Nani husema mondi Hana sauti.. Rate that one Big shouts to mana chibude Kenya fully representing...
@Yocktan
8 ай бұрын
The first todays is me, bring to me likes plz guys, i feel proud every where to be 🇹🇿 ❤🎉
@njoroboihastla
8 ай бұрын
HILII PELE LIMEPATA MKUNAJII YAANI🙌🔥 ANGEPATA YULE JAMAA WA KARIAKOO ASINGE LITENDEA HAKII SIMBA NI MMOJA TU KMMKE!!!!!🔥🔥🔥
@Officialyussuf368
8 ай бұрын
Ww unaongea tu yan diamond kupafom zanzibar kweny shereh za mapinduz ndio unamshusha alikiba thaman yan unamshusha thaman mtu ambye kapafom kweny la African Football league au umesahau. Acha ujinga mpuuz ww.
@mancholotrasco8350
8 ай бұрын
Tatizo Hana vaibu @@Officialyussuf368
@ivankalisa9491
8 ай бұрын
@@Officialyussuf368mbona chibu pia nae kwenye tuzo za mchezaji bora wa africa aripga ya kiwango
@user-jq9rj4dm5u
8 ай бұрын
@@Officialyussuf368ukweli unauma...
@HamzaShocki
8 ай бұрын
😂😂mwanangu umeongea live
@JamilahMsuya-tm1xb
8 ай бұрын
Wapil leo kwa mar ya kwanzaaa big up brother D 🎉❤
@chusseboywcb2808
8 ай бұрын
Uko sahihi big chibu denga kubali sanaaa ❤❤🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥nakukubali sanaaa
@WetchiKhams
8 ай бұрын
Chibude chibudenga tunatambua mchango wako kwenye hii tasnia yetu ya mziki mungu akulinde baba ❤️❤️🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@AminaMgenzi
8 ай бұрын
Katutuliza mioyo Jmn kaimba kwa utulivu 🎉🎉
@ramadhanabdallah5251
8 ай бұрын
Mond❤❤❤ uwezo Tu. Majingamb wa Chie wanafk. Wezomb!
@kelementbushishi3687
8 ай бұрын
🙌🙌🙌
@tualibomomademomade5794
8 ай бұрын
Mozambique 🇲🇿
@paizinhosaide-cv9pm
8 ай бұрын
diamond platnumz🙌🙌🙌🙌
@HasaniHeneli
8 ай бұрын
Nakubali
@JohnMugatha
8 ай бұрын
❤
@mwanajumaraso4637
8 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@FestoReonadi-kq8kp
8 ай бұрын
Broo kila mtu anafanya anacho kiweza acheni uchawi Simba kauwa
@IbrahimBuhoha
8 ай бұрын
Kaua nin
@singlemama8682
8 ай бұрын
Watu na mm leo gonga like weweeeeeeeee333
@nagypromsafi
8 ай бұрын
🎉😂 OK 🙌🏾
@SHARAZATI
8 ай бұрын
😮😮
@DavolineKilassa
8 ай бұрын
Huyu mwamba ni levo nyingine daaah
@mohammedmohd6834
8 ай бұрын
Dkt mwenye mung ndio atakulipa kweli
@DivineJoaoByemba
8 ай бұрын
Shoo kali
@user-kb2mw2oh9z
8 ай бұрын
Jamaa anajua kabsa
@DivineJoaoByemba
8 ай бұрын
Nakuoma hamiri noon nanhupo
@RodgersValencia-gu3dg
8 ай бұрын
Keep its up
@KwizerJackson-is7fh
8 ай бұрын
Nikwri diamond ni simba hawamuweji
@TopTop-vo6pe
3 ай бұрын
❤❤
@barikilangoy4737
8 ай бұрын
Diamond kama cr7 kavunja sheria ya nchi kuingia na msuko
@@vincentmushi1247 wakikamata tu ndio utakua mwisho wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar, angalia Saudia Arabia hurusiwi kuishi na mwanamke kama hujafunga ndoa lkn cr7 kaingia na demu ake nchi imekaa kimya,
@vincentmushi1247
8 ай бұрын
@@barikilangoy4737 😄 🤣 😂 si matani Umetisha ...eti mwisho wa muungano Na waliomkamata ni lazima wafungwe ...
@azimioalbertongellangella8970
8 ай бұрын
Wanaume kusuka Zanzbr ni kosa la jinai ila Wee Zombie kaingia na msuko😂😂
@MoneyKey247-fk4oy
8 ай бұрын
Simba anakubarika mpaka nawaweka hizo sheria
@shabanlyally6467
8 ай бұрын
Yan hamna hata vibe anaongea sana
@user-jq9rj4dm5u
8 ай бұрын
Wacha uteam we Roho za korosho zitakuua...
@FatumaIssa-w1s
8 ай бұрын
Ungetakaa vibe ungeeendaa uwanjani ushuudie live sio kwenye iko kitecno na mb za jero
Пікірлер: 80