi bure kabisaa
@adamjutto5849
Ай бұрын
😂😂😂 kufa na uongo wako@@abeidmdimu5099
@saadmbaraqa5272
2 жыл бұрын
Uhurafi umewazidi uislam migoma wap na wap acheni kuupaka uislam matope hayaingii akili zikir na aribain
@abubakarymaulidy5681
Жыл бұрын
Acha ujinga wewe una elim gan ya kuyatambua haya ndo maan hamna faani za kuelewa maneno
Пікірлер: 56