Diamond Platnumz mungu amuweke sana, najifunza vitu vingi kutoka kwake watu kama Diamond wapo wachache sana Dunia
@MtuSafi
Жыл бұрын
Hii mipango mzee hao tamthilia yao itakuwa inaruka hapo daah hata hujajiongeza hata story zao.
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
Ndy mmbo mnayopenda nyie
@mahmoudkhamis8638
Жыл бұрын
Mbona ye hajapatana na ali kiba,harmonize,ruge mpaka kafa hiyoo ni kiki tuuu
@saidimafu9524
Жыл бұрын
@@mahmoudkhamis8638 sasa ruge sindio alikataa kushilikiana na diamond mambo yakipesa alitaka harmonize akapafom bule ikunachabule mondi asinge mpinga ruge leo hii asingeweza kuwa mkulugenzi wa wcb nayeye kuwa na brand ya media
@issazalala4907
Жыл бұрын
Nickson amka Kaka hakuna bifu hapo Ni Kiki ya umbambamba SASAivi inalushwa wasafi 😂
@manpower7006
Жыл бұрын
Dah! Kuna watu wamejaaliwa Maa Shaa Allah, Simu kupigwa tuu Bw. Samofi alietaka kupigana Sura ya bashasha ikamjia na yeye ndo alikuwa anatamani sana Mkojani asicheleweshe huo mkono ili waende ofisini kuzungumza masuala ya biashara na upatanishi. 😂😂😂
@hamisishirikisho2199
Жыл бұрын
Wallah katika hili Diamond nimekukubali kaka.Mwenyezi Mungu akuweke na akuzidishie palipopungua.ww ni mfano wa kuigwa. Wanaokuharibia ni hao machawa kama H.baba na wenzake tu. In fact ww ni mtu ambae you real deserve to be exceptional. Allah akubariki kaka Nasibu.
@chizashungu1236
Жыл бұрын
DIAMOND PLATNUMZ NI BINADAMU,ANAWASAIDIA VIJANA WENGI SANA.MWENYEZI MUNGU AMLINDE.
@aaa64sa13
Жыл бұрын
Ameen🤲
@donlinechanell4760
Жыл бұрын
Hili sio la kwanza diamond bana anajitahidi
@mwanatalenttv
Жыл бұрын
@@aaa64sa13 😃🔥💰
@drickferaman3453
Жыл бұрын
Daaaah acha tu man ... Mwenyewe nimemkubali kinomaaa yani
@rewardnjau7220
Жыл бұрын
hii chemistry ni hatareee, yaan mkigombana mnachekesha mkipatana mnachekesha🔥🔥🔥🔥
@-cv4qk
Жыл бұрын
😅
@ahmedsaadoun7541
7 ай бұрын
Hili jinga
@adoniusalfred4997
Жыл бұрын
Daaah kweli ata mm combination ya mkojan na samofi niliielewa asante diamond kwa kuwaweka sawa na kumaliza tofauti zao wapige kazi pamoja.......utabaki kuwa juu mawinguni chibu dangote
@HalimaHalima-id2cb
Жыл бұрын
Samofi tulia bhana una fujo kwann mnagombana sisi tunawapenda sana mkojani samofi kwann mnagombana❤❤❤alhamdulillah mmepata alhamdulillah tunataka umbamba undeleee
@Laka_009
Жыл бұрын
Dah diamond apewe heshima take kwani ni msanii na piah ni mpatanishi ... Mungu ampe baraka tele
@johnmunyoro4428
Жыл бұрын
Mimi ni mkenya tazania nimeushi miaka kumi mikoa yote. Nachokipendea watazania ni watu roho safi na hawahifathi hasira na chuki moyoni mwao.tofauti na sisi wakenya na ichi kumi na tano nimeishi. Kwa Kwa kweli watazania ni mfano wa kuigwa.
@com5766
Жыл бұрын
Diamond naomba umsaidiee na zimwii muigizaji wa comedy Anaumwa moyo 🙏🙏🙏
@mariodattany
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@adikwelatv4694
Жыл бұрын
#simbaaa_ 🙏🙏🙏🙏😭
@nickalreadyknows
Жыл бұрын
Why diamond wewe pia waweza msaidia au hujaguswa
@Bittertruth-u4n
Жыл бұрын
Serious?
@hclever7731
Жыл бұрын
Why everything is diamond platinum,,?? Why not you,,?? You can,,,
@MichaeliSimwinga-xw1lj
Жыл бұрын
I'm proud of u brother kwa iki ulichokifanya Leo diamond umenifanya nijifunze kitu kikubwa sana kutoka kwako hakika hekima ya mungu inakulinda
@Sunshine0222
Жыл бұрын
Diamond MUNGU akuweke jmn 🙏🇹🇿
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
Ameen
@ramahramah3940
Жыл бұрын
@@rehemaothman2475 p⁷0
@ericsangasa9872
Жыл бұрын
Napenda kukushukuru sana mdogo wetu Diamond kwa busara zako kulichukia hilo jambo la hawa ndg zetu na kulifanyia kazi naamini kwa kudra za mwenyezi mungu limekwisha salama .....amen
Respect platnum brother, nakubali sana kwa hilo pia umejiongezea nyota kwa ss mashabiki zakoo, 💪💪💪#simbaaa_
@alhimnamussasaid3619
Жыл бұрын
Hakuna chochote hiyo ni mipango ya mda mrefu
@dullodullodullo686
Жыл бұрын
Kiki ii ndugu so kweli walikuwa na kitu chao cha kurusha wasafi TV umbamba ipo uko
@anicethpeter3100
Жыл бұрын
@@adikwelatv4694 ĺĺllĺĺĺlllllllĺ
@happystephano2307
Жыл бұрын
NIMEIPENDA❤Interview ya kwanza kuipenda hapa. DIDA UMEUPIGA MWINGI. ipo kwenye records ever😘😘😘😘😘
@ilhammohammed4192
Жыл бұрын
Diamond anaakil sana yaan ni mdogo sana na anapenda Amani pia namkubali sn MUNGU amubarik sana
@pascalmaganga7013
Жыл бұрын
Simba mturize hamo
@FakihiNapunda
Жыл бұрын
Hope kipindi kitakuwa kizuri sana! Kongole wasafi 🙌🙌
@deejaymatiangi5063
Жыл бұрын
Namshukuru sana #diamond kwakua na roho ya utu kuwapatanisha ndugu zetu lazima #umbambamba uendeleeee
@johpadimbe2469
Жыл бұрын
Diamond ni Atari sana aiseee kkkk Mungu akulinde Simbaaa
@MOTHERFLOWERS385
Жыл бұрын
Hawa jamaa ni maentertainer mashalah ❤❤❤🥰🥰🥰
@eliaskahory7116
Жыл бұрын
Achen njaaa Wasenge nyie Fanyen kazi
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Hii interview ina baraka sana na Mungu atawazidishia wapatanishi hasa ukizingatia huu ni mwezi mtukufu mwezi wa toba mwezi wa amani na upendo, Nasibu Mungu akuzidishie na akulinde na kila baya tunahitaji watu wa aina yako ili kuongezeza chachu ya mafanikio kwengine maana wakifanikiwa wao nyuma yao kuna watu watafaidika pia.
@Jokajoka255
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/1muinXWGiqd2ioo
@ireneshao7950
Жыл бұрын
Diamond Mungu akubariki sana
@Sulesalim111
Жыл бұрын
Huyu ni Simba kweli kijana mwenye roho safi mpenda amani na maendeleo that's why unafocus na life. Big up my brother Diamond kwa kupatanisha mkojani na samofa sisi ukuaga mashabiki wao sana so tunafrahia tukiwaona pamoja
@nassjr6566
Жыл бұрын
Apnd aonekane tu han llte
@josephmugala1970
Жыл бұрын
Siyo Simba ,saizi Anaitwa Utopolo manala. Tunamshuklu sn kwapatanosha Hawa vijana.
@hansmshana6514
Жыл бұрын
Y
@felista5107
Жыл бұрын
Ameshindwa kupatana na bake mzazi anapataje ujasili wa kupatanisha watu
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
@@felista5107 Ww ndo mama yake mzazi 😂
@silasila3111
Жыл бұрын
Kwa kweli nime furahi Sanaa kwauchari wa Simba 🦁🦁 mwenye mungu aku bariki
@YamunguYb
Жыл бұрын
Nimependa hapo kwenye Kupeana mikono Da Mnatutesa Shabiki wenu Aisee
@wadhhasuleiman2621
Жыл бұрын
Hizo zote ni plan
@johnbernad3990
Жыл бұрын
@@wadhhasuleiman2621 umeona eeh 🤣🤣
@mussamtupa
Жыл бұрын
Diamondi ndio maana unafanikiwa unamoyo wa ubinadam sana Mungu azidi kuku Linda
@issabaraka2404
Жыл бұрын
Diamond platnumz kweli huyu jamaa ni mwamba❤❤❤❤❤
@MtuSafi
Жыл бұрын
Hiyo mipango tu, wanatamthilia yao inataka kuruka hapo wasaf tv
@tumainkapongo5576
Жыл бұрын
Kwem masilahi ndo wanakuwa marafiki,🤣🤣
@bakarimohammed2796
Жыл бұрын
Maashaallah, kusafiana NIA ni vizuri sana..Allah akuzidishieni Upendo....
Peace Makers will see GOD....Diamond Platnumz will see GOD 🙏
@ramayonline2281
Жыл бұрын
Hongera sana Diamond Platnumz big up pia Mkojani
@hamisissa1115
Жыл бұрын
Daaa wasafi mungu awabariki kwa hili
@samueledward109
Жыл бұрын
Big up platinumz naipenda sana hii inaonyesha dhahiri kwamba unapenda amani,amani ya Allah iwe nawe bro ajantar from mombasa kenya.#one love
@joanesasalavaleriano9980
Жыл бұрын
Nimependa sana Wasafi NDIO Baba🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿
@luckkaserekadancer6832
Жыл бұрын
Diamond plutnumz congo tunaku fata vizuri kwa upendo wako tanzania🇨🇩🇨🇩🇨🇩💥💥💥mnipe like tuende kazii🥰🤣🤣🤣🤣
@hamadlallana4888
Жыл бұрын
Kama comedy 🎉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 naomba like kwa mkojani gang
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@bwanabrainex433
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@elizabethforodhani2330
Жыл бұрын
Ninyi wasafi mngeacha tuone comedy live 😃😃😃
@hadjrahkhalfan3584
Жыл бұрын
Mkojanni kumbe msaarabu kiuhalisia kbs ila samofi ni mkorofi sna kusingekua watu hapo angevunja office yoote ya Wasafi Apo najua diamond atamalizan nao kwa kuwapa pesa hazoo za gari na kelele kwisha Mungu akulipe mondi wetu na akuzidishie riski kbsaaa🙏🙏🙏 Na mm nikigombana na best yng kesho tunakuja hapo hapo kwa Didaa😅😅😅😅😅😅😅
@hopesesilius6104
Жыл бұрын
Kuzulumiwa kunauma ndugu sio ukorofi
@esabelfadhili8432
Жыл бұрын
😍😍Hakuna kipind cha Dida kilichonipendeza kama hiki.GOD BLESS YOU WASAFI
@gmavoice1893
Жыл бұрын
The boss Diamond Platnumz Dangote simbaa we love brw. God bless U . Kaka..
Umesikia diamond kapiga simu unajichekesha chekesha #Mkojan wee huishwi vitukoo hah hah hah hah hah hah hah keep it up All of your #naseb,samofi and mkojan and hi ndo maana ya maturity sharaap kwako big chibuu
@mtzhalisi2232
Жыл бұрын
Hii safi sana ndio mambo ya kiume..mwenyezi mungu atawabariki sana
@mohammedkidody5618
Жыл бұрын
Mashallah mondi ww si msanii tu pia ni mpatanishi hongra sana mungu azidi kukuongoza🙏
@EricaEdward-zu1vm
Жыл бұрын
Wallah nimependa Diamond M.MUNGU akubariki sana 🙏
@jumachilumba6258
Жыл бұрын
Diamondi kakaangu nakukubali sana uko juu hakuna kama wewe
@fahadmussa8879
Жыл бұрын
Daimondi unajua kucheza naakili zetu nakukubari sana kaka uta shika sana vichwa vyawa2 miaka mingi kwako uspite bx bila kuweka like kwa Daimond
@drickferaman3453
Жыл бұрын
Tukupe like na unamnafikia diamond?
@Nikita_8017
Жыл бұрын
Mwezi mtukufu huu, Diamond is very peaceful guy
@emanuelathanas6613
Жыл бұрын
Hawa watakua na kazi inakuja hii ni janja janja watakua na project na diamond mwenyewe 😂😂😂😂 ngastuka. Kiki kiki kiki kiki kiki.
@ulicydickson6816
Жыл бұрын
Kiki
@desekepi
Жыл бұрын
Tuko pamoja na inamhusu Diamondi ndio maana either amewekeza au vipi 😂
@geahypertechsalesrepaircom4158
Жыл бұрын
Hii comment nilikua naitafuta....😂
@lilianmrope1598
Жыл бұрын
Diamond abarikiwe sanaa
@shakilsillah7497
Жыл бұрын
Look at those faces in the studio ,see how they have humbled like little kindergarten students ,funny to see how Tanzanians acknowledging Diamond like their tribal chief😂😂😂😂
@malianonicass7029
Жыл бұрын
Utakoma
@Thekidp3702
Жыл бұрын
Lmao only WCB workers and stupid fans ,Not TANZANIANS he is just a famous artist like others
@exclusive4528
Жыл бұрын
its their boss who pays their wages elewa hilo ww kilandage
@ms_teeonly
Жыл бұрын
You made my day 😂😂😂😂😂
@bongelabwana1940
Жыл бұрын
Lack of education 🤭🤭
@hawankya-rd7we
Жыл бұрын
The hug❤❤❤ God blesd you all
@user-ot2io4cy6w
Жыл бұрын
Daaah...!!! Kiukweli nimefurahi sana hawa watu kupatana kwa mara nyingine tena ila PESA NDIO KILA KITU.
@happykimodoi1528
Жыл бұрын
diamond mungu akupe maisha marefu
@IrenMushi
8 ай бұрын
nakuombea sana mungu simba wetu ❤uendelee kuishi🎉🎉🎉 mungu akubarik
@emanuelandronicus2574
Жыл бұрын
God bless you for reconciliation of this chemistry 💪💪💪🙏🙏🙏
@gloryminja8426
Жыл бұрын
Safi sana nimefurahi dada dida mungu akubariki umepatanisha na diamond mungu azidi kumpa uzima
@gloryminja8426
Жыл бұрын
Me natamani kufika wasafi ninajambo langu nifanyejee
@allymohamed3588
Жыл бұрын
Ni watu wå chache wenye moyo hiyo Allah akuwek diamond platinum na utabaki kuwa Simba m1 TANZANIA 🙏🙏
@felista5107
Жыл бұрын
Ama mnapaka mafuta kwamgongo wa chipa na uyu mond wako
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
Mkojani Namkubali Sana....kwenye kazi zake...siku zote kwenye Riziki Panachangamoto zake....Mkojani Allah Atakulipa In sha Allah....malipo ni hapa hapa Duniani.
@ChuxDaniel
Жыл бұрын
Ila uyo manager wa mkojani ndo anaonekana kumfanya mkojani awe mtu wa ovyo ko kama kunauwezekano mkojani abadilishe to manager maan nimefwatilia nimeona kitu juu ya manager sio mziri
@famionlineapdates9371
Жыл бұрын
Nimeiona hio huyu manager lofa
@MamytoMaya
10 ай бұрын
Lkn na samofi htk upuuz ht kdg 🙌🏻
@teedullah5708
Жыл бұрын
Mashallah mondi munqu akujaze
@timetravellor5367
Жыл бұрын
Diamond ubarkiwe na Mungu akuongoe umefanya jambo best kabisa
@abrashizorashid117
Жыл бұрын
Amazing show
@HafidhiMustapha
4 ай бұрын
Dah vizuri sana mond kumbe we ni mtu wa watu kwa namna frani👏👏👏
@habakukiephes-ld8rd
Жыл бұрын
Proud of you brother Mkojani
@timetravellor5367
Жыл бұрын
Mkojani Yuko sawa ila uyo Samofi kama demu anapanik kijinga tu
@maryjonh311
Жыл бұрын
😁😁😁mmbuyu tena jamani.pat to jamani
@latifsahib7110
Жыл бұрын
Well acted. Well acted......
@mhandobakari5827
Жыл бұрын
Hii ni KIKI ili UMBAMBA inakaribia kuruka LIVE WASAFI TV. Hii ni kutafuta AWERNESS tu
@robert4g189
Жыл бұрын
ni mawazo yako
@kingxtar02
11 ай бұрын
Finally, though nmechelewa saaana kucoment ila nmepitia comment kalibia zote na nmeona jinx mashabk tulivokubaliana na Kaz nzito hii ya WASAFI media under SIMBA him self Asee niseme 2 sna Cha kuongeze maan vyote vmesemwaa Hakka mnathawa yenu kwa mwenyez MUNGU
@ismailsundaylumulaabwalalu357
Жыл бұрын
Kama ni comedy naomba like na kama ni real diamond big up umecheza brooh
@geahypertechsalesrepaircom4158
Жыл бұрын
I was looking for this comment 😂😂 nime scroll mpaka nimeipata...kuna kitu unaweza nielewa hapo
@sidegrenade2043
Жыл бұрын
Good bro mkojan na bro samofi ugonvi hauna maana m niwapenda sn na nimefrahi sn nimpongeze bro dimondi kwa kuwapatanisha Ramadhan qarem Ramadhan mubark bro dimond
@dullahmohamed-xu7yg
Жыл бұрын
Usiombe kiki iandaliwe na wasafi unaweza jua nikweli kumbe kunakitu wamekiandaa cha kikazi zaidi
@kalistotv8795
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂chezea wasafiiii
@J4UPro
Жыл бұрын
Mwamba Diamond namkubari sana
@williamdungumaro6668
Жыл бұрын
Mkojan anafel
@umarrashird5009
Жыл бұрын
Kumbe mkojani ni mtu msitarabu sanaa
@SufoWazir-s4q
5 ай бұрын
Na hapendi kuingiana maungoni kabisa
@ashaathumani3983
Жыл бұрын
Bora wapatanishwe,ughomvi hauna maana ktk maisha haya, hao ni mastaa, tunategeme kuiga mazur kutoka kwao,,,dida mwanang nakupenda sana uko makin n kazi yako, nakuombea uzid kuupiga mwingi,,naitwa mrs kunzugal wa mtwara
@Mku-wa-waku1
Жыл бұрын
😊😊😊😊😊Samofi chizi kweli.
@jamesjameswisdomtz1577
Жыл бұрын
Diamond platnumz mwezi mungu azidi kukubaliki wewe Ni mtu mwema Kwa watu
@kadito-o3j
Жыл бұрын
NAKUBALI WANETU KISA TU GAME LETU LIAMKE WAZIII MORE LOVE ❤
@jafaninyambaro6552
10 ай бұрын
Naomba mungu amtie nguvu diamond nakupenda sana pia endelea kua na moyo huo napatikana kigoma wilaya kibondo pia mungu awatie nguvu watangazaj
@omarsalmin8405
Жыл бұрын
😂😂😂yan awa mambo yao ndo yale yale kama wanaigiza
@fathimamct232
Жыл бұрын
Anamuonea choyo mkojani kwa sababu mbambamba ni tishio Mimi nahisi samofe katumwa Aiharibu mbambamba isiendelee ushauri mkojani mchukiwe Anko Zoumo Ili uendeleze mbambamba pale ilipoishia zumo Anafaa sana kulikava sehemu ya samofe jina Atumie hilohilo mpaka iishe jina Samofe hivyohivyo
@kibovunjabei984
Жыл бұрын
Semaa samofii kwenyee hii interview amekuwaa Hana usitarabuu
@mohamedrashid9035
Жыл бұрын
Umbambamba inacheza Live wasafi
@kabandilwafariala6093
Жыл бұрын
Ugaigai na Umbambamba unaendelea mpaka kwenye studio ya Wasafi FM😂😂😂
@فيصلالبادي-ح1غ
Жыл бұрын
Kama wamepagwa kujionesha kua wanajua kupatanisha mh
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
@@فيصلالبادي-ح1غ unachukulia kila kitu negative Tu? Watu hamnaga shukurani?
@MichelBingiclinton
Жыл бұрын
Muacheni uvugu vugu ku chaîne yetu munajuwa mimi ni fan wa wasafi kutoka Kinshasa Congo , mupatane kwa kimia
@officialfadhilomar5249
Жыл бұрын
😂😂😂kuna watu wanadhani ni kwelii... hii nimipango guys....
@mhandobakari5827
Жыл бұрын
Hii ni script kabsa sisi madirector tunaelewa 😂😂😂
@MtuSafi
Жыл бұрын
Wakazi oooh diamond mwamba wakat huu mchezo tamthilia yao inataka kuruka wasafi tv
@finiaskalist747
Жыл бұрын
Kabisaaa😆😆😆
@chizashungu1236
Жыл бұрын
MAWAZO YENU SIKU ZOTE NI POTOFU KAMA WASANII WENU WALE MJOMBA NCHUMARI NA WENGINE.HUYU NDIYO DIAMOND PLATNUMZ RIDHIKI ALIYOPEWA NA MWENYEZI MUNGU ANAWASAIDIA NA VIJANA WENZIE.HONGERA SANA DIAMOND PLATNUMZ. NA MIJITU MICHACHE YENYE ROHO MBAYA ICHAPWE MAKOFI NA ALLAH.
@khalididaudi7229
Жыл бұрын
Tulia shekh😂
@benjaminhardwork9355
Жыл бұрын
Diamond mimi nakukubalisana huwa watu wanao kuongea vibaya wanakufahamu wanaokujuwa nawanakuongelea mabaya niwatafuta maslayi yao. Ila ukweli wanaujuwa.kweli nafulahi sana jisi wewe bwana mdogo unaokutanisha wagombanaji pia kikuu unawatafutia mema ili mzidi kusonga mbele kwakusaidizana kibiashala.huo ndio utu.atakao ona hii video ndio atajuwa Diamond ninani.Asante tunawafatiliya vipindi vyote kutoka Canada 🇨🇦 Vancouver pia tunasema kalibu sana bwana mdogo utubuludishe tena.
@ShokiRamadhani-qq3ds
Жыл бұрын
Hawa watu ni comedy tosha hawatakiwi kuachana yani hii interview nimecheka sana,Mungu awasimamie
@zamidually744
Жыл бұрын
😂😂😂 ukiskia tu diamond mambo yanakaa sawa dah!! Mungu atupe nn tanzania jaman tusemeni tu allhamdu lilah e mwenyez mungu kwa kutupa diamond mungu kampa rizk afu pia ni daraja la watu wengi jaman 🙏🙏🙏🙏😇😇😇😇
@kenusmasingo4651
Жыл бұрын
Hongera kwa Simba ila, Samofi punguza hasira za kitoto
@saidmushehe
Жыл бұрын
Sikua nimeona...nimeona nimeinjoy sana ....Hawa watu kiboko...Dida umetisha...Mimi Huwa nasema Kila siku Wasafi inanogeshwa na vipindi viwili tu ...Mashamsham na Malavi Davi cha Diva the boss lady...Ukiondoa vipindi hivyo viwili hakuna Wasafi fm
@asmarajabu5786
Жыл бұрын
kumbe kweli ulikuwa humpi mshahara
@drickferaman3453
Жыл бұрын
Ila mondi una busara sana brooo. Nakukubali sana mnyama
@abubakarali-wahid2876
Жыл бұрын
Nice one Simba 👍
@tariqmaduga8051
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Hawa ni real comedian 😊
@ahmedsaadoun7541
7 ай бұрын
Hili jing 😂😂😂
@ifabeach3281
Жыл бұрын
Yaani kama naangalia umbambatu, safi, safi Sanaa.
@emmymshomi8893
Жыл бұрын
nimecheka sana kuona hii nakumbuka kuna episode moja ya ugaigai mkojan anaenda kumrudisha samofi kutoka tanga ili ugaigai uendelee😂😂😂😂
@fauziayassin7987
Жыл бұрын
Mashallah diamond kajiokotea dhawabu
@divaimafuru6844
Жыл бұрын
Wasafi sio media nzuri mnaharibu
@fauziayassin7987
Жыл бұрын
Mkojan ameaibika kwa kwel!! Hope ataacha hzo tabia
@josephluvanga5233
Жыл бұрын
Doctor Cheni Anabebaga sana misalaba nikikumbuka kesi ya lulu daaah MUNGU amuwekw
@fatmaally7252
Жыл бұрын
Nampenda sana samofi jamani mungu akuweke sana 😂😂😂😂😂
@teophilletus8969
Жыл бұрын
Amin bila Kiki hufiki mjini wasaf Ni Kiki tu hakun maajabu mapy
Пікірлер: 1,2 М.